Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

Chips mayai zimeharibu vijana wetu

Usisingizie Chips mayai kwa vijana angalia reference ya kiukweli kwa "Diamond" yaani akimwangalia tu msichana kesho kajaaa, taabu ya wasichana wengine wana vichuguu mawe na sio mayai viunoni mwao
 
Waweke utaratibu kama wa India wanavyofanya, wale wanaume wanaotoa mbegu zao huacha na picha zao ili wanawake wanaohitaji watoto huchagua picha ya mwanaume aliyeacha mbegu. Maana wengine wanaacha mbegu za wafupi, wanene, au warefu nk.
 
Shida na watoto watakaozaliwa , ndio watakuwa km wamayai yakizungu
 
Hapo tuongeze hosp za mirembe yaani najua vichaa na mazezeta watakuwa wengi sn
 
Sasa ndugu ukiona jamii inapotea huoni ni jukumu lako kama Muislam kupaza sauti kuwa hili sio sahihi?
Ni nini umuhimu wa Dini sasa, kama sisi watu wa Dini tunaona mambo yasiyofaa tunakaa kimya kwa kisingizio kuwa hayatuhusu?
Kuna morals nyingine tukiona zinavunjwa lazima tuongee ndugu,
maana kama maadili yanavunjwa na sisi tunakaa kimya, watoto wetu wajukuu wetu watazaliwa watayaona ya kawaida na Dini itazidi kudharaulika.
Mfano wakaanzisha operesheni za kubadilisha watu jinsia, hospitali za umma, watoto ama wajukuu zetu wakizaliwa, wakikua na kulikuta litakua jambo la kawaida kwao

Sio Waislam tu, hata Wakristu, kama Wakristu wanakaa kimya haimaanishi na sisi tukae kimya
 
kuna wazee Meno yote nje ..

Ila hii tutakuja kusikia watu wanaibiwa Condom yenye maniii...
Ndio wanawake wataiba manii na hiii ishatokea huku America..
,πŸ˜πŸ˜€πŸ˜‚
 
Hawa muhimbili wametuonaje sisi. Badala wapambane nauondoaji wa magonjwa wao wanaleta ujinga
 
Uko sahihi sana tunapishana sehemu ndogo sana shukran kwa maelezo yako mazuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…