Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Wale wapo ndani kama wahalifu wengine na si kwa sbb ni mashekhe wa uamsho. Na kama walitenda makosa hayo kwa kivuli cha dini. Hyo haitoi unafuu wowote kwao. Tunachoamini sisi uwepo wao ndani huku nje jamii yetu imekaa kwa amani.
Wapo ndani kwa kesi gani? Mbona hawahukumiwi?
 
Mimi sijawahi kumkubali huyu mufti unajua watu wa kheri wakati mwingine unaweza kuwaona tu nuru yao ila huyu hapana.

Mimi sichukii CCM nikipima sana ningependa washinde japo sio kwa wabunge ila nikiwaza vikundi kama hivi vya Bakwata naomba yaje mabadiliko na hawa wapate adhabu hapahapa duniani kwa unafiki wao.

Nimeamini Shekh Ponda kiboko yao jeshi la mtu mmoja, kapiga perfume tu wala sio dawa ya kuuwa panya ila panya wametoka katika mashimo wanakimbia hovyo tu. Ponda wewe kiboko heshima yako.
 
Kuna watu wanajificha kwenye vivuli vya dini kwa maslahi yao binafsi ila ukiwaangalia matendo yao hawana hiyo "dini"

Mmoja wapo ni huyu Sheikh! Hatutakiwi kuhukumu ila kwa huyu Sheikh wa BAKWATA hakuna namna

Allah Anisamehe
 
Mimi sijawahi kumkubali huyu mufti unajuwa watu wa kheri wakati mwingine unaweza kuwaona tu nuru yao ila huyu hapana. Mimi sichukii CCM nikipima sana ningependa washinde japo sio kwa wabunge ila nikiwaza vikundi kama hivi vya Bakwata naomba yaje mabadiliko na hawa wapate adhabu hapahapa duniani kwa unafiki wao. Nimeamini Shekh Ponda kiboko yao jeshi la mtu mmoja, kapiga perfume tu wala sio dawa ya kuuwa panya ila panya wametoka katika mashimo wanakimbia hovyo tu. Ponda wewe kiboko heshima yako.
Kuna wanazuoni fulani wa kiislamu nilikuwa na project nao, infact professional ndio zilitukutanisha kikazi ila hawa jamaa ni swala tano na kila mwezi wanafunga siku mbili siyo kusubili mwezi wa Ramadhani tu.

Ndio katika kukumbushana nikawatania nikawaambia Mufti amewaagiza mfunge siku tatu kwa ajili ya corona, hapo ndipo wakanimwagia vipande vya mufti Zuberi.

Kwanza wakasema wao kufunga si jambo la ajabu maana kila mwezi kuna siku zimetengwa kidini za kufunga, ila kwakuwa yeye Mufti hajazoea kufunga hata Ramadhani ndio ajabu kwake.

Isitoshe Mufti ni Mganga wa kienyeji faraki sijui, Quran imekataza ushirikina, hivyo basi Sheikh Zuberi hana sifa za kuwa Mufti na ndio sababu waislamu wacha Mungu wamekaa mbali na Bakwata iendeleze siasa

Ukitaka kuujua ubabaishaji wa hili genge la Bakwata wafuatilie kwenye kutangaza mwandamo wa mwezi utagundua pasi na shaka hili ni genge la wababaishaji tu.
 
Hawa mashekh wanafiki wa BAKWATA wanamfanyia hujuma JPM kwa makusudi kwa kuacha kugusia kero za waislamu
Yule ponda anasema wazi wazi kero za waislam na kuvuta hisia zao
Waislamu wengi watapigia kura Lissu
Magufuli cheki hapa akitatua kero za waislamu

 
Magufuli cheki hapa akitatua kero za waislamu


Msikiti uliojengwa na Mfalme wa Morocco Ndio Magufuli anatatua kero za waislamu?
Msikiti uliojengwa magomeni na binti Mfalme wa Kuwait Enzi za mkapa ni kutatua kero za waislamu?
Msikiti wa mtoro uliojengwa na Bakhresa Ndio kutatua kero za waislamu?
Misikiti iliojengwa na Gaddafi Tanzania nzima Ndio kutatua kero za waislam?
Danganya waislamu wa darasa la saba kama Alhady
Wengine tupo kwenye digital
Waislamu wa haki tupo na ponda kura kwa Lissu
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili Pombe
 
Msikiti uliojengwa na Mfalme wa Morocco Ndio Magufuli anatatua kero za waislamu?
Msikiti uliojengwa magomeni na binti Mfalme wa Kuwait Enzi za mkapa ni kutatua kero za waislamu?
Msikiti wa mtoro uliojengwa na Bakhresa Ndio kutatua kero za waislamu?
Misikiti iliojengwa na Gaddafi Tanzania nzima Ndio kutatua kero za waislam?
Danganya waislamu wa darasa la saba kama Alhady
Wengine tupo kwenye digital
Waislamu wa haki tupo na ponda kura kwa Lissu
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili Pombe
ANGALIA hapo akichangisha pesa kanisani kujenga msikiti

 
ANGALIA hapo akichangisha pesa kanisani kujenga msikiti


Kuchangisha hela Kanisani ni kuwadhalilisha waislamu
Ni haram kwa waislamu kua omba omba
Aliokwambia waislamu hawana hela ya kujenga msikiti ni nani
Mbona hajasaidia ujenzi wa mashule?
Mbona hataki tupate elimu?
Huyu anadanganya waislamu darasa
 
Uamusho ni wanatumika kama magaidi, uislam hauna vinasaba vya ugaidi, Shekhe hawezi kutetea watu wanaoharibu taswira ya ugaidi.
 
ANGALIA hapo akichangisha pesa kanisani kujenga msikiti

Makanisa yenyewe yana shida na bado kuna wakristo wanasali kwenye madarasa ya shule au chini ya miembe.

Huu ndio unaitwa unafki, kama wabakaji kuna Babu Seya kawasamehe na Masheikh watolewe magerezani, hivi ndio vitu wanataka kusikia waislamu.
 
Mbona hajasaidia ujenzi wa mashule?
Mbona hataki tupate elimu?
Huyu anadanganya waislamu darasa
mashule gani mnayojenga waislamu hasa nyie wa siasa kali? Mna shule nyie? Hata misikiti tu hamna mlikuwa mkitegemea kupora ya BAKWATA mkadhibitiwa.Hamjengi shule,HOSPITALI wala misikiti

Raisi kawakatalia msisome wapi? Elimu ni bure kuanzia msingi hadi sekondari mbona waislamu kibao wanasoma? Vyuo vikuu pia wamejaa tele. Wewe utakuwa mwislamu siasa kali msiopenda shule
 
mashule gani mnayojenga waislamu hasa nyie wa siasa kali? mna shule nyie? Hata misikiti tu hamna mlikuwa mkitegemea kupora ya BAKWATA mkadhibitiwa.Hamjengi shule,HOSPITALI wala misikiti

Raisi kawakatalia msisome wapi? elimu ni bure kuanzia msingi hadi sekondari mbona waislamu kibao wanasoma? vyuo vikuu pia wamejaa tele.Wewe utakuwa mwislamu siasa kali msiopenda shule
Bakwata imeanzishwa kwa sheria gani?

Kuna swali pale juu nimeshindwa kujibu.
 
Bakwata imeanzishwa kwa sheria gani?

Kuna swali pale juu nimeshindwa kujibu.
Kwa sheria ya usajili wa vyama visivyo vya kiserikali kama NGO kama ambavyo BARAZA KUU la akina PONDA lilivyosajiliwa
 
Rashid Gwajimaa Vp Huko Kawe
Hajasema Lolote
 
Mkuu usijisumbue, yule sio shekh wala kiongozi wa Waislam.

Yule ni sehem ya mfumo.

Hayupo pale kwa ajili ya Waislam, yupo pale kwa ajili ya serkali.

Nakuhakikishia huku mtaani hakuna muumini wa kiislam anaeilewa Bakwata.

Nakumbuka Bakwata ilikufa miaka mingi ndani ya mioyo ya Waislam.

Kwa hiyo watu kama hao (mfano wa huyo shekh) ni wakupuuzwa tu.
 
BAKWATA wajanjajanja tu hao[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Lengo la westerners ni kuhakikisha wanawagawa waislamu ili iwe rahisi kupigana na wao kuchukua rasilimali. Nyie waislamu mmekuwa mkitumika vibaya sana kwa sababu ya udhaifu wenu wa kuamini mtu badala ya taasisi yenu na misingi ya dini yenu.
 
Back
Top Bottom