Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Ahsante kwa kuuliza
Hao masheikh wa uamsho hawajakamatwa na JMT Bali walikamatwa na SMZ wakati Jakaya anaondoka madarakani walikua wanapelekwa mahakamani na kesi zao zilikua zinaendelea vizuri na walikua wapo hatua ya mwisho kupata hukumu
Huyu kafiri alivyo ingia madarakani kesi zikasimamishwa kabisa
Na kuhusu kuthibitisha mashekh wengine kuwepo jela nenda mkoa wowote katika msikiti ambayo sio ya bakwata ulizia kama vile unataka kusaidia mchango wa waliopo jela utaambiwa na jinsi gani unaweza kuwaona
Kwa nini serikali haitaki kuzungumzia kuhusu mashekh wetu
Na je wanamadhara gani wakuwepo huru?
Jibu ni kwamba hakuna mtu ana hatia kwa sababu ya tuhuma tu
Ndio maana sisi waislamu wengi wetu Tunaiomba serikali iwafungulie mashtaka na wapate hukumu
Sio eti nimekorofishana na wanafiki wa BAKWATA Sasa mimi ni gaidi
Wewe ni mtu mkubwa unajua kuna watu wanachuki binafsi Sasa chuki Ndio iwe hukumu?
Hao masheikh, Magu ataondoka, atakuja mwingine, kutoka ni ndoto. Huyu Ponda mnaemshabikia kua anatetea maslahi ya waislam ndiyo huyuhuyu anaem support tundu lisu, ambaye nae amesema akichaguliwa atazitambua haki za mashoga, Ponda anaunga mkono mtu anae tetea ushoga ?
 
WIZARA YA MAMBO YA NDANI IMEKATAZA VIONGOZI WA DINI KUPANDA MAJUKWAANI NA WAGOMBEA........

au hili katazo ni kwa CDM na ACT tu?? Ufafanuzi
 
Mufti alipata fursa nzuri kuagiza rais awaachie waislam wenzie yeye kaenda kuomba barabara....Mbunge nae afanye nini sasa??
 
Suala la Ushoga ni unafiki na uongo
Alhamdulillah Sasa hivi waislamu sio wajinga kama unavyofikiri kama unayo clip au audio Lissu anasema 'mkinichagua tawapa mashoga haki' ' tuma hio clip
Kauli ya lissu nilisikia akisema akipata urais atawaachia mashekh wetu
Kwa ahadi hio atavuna kura nyingi za waislamu wa haki
Wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili Pombe
Kuhusu kusema watafia jela sio jambo geni viongozi wengi dhalim wameuwa watu wengi jela
Na sisi watu dhaifu tunapata faraja tunaposikia mama yake yupo Hoi kitandani kasokomezwa mpira kila tundu za haja kubwa na ndogo
Malipo hapa hapa ✌️😁😁😁😁
Hiyo dini yenu sijui mnafundishwa vitu gani hadi mnakua na misimamo hatari kiasi hiki, huyu mama mzee aliyepo kitandani hujafanya khakii kumtukana
 
Hiyo dini yenu sijui mnafundishwa vitu gani hadi mnakua na misimamo hatari kiasi hiki, huyu mama mzee aliyepo kitandani hujafanya khakii kumtukana
Of course mama haja fanya kitu lakini mwanae anatutesa Sana,,, sasa Yale mateso kiasi mama mzee nae tunachangia kama anataka salama awe muadilifu mambo yake Safi
 
Darasa la saba kwani si shule vile ??
Ukisikia shule Bure Ndio hizo
Hawana shule ila wana ilm akhera.
Wapo wasomi wa level ya PhD kama sheikh Mataka na Sheikh Basaleh, hawa ni wasomi wazuri lakini wanatiwa mfukoni na misheni town wajanja wajanja kamanSheikh Alhad.

Ukitaka kuijuwa Bakwata muulize msomi Profesa Abdalah Safari aligombea umufti na Sheikh Simba ilikuwaje?

Mpaka leo Profesa Safari hana hamu na Bakwata.
 
Hiyo dini yenu sijui mnafundishwa vitu gani hadi mnakua na misimamo hatari kiasi hiki, huyu mama mzee aliyepo kitandani hujafanya khakii kumtukana
Huyo unayemtetea wewe ndiye anatufundisha roho mbaya, kumbe mkuki kwa nguruwe tu?
 
Back
Top Bottom