Wanayo mambo ya kubahatisha, usiwatukuze saana.Mabeberu hawana mambo ya kubahatisha na hawana majaribio kwenye miili ya watu.. wenzetu wapo serious saana.
Ndio hawakudhamiria ila ukichuguza kuna kitu inabidi wakubaliane nacho tu... Taaluma haitosh kwa kada iyo, afu watoto wa field wengi saana wanakula vitengo kwenye mambo serious.
Haki nakuambia kama tungekuwa tunaamua kila kifo kichunguzwe kiundani... Madaktar wangepata kesi nyiiingi saaana.
Kutokua makini, uchakavu wa vifaa, kwenda na muda, na kupuuzia mambo ndio shida inapoanzia
Kitaalam bado wangekuwa na uwezekano mkubwa wa kufariki wakiwa watu wazima, kama ilivyotokea kwa wale mapacha wawili wa Iringa; Maria na Consolata.Kwani kulikuwa na ulazima gani wa kuwatenganisha. Wangeachwa hivyo hivyo waendelee na maisha yao ingekuwaje. Two in one is allowed. Msitafutie ujuzi kwenye maisha ya watu enyi watu.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
If this was discovered beforehand, then there was only one logical course of action - calling off the operation!Kama ini lilikuwa limeunganika basi uwezekena wa kupona ulikuwa siyo mkubwa.
Fundi gereji anajifunzia gereji huko huko bahati mbaya huu ni ukweli mchungu .Kwani kulikuwa na ulazima gani wa kuwatenganisha. Wangeachwa hivyo hivyo waendelee na maisha yao ingekuwaje. Two in one is allowed. Msitafutie ujuzi kwenye maisha ya watu enyi watu.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Chief, kama hauna details za kina usilaumu namna hiyo fatilia aina ya surgery iliyofanyika, na waliyoifanya pia........ulisikia kuna mwanafunz ametenganisha hao watoto!Ile wametangaza kufanya operation hiyo nikajua tu wameamua kuwauwa Kisima...never trust tz Doctors tena mloganzila wale wanafunzi? Hell no.
Mabeberu adii lini kwenye mambo yetu brazaj, ? ifikie hatua basi ya kufrahia juhudi zetu ata kidogo.Kwamba pacha wa pili naye hatunaye? Inasikitisha. Kwani kulikuwa na haja gani ya operation hii? Kama uwezo wetu ungali hautoshi, kwa nini kujimwambafy bure juu ya maisha ya wengine? Kwanini tusingeomba usaidizi wa beberu kwenye masuala nyeti kama haya ya maisha ya watu? Kwa hakika Muhimbili tunastahili maelezo ya kina kutoka kwenu.
Hospitali haiwezi kuruhusu kifanyika matibabu ambayo Haina uwezo nayo, Ndio maana Huwa Kuna kuwepo na rufaa. Wale ni wataalamu hawakuruouki kufanya kitu kama ww ulivokurupuka kuanzisha Uzi bila kufuatilia vizuriKwamba pacha wa pili naye hatunaye? Inasikitisha. Kwani kulikuwa na haja gani ya operation hii? Kama uwezo wetu ungali hautoshi, kwa nini kujimwambafy bure juu ya maisha ya wengine? Kwanini tusingeomba usaidizi wa beberu kwenye masuala nyeti kama haya ya maisha ya watu? Kwa hakika Muhimbili tunastahili maelezo ya kina kutoka kwenu.
Some time take it as blessings in disguise.Nimeumia mno na watoto wale
Utadhani ni madaktari wotewana jf punguzeni ujuaji
Kama kawaida yetu, jibu rahisi mwachie mungu. Nakwambia waafrica kuona mbingu tusahau maana tunamsingizia mungu mambo mengi sana.Ukishaingia ICU theater una mambo mawili tu, kufanikiwa kupona ama kufa, hata hivyo madaktari walijitahidi kadri walipoweza na hakuna namna unaweza kuwalaumu kwa sababu walifanikisha zoezi,na patients waliendelea kusurvive. Mengine mwachie Mungu.
PoleMabeberu adii lini kwenye mambo yetu brazaj, ? ifikie hatua basi ya kufrahia juhudi zetu ata kidogo.
Hata kama mmoja kafariki ila mhimbili wamefanya kitu. Na pia wamejifunza
Tanzania bado sana aisee uwaneni tu na madaktari wenu uchwaraKwamba pacha wa pili naye hatunaye? Inasikitisha. Kwani kulikuwa na haja gani ya operation hii? Kama uwezo wetu ungali hautoshi, kwa nini kujimwambafy bure juu ya maisha ya wengine? Kwanini tusingeomba usaidizi wa beberu kwenye masuala nyeti kama haya ya maisha ya watu? Kwa hakika Muhimbili tunastahili maelezo ya kina kutoka kwenu.
Muhimu haikuwa kutenganisha, muhimu ilikuwa wataishi baada ya kutenganishwa! Mimi siku ya kwanza kutenganishwa nilisema hilo si fanikio fanikio ni kuona watoto hao wanaishi, nilisema hivyo baada ya madakitari kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kujisifu kuwa wamefanikiwa! Madakitari hawakuwa na sababu ya kuharakisha kujisifu, wangeweza kusubiri mpaka wamepona majeraha ya oparesheni, kusingekuwa na tatizo.Ukishaingia ICU theater una mambo mawili tu, kufanikiwa kupona ama kufa, hata hivyo madaktari walijitahidi kadri walipoweza na hakuna namna unaweza kuwalaumu kwa sababu walifanikisha zoezi,na patients waliendelea kusurvive. Mengine mwachie Mungu.