theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Umeelewa nilichokiandika lakni?? Nimesema ni wanawake wachache sana wataweza lipia hiyo gharama kwa hapa Tanzania...Kwa hiyo umeambiwa process hizo sisi hatuziwezi?
Umesema 'naona wadada wanashangilia wanadhani unaenda na elfu kumi' dharau kubwa sana hii ututake radhiUmeelewa nilichokiandika lakni?? Nimesema ni wanawake wachache sana wataweza lipia hiyo gharama kwa hapa Tanzania...
Kwa hao wachache labda utakuwa miongoni mwa hao ambao wataweza kulipia...
Ila asilimia kubwa hawatokuwa na uwezo huo.
Nimesema hivyo kwa kuwa naona mnashangalia bila kuwa na information zaidi...Umesema 'naona wadada wanashangilia wanadhani unaenda na elfu kumi' dharau kubwa sana hii ututake radhi
Una uhakika gani kuwa hatujui?Nimesema hivyo kwa kuwa naona mnashangalia bila kuwa na information zaidi...
Kwa kukugusia tu hiyo gharama yake inaweza fika hadi milioni 25 fedha taslimu za kitanzani hata wakisema huduma ni milioni 10 utatoa hiyo fedha...
Sawa G kila la kheri.Una uhakika gani kuwa hatujui?
Sina uelewa ila nilitaka tu kukuambia kuwa usimdharau usiyemjuaSawa G kila la kheri.
Sina wasiwasi na wewe una uelewa mzuri kabisa wa IVF.
Kwa lipi Mkuu, anyway kila la kheri.Sina uelewa ila nilitaka tu kukuambia kuwa usimdharau usiyemjua
Ni vizuri sana ila waangalie na garama ambayo mtanzania wa kawaida anaweza kuimudu (wanyonge kwa mujibu wa JPM), nina ndugu yangu alipandikizwa Nairobi yaani vipimo na upandikizwaji tu iligarimu karibia 40, milioni... na alibahatika kupata mapacha baada ya kukaa kwenye ndoa mika 21 bila mtoto. Mungu akampa wa kike na kiume kupitia IVF..ila pesa ni ndefu sana.
Hongera kwa hilo ila usiwe mfinyu wa habari za ukweli kuhusiana na hii kitu,yes gharama ni kubwa mno sioni mtanzania wa kawaida akimudu gharama zake na la muhimu zaidi ni mafanikio ya upandikizi ni LAZIMA tuelewe kuwa ni asilimia ndogo sana ya kfanikiwa upandikizaji na ni process inayochukua muda na majaribio mengi.Ni vizuri sana ila waangalie na garama ambayo mtanzania wa kawaida anaweza kuimudu (wanyonge kwa mujibu wa JPM), nina ndugu yangu alipandikizwa Nairobi yaani vipimo na upandikizwaji tu iligarimu karibia 40, milioni... na alibahatika kupata mapacha baada ya kukaa kwenye ndoa mika 21 bila mtoto. Mungu akampa wa kike na kiume kupitia IVF..ila pesa ni ndefu sana.
Suppose mlichangia harusi kiasi cha TZS 40 million na hiyo ndoa haikutoa matunda; mkiombwa kuchanga TZS 40 million ili ndoa mliogharamia itoe tunda hamtatoa?Umeongea ukweli, naona wengi wanashabikia tu bila kujua gharama halisi...
Wakati ilitakiwa kuhoji kuhusu gharama, maana najua kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu kupata hicho kiasi cha fedha....
Wengine hawajui hata kesho yao itakuaje, umuambie atoe gharama ya milioni 40 tena hapo bei ni fair kabisa, kwa nchi za wenzetu gharama hufikia milioni 80 hadi 120...
Wasimuone pale Jackline Mengi anafurahia wale mapacha ni pesa nyingi sana imetumika pale...
Serikali ikifanikisha hilo itabidi iweke bei rafiki kwa watanzania wengi, itasaidia sana...
Watanzania ni watu wenye moyo wa upendo na imani watawachangia bila shaka..Suppose mlichangia harusi kiasi cha TZS 40 million na hiyo ndoa haikutoa matunda; mkiombwa kuchanga TZS 40 million ili ndoa mliogharamia itoe tunda hamtatoa?
UFINYU WA HABARI??????Sijakuelewa.Hongera kwa hilo ila usiwe mfinyu wa habari za ukweli kuhusiana na hii kitu,yes gharama ni kubwa mno sioni mtanzania wa kawaida akimudu gharama zake na la muhimu zaidi ni mafanikio ya upandikizi ni LAZIMA tuelewe kuwa ni asilimia ndogo sana ya kfanikiwa upandikizaji na ni process inayochukua muda na majaribio mengi.
Hakuna mtu ambae atakusaidia matibabu Tanzania hii, hao wanaolia kuomba misaada ya matibabu, unafikiri hawakufanya harusi za garama wote? Watoto yatima walio kwenye makambi ya kulelea watoto unafikiri wote hawana ndugu tena wengine wenye uwezo mkubwa sana ila hawana time na hali za wengine? Kusaidiana kwenye mambo yahusuyo afya na elimu si utamaduni wetu kabisa.Suppose mlichangia harusi kiasi cha TZS 40 million na hiyo ndoa haikutoa matunda; mkiombwa kuchanga TZS 40 million ili ndoa mliogharamia itoe tunda hamtatoa?
Saaaaaaaaaana,,,,swala LA kuitana wagumba litapotea labda uamue mwenyewe kutokuwa na mtoto na bongo tumechelewa saaana kuna wameaangaika sana kutafuta watotoooBasi wale ambao hawajabahatika kuolewa au kuoa na wenye upungufu wa nguvu za kiume Basi nafikili hii itawasaidia.
Acha kutisha watu....na mpaka ikifika 2025 mambo yatakuwa safi sana kwa ambao tumehangaika kutafuta watoto bila mafanikio.Kwa hiyo umeambiwa process hizo sisi hatuziwezi?