Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Lengo la westerners ni kuhakikisha wanawagawa waislamu ili iwe rahisi kupigana na wao kuchukua rasilimali. Nyie waislamu mmekuwa mkitumika vibaya sana kwa sababu ya udhaifu wenu wa kuamini mtu badala ya taasisi yenu na misingi ya dini yenu.
Taasisi yenyewe Bakwata?

Chefuuuuuu.
 
Taasisi yenyewe Bakwata?

Chefuuuuuu.
Kuna viumbe ka uamusho kazi yao ni kutengeneza mitafaruku, mfano kukifundisha wewe kuichukia bakwata etc, kukufundisha kumchukia mkristu etc
 
Nasoma taarifa yako, lkn ukivyomaliza nami kikanijia kichefuchefu. Mufti anaomba barabara ya kijijini kwake?!?!?! Badala ya kuwaombea mashekhe wenziwe?

Niseme tu kana haja ya kuanzishwa chuo cha kusomesha viongozi ili mtu anaeitwa Shekhe apatikane kwa cheti na sio watu wanashaurizana na wake zao asubui anaamka nae anajiita shekhe.

Ukweli wenye Leo wanaojiita mashekhe ni watu wenye elimu ya uganga. Na wengi ni wandengereko na wasambaaa
 
Uamusho ni wanatumika kama magaidi, uislam hauna vinasaba vya ugaidi, Shekhe hawezi kutetea watu wanaoharibu taswira ya ugaidi.
Hizo ni shutuma hata Mandela alikaa jela bila kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za ugaidi. Of course hakuna mtu anataka tuishi na magaidi ambao Mara nyingi wanalipua waumini misikitini.

Sisi waislamu wa haki kilio chettu kwa serikali,,, wapelekeni mahakamani na kama kuna ushahidi wahukumiwe kwa mujibu wa sheria na kama ni visingizio basi waachiwe.

Mashekh waliopo jela si wa uamsho tu. Karibu kila mkoa kuna mamia ya mashekh wamekamatwa kwa tuhuma za ugaidi
Je, unaweza kuamini kwa kipindi cha miaka mitano Tanzania pamekamatwa watu wengi kwa tuhuma za ugaidi kuliko Afghanistan?

Huyu jamani ni katili Sana

Mungu amlaani
 
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Ubinafsi mwingine tena at work. Mtu wa hadhi yake hapaswi kutoa ombi lenye ukungu, uvundo na ukakasi wa ubinafsi.
 
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;

1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)

2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.

Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?

Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.

Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.

Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Na hakuna atakaekuja kuwatoa hao kaka, chukua hiyo itakusaidia
 
Lengo la westerners ni kuhakikisha wanawagawa waislamu ili iwe rahisi kupigana na wao kuchukua rasilimali. Nyie waislamu mmekuwa mkitumika vibaya sana kwa sababu ya udhaifu wenu wa kuamini mtu badala ya taasisi yenu na misingi ya dini yenu.
Mimi mkatoliki ujue....

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;

1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)

2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.

Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?

Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.

Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.

Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.


Hao BAKWATA NI USALAMA WA TAIFA TISS
 
Mufti ni mtu mkubwa mzito kama angekuwa anajitambuwa, kila mkoa kuna masheikh wa kufanya hizo duwa za mikutano, lakini ushabiki wa mufti mzima kutoka Dar mpaka Tanga kwa ajili ya duwa inayoweza kusomwa hata na Ustaadhi tu madrasa inafikirisha sana.

Sasa natamka rasmi si maaskofu wala Masheikh watakaouona ufalme wa Mungu

Ni rahisi kuwakuta walevi na mafirauni peponi kuliko hawa tunaowaita viongozi wa dini Tanzania hamna kitu, dini zote mbili.

Ukiwachekecha kupata cream ya viongozi halisi wa kidini wapo wachache mno.


Hao Bakwata ni TISS
 
Hizo ni shutuma hata Mandela alikaa jela bila kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Of course hakuna mtu anataka tuishi na magaidi ambao Mara nyingi wanalipua waumini misikitini
Sisi waislamu wa haki kilio chettu kwa serikali,,, wapelekeni mahakamani na kama kuna ushahidi wahukumiwe kwa mujibu wa sheria na kama ni visingizio basi waachiwe
Mashekh waliopo jela si wa uamsho tu
Karibu kila mkoa kuna mamia ya mashekh wamekamatwa kwa tuhuma za ugaidi
Je unaweza kuamini kwa kipindi cha miaka mitano Tanzania pamekamatwa watu wengi kwa tuhuma za ugaidi kuliko Afghanistan?
Huyu magufuli jamani ni katili Sana
Mungu amlaani

Amin
 
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;

1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)

2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.

Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?

Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.

Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.

Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Matendo ya hawa mashehe njaa yanafanya hata sisi maamuma swala zetu ziwe za viraka viraka
 
Tukimaliza kuapishana na kuchunguzana na polisi tukampigie kura JPM namna hii
 

Attachments

  • IMG-20201021-WA0002.jpg
    IMG-20201021-WA0002.jpg
    98.5 KB · Views: 2
Sio kisheria sema kimazoea na kisiasa!

Bakwata ni kikundi kama cha Tawla au cha TGNP,

Ni kikundi cha hiyari

Bakwata imeanzishwa kwa sheria ipi?
Mimi sio Muslim ,ila ninachojua Bakwata ndio chombo kinachotambulika na serikali yetu
 
Back
Top Bottom