Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

Acha basi
Mbavu zangu mkuu🤣🤣🤣🤣🙌
 
Imamu wetu ni mwamba haswa....hata akirudi Leo hamna Kama yeye
 
SULUHISHO YA HII VITA NI :

HAMASS WAKUBARI UWEPO HALALI WA ISRAEL

KUWEPO NA NCHI MBILI AMBAPO
1.JERUSALEM NI MJII MKUU WA IZRAEL
2.WAPALESTINA WA WEST BANK WAHAMIE GAZA AMBAYO NDIYO ITAITWA PALESTINA MPYA
 
Ayatollah halali siku hizi, anakimbia kimbia kwenye mahandaki huko Tehran, haamini hata inzi akipita anajua Wayahudi hao, maana tokea Raisi wa Iran afariki na Kiongozi wa Hamas wote wameuawa nchini Iran, Ayatollah anaishi kwa wasiwasi mkubwa sana kwani anajua MOSAD wako mjini Tehran
 
Hao mazayuni sio wa mchezo, wana backup kubwa sana ya USA, wana technology ya hali ya juu na intelijensia kubwa sana. Waarahu nao on the other hand ni cowards wa kufa mtu, wanasnichiana wenyewe...mashariki ya kati inapitia nyakati ngumu sana..
 
Hii siyo bure, labda wale vijana wa kipalestina waliokamatwa na Israel watakuwa wanatoa siri za hamas
Na wao waliowakamata watoe siri za ISRAEL Mwanzo Israel ilivyomchinja Rais wa iran nikajuwa mziki utakuwa mnene kumbe viirani ni kama virundi tu vijinga vijinga na tundwevu vyao kila siku kuuliwa viongozi wenu badilikeni au ndio mnaenda kudeal na mabikira wa Allah
 
Islamic jihad hutengeneza silaha za maangamizi!?..hutengenezea wapi?
 
We bangi zinakusumbua, hivi unadhani kuna dunia nyingine zaidi ya hii tulionayo? Et fil Janat, nini?? Watu wa vitabu hamna uwezo WA kufikiri kwa akili zenu nje ya mavitabu hayo.
 
Wewe Dini imeku haribu akili yako kabisa
 
Israel haijahusika na kifo cha rais wa Iran,Netanyahu alilikana na alikataa katika vyombo vya habari.
Usijiropokee kama umelewa.
 
Kisasi kitalipwa tu waache Israel wacheke kwa sasa ila tutatizama nani achekaye mwishoni.
Hata nao Israel walipata misiba hivi hivi kwahiyo muda utanena.
Pia kisasi kitalipwa bila shaka.
 
Anachofanya sasa hivi Israel alishakifanya tangia kuanzia 1948 lakini hakikuzuia hizo nchi na hivyo vikundi kumvamia.
Hivyo ni sawa na kazi bure maana atachaguliwa kiongozi mpya na harakati zitaendelea pale pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…