Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ubaya wa biological weapons Ni rahisi mno kuupandikiza,hsihitaji delivery system Kama ndege,mzinga etc.Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.
Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
Sasa tunachanganyana wengine wanahisi marekani ndio katengeneza alafu amewatupia wachinaJanuari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.
Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.
Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.
Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.
wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.
Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.
Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.
Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.
Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.
Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
Search kuhusu 5G Launching in Wigan
hapo ndipo aliponichosha mleta mada
Basi tusubiri siku kumi na nne kifo kimuumbue....maana waswahili tunasema mficha maradhi.....!
Ni hatari sanaNdio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Very informative article. Asante kwa ku'share' link.
HahahahahaNdio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Mkuu hii username ni jina lako halisi??Well, theory yako ina walaki kutokana na hakuna mwenye uhakika kama ni kweli ugongwa ilianzishwa na Wachina au Wamarekani. sisemi kama ni kweli au sio kweli lakini kuna sababu nyingine pia zinazoweza kuchangia kwanini huu ugonjwa umeweza kutapakaa mchi za Magharibi kwa haraka ukilinganisha na nchi za India, Russia au Afrika.
kilichopelekea huu ugongwa kukuwa sana kwenye nchi za Magharibi na Marekani, ni pamoja na nchi hizo kuwa na kipato cha juu kinachowawezesha kusafiri kati ya China na nchi zao za Maghararibi. Nchi nyingi za Magharibi walifunga viwanda vyao vya kuzalisha bidhaa ndogo-ndogo ktk miaka ya 70, China akachangamkia fursa miaka ya 80, leo hii hakuna nchi inaweza kujitosheleza bila ya bidhaa za kutoka China. Japo India ni nchi inayo pakana na China, lakini wahindi wengi bado ni watu kipato chini na hapo hapo wanategema sana bidhaa zinazo zalishwa ndani ya India kuliko nje.
Ugonjwa umeweza kushamiri kwenye nchi za Magharibi kwa kasi kutokana na sababu mbili, kwanza nchi za Magharibi watu wao wako very social and free (hakuna vita na wengi wanakazi na pesa mifukoni), na cha pili, nchi za Magharibi zina wazee wengi wanaoishi maisha mrefu 70,80,100 years old. Lakini hapo hapo hao wazee wengi wana underline health issues ikiwa pamoja na magonjwa ya kupumua, virusi vya corona vinapenda kukaa kwenye mapafu ya watu na kuwapunguzia uwezo wa kupumua kirahisi.
Mchina kaweza kuudhibit coz ulianzia kwake. Ameudhibit kwa gharama kubwa sn,wagonjwa pekee walifika 80,000+. Hakuna hata nchi moja ya Ulaya imerekodi wagonjwa 20,000. Na wao wataweza kuudhibiti,it needs time!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kutotakiwa haimaanishi yakwamba ndio watu hawawezi kitumia mkuu tena visivyotakiwa maranyingi ndio vinaongoza kwakutumiwa japo sio kutumiwa nawengi ila hao wachache wanaokitumia hukitumia kwakiasi kikubwa angalia madawa yakulevya namengineyo mfano wahayo.....Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.
Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
Mkuu hii username ni jina lako halisi??
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Hii umeitoa wapi Elungata?.
Nini kimesimama china?China wazee wa kupika data... Utasemaje China hawajapoteza uchumi ilihali kila kitu kimesimama?
china kwenye propaganda hawawezi..