Mufti Zubeir: Serikali inunue chombo cha kutazamia mwezi
Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?

Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.

===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.

View attachment 2596212

Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.

Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.

Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.

Chanzo: Mwananchi
KWANINI SERIKALI NA SIO BAKWATA? AU BAKWATA NI IDARA YA SERIKALI?
 
Mpumbavu nini,ufanye biashara za Huduma kama shule, hospital,hoteli nk eti ufutiwe Kodi ni Haki Yao,kubwa jinga wewe..

Mwendazake zake mwenyewe Kwa kumtambua sio Haki alikataa kufuta hizo Kodi.
Wewe ni mpumbavu kama Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika

Nani amezungumzia habari ya shule hapa?

Narudia tena, vifaa vya dini kuingia nchini hata leo hii havilipishwi kodi labda kama vimeingia kwa mrengo mwingine

Pumbavu wewe
 
Hongera sana Muislam kwa kujua kutukana

Tukana basi matusi mapya Sheikh, hayo yamezoeleka[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu mliozaliwa kwenye mkesha wa Mwenge mna shida sana kichwani 🤣🤣
 
Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?

Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.

===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.

View attachment 2597820
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.

Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.

Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.

Chanzo: Mwananchi
LLLL.jpeg
 
Enzi za Sheikh Mkuu Mufti Hemed Juma Bin Hemed, hakukuwa na hizi habari za mwezi lazima uonekane Tanzania. Enzi zake mwezi ukiandama Saudi Arabia yeye huku anatangaza Eid. Na maisha yalikuwa yanasonga. Tofauti na sasa hivi, siasa imeingia mpaka kwa mufti na Bakwata yake.
 
Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?

Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.

===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.

View attachment 2597820
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.

Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.

Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.

Chanzo: Mwananchi
Allah na waja wake hawaishiwi vituko.
 
Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?

Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.

===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.

View attachment 2597820
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.

Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.

Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.

Chanzo: Mwananchi
Zile hela zinazotolewa kwenye timu za mipira kwani serikali ina timu? Wapewe tu maana zinazopotea ni nyingi kuliko zitakazonunua hicho chombo.
 
Zile hela zinazotolewa kwenye timu za mipira kwani serikali ina timu? Wapewe tu maana zinazopotea ni nyingi kuliko zitakazonunua hicho chombo.
Upuuzi,hao hupewa motisha Kwa sababu Michezo Haina dini na ni jambo la kulinganisha Nchi.

Dini zenu sio wajibu wa Nchi,mkitaka tuma maombi msaidiwe ila sio lazima
 
Back
Top Bottom