Muhimbili, kulikuwa na haja gani ya upasuaji kutenganisha watoto mapacha?

Tubadili mfumo wa elimu ili watu waelewe topics badala ya kukariri
Kwa mfumu huu watu wanafauku kwa kusoma past papers hata ipite miaka mia hatutawafikia mabeberu.
 
Halafu wamemaliza tu upasuaji, wakaanza kujitangaza kwenye vyombo vya habari kuwa Upasuaji ulikuwa wa mafanikio makubwa.

Kwa maoni yangu kufanikiwa kwa matibabu yoyote iwe ya kutenganisha mapacha, upasuaji wa moyo nk, upimwe baada ya muda ambapo tutaona lile tatizo limeondoka na mtu amepona. Huwa naona operation ambazo mtu baada ya kuruhusiwa anakaa kidogo unasikia hayupo

Kuna msemo wa kisheria wanaita BUT FOR TEST au SINE QUO NON au EGG SHELL SCUL RULE
 
Inasikitisha sana. Wapumzike kwa amani malaika wa Mola hawa.
 
They must understand the principle of standing on others' shoulders. Hiyo reasoning yao kwenye masuala ya uhai ni immoral, evil, na criminal.
Nilifuatilia daktari wa bill clinton, kipindi bill anafanyiwa operation ya moyo, Daktari alikuwa anaongea kwa kujiamini na kujua kila hatua na akafanikisha operation.
 
Wakuu hawa mapacha wakuungana(conjoined twins) matibabu yao ni magumu sana,
Tafiti zinaonesha ni asilimia 60 tu ndiyo wanafanikiwa kuishi baada ya operation yaani kama wakifanyiwa operation watu 10 kati yao wataishi watu 6 tu...
Angalia hapa

Ndiyo maana ya umuhimu wa inputs za awaye yote, sembuse beberu?
 
Eti, tunashukuru ^epereshen^ 🙂 imefanikiwa, ila mgonjwa yeye kafa!
 
Mkuu, hilo sio swala specific kwamba walivyoungana wengine ndivyo walivyoungana wengine.

Kuungana ni hitilafu ya kimaumbile hivyo kila moja ina changamoto zake, moja yaweza kuwa salama kwa walioungana na wengine wakawa sio salama....hivyo iwe Ulaya, America au Asia case hazifanani kamwe.
 
Mimi nilijua tu wale watoto watakufa.....nilicomment Facebook kwenye page uchwara watanzania wajinga wakaniijia kama mwewe...
 
Hakuna anayepinga cases kutofautiana ila kwa kila given case kwa beberu ni better.
 
Wewe unaweza kubali mwanao afanyiwe majaribio?
Ni kweli mabeberu walianza hivyo..lakini nadhani kulikuwa na haja ya kuwapeleka huko ili madaktari wetu pia waende kujifunzia huko wakiwa chini yao.
Oparesheni ngapi zimefanyika kwa mara ya kwanza nchini na zilifanikiwa? Kuanzia moyo, nk.

Ukilijibu hili swali, basi utaelewa nilicho maanisha. Na una uhakika kama hao madaktari walioshiriki kuwafanyia upasuaji hao watoto hawakuwa na mafunzo?
 
Madaktari Walikuwa wanawafanyia mafunzo kwa vitendo.
 

Sad[emoji27]
 
Ila tukubaliane tu hata hao mabeberu nao walianza hivi hivi. Hivyo wakati mwingine tuwaunge mkono madktari wetu kwa jitihada zao.

Sidhani kama walidhamiria kutokea kwa hayo mauti ya mabinti zetu wapendwa.
And here's where the complexity and delicacy of the whole procedure was. May they Rest in Peace.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…