Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana uwezo wa kununua mabomu tu na kulipuana kama ilivyo Sudan kwa sasaYaani kweli BAKWATA wanashindwa kununua hii telescope hadi waombe msaada wa serikali? Mbona wanamapato makubwa sana na waumini wenye kujiweza.
Kiama hikiHapa kwa Bakwata tumepigwa Wallah!
Kuomba kununuliwa Darubini au Telescope na serikali ni KIAMA katika UISLAMKapitiwa tuu tumsamehe.. Lakini kwa mtazamo mpana kamaanisha BAKWATA
Kwanini Waombe? Hawakusanyi Swadaka?Wameomba
Kuna shida gani kuomba? Mbona Waroma waliomba Rais awafutie Kodi kwenye masuala ya vifaa vya dini,waliomba eneo nk?Kwanini Waombe? Hawakusanyi Swadaka?
Na Wakristo waombe serikali iwanunulie fimbo ya Askofu?
Ni jukumu la serikali?
Kuna shida gani kuomba? Mbona Waroma waliomba Rais awafutie Kodi kwenye masuala ya vifaa vya dini,waliomba eneo nk?
Acha ujinga
Mpumbavu nini,ufanye biashara za Huduma kama shule, hospital,hoteli nk eti ufutiwe Kodi ni Haki Yao,kubwa jinga wewe..Acha Upumbavu wewe
Kufutiwa kodi ni haki yao na dini au dhehebu lingine lolote
Hakuna kodi katika vifaa vya dini vinavyokuwa Imported, hili ni kwa dini zote
Inaelekea unaandika usivyovijua hata, Fanya tafiti
Kila unachoandika wewe ni ujinga tu sijui ufahamu wako upoje.Kuna shida gani kuomba? Mbona Waroma waliomba Rais awafutie Kodi kwenye masuala ya vifaa vya dini,waliomba eneo nk?
Acha ujinga
Uko kama anal ya mom wakoKila unachoandika wewe ni ujinga tu sijui ufahamu wako upoje.
Kwani huyu mufti ameambiwa kwamba Tanzania ni Islamic State hadi ijihusishe na masuala ya uislamu? Huyu mhuni hatufai. Atupishe.Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
serikali inunuwe chombo kwajili ya dini??.Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
serikali inunuwe chombo kwajili ya dini?Swali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Ndio Kwa sababu ni ombi sio takwa maana watu inaowaongoza Wana diniserikali inunuwe chombo kwajili ya dini??.
serikali inunuwe chombo kwajili ya dini?
Jukumu la bakwataSwali, Je ni jukumu la Serikali kufanya masuala ya dini?
Pili,Kuomba Serikali ifanye sio vibaya maana ni ombi.
===
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amekemea ufisadi, akihimiza jamii kulinda maadili, umoja na mshikamano, huku akiwaomba viongozi wa Serikali na wadau kusaidia upatikanaji wa darubini ya kukusanya taarifa za mwandamo wa mwezi ili kumarisha uhakika wa taarifa.
View attachment 2596212
Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kipindi ambacho waumini wa Kislamu duniani hufunga kwa siku 30 kabla ya kusherehekea siku hiyo kupitia taarifa rasmi va mwandamo wa mwezi huo.
Hata hivyo, kabla ya kusherehekea, kifaa hicho (moon sighting machine) ndio hutumika kupata uhakika wa mwandamo wa mwezi huo kimani ili kuondoa utata au mabishano miongoni mwa waumini hao.
Sheikh Zubeir amesema hayo leo Jumanne Aprili 22, 2023 katika swala ya Eid EI- Fitr iliyofanyika kitaifa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI uliopo Wilaya ya Kinondoni, jijini hapa, ikihudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mabalozi, mawaziri na watu mashuhuri.
Chanzo: Mwananchi
Kwani nani kasema sio jukumu la Bakwata?Jukumu la bakwata
Mmeudhalilisha uislamuKwani nani kasema sio jukumu la Bakwata?
Unaelewa maana ya ombi? Maombi mangapi makanisa yametoa Kwa Serikali na imefanya?