Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Sayansi inasimama yenyewe haihitaji validation kutoka kwa mzungu. Kuleta hoja za "mbona wao wana sauna" na picha kama hizi kutafuta validation ndio inferiority yenyewe, na inaonesha kutokuwa na uelewa wa sayansi...
Naamini ulisoma sentensi yangu ya mwisho. Suala la validation ya inferiority litabaki kuwa ni mtazamo ambao ni uhuru wako. Nilichokuwa nakilenga ni kuepeku mawazo kuwa kila matibabu yetu ya asili ni ushirikina ila hicho hicho kikifanywa na white skin ndio sayansi. Narudia madaktari wetu wa tiba asili nao wafanye clinical trials zenye sample size na data za kutosha.
 
Reactions: len
We jamaa unavyoongea kama unajua vile. Hivi unaelewa hata pathophysiology ya corona virus disease? Na thermoregulation of the body?vipi structure ya virus? Unaifahamu respiratory system vizuri?na hiyo "inflammatory" unaijua kweli?
Unavyoongea kama kweli vile kumbe utumbo tu.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Wanasayansi wetu wanaokula minoti ya kodi, na kujimwambafy kwamba wao ni wasomi wanafanya nini? yaani waganga wa jadi ndio wametake place sasa?maana wameshanakiliwa na wanaojiita wasomi na watafiti, wao kama wao wamekwama kabisa,
Ama kweli corona imekuja kuumbua watu
 
Kwa nini unaingiza rangi ya ngozi kwenye hili? Hiyo picha ya eucalyptus umeiweka hapa Kwa nia gani? Muhimbili na Mloganzila wametangaza clinical trial au wameanza kutoa huduma Kwa sh 5000 Kwa wagonjwa?
 
Kwa nini unaingiza rangi ya ngozi kwenye hili? Hiyo picha ya eucalyptus umeiweka hapa Kwa nia gani? Muhimbili na Mloganzila wametangaza clinical trial au wameanza kutoa huduma Kwa sh 5000 Kwa wagonjwa?
Hapo ndio unaposhindwa kuelewa kabisa. Sijaingiza mimi, ni majibu ya implications za huko juu. Chukua muda usome taratibu maana maswali yako sijui unayaibulia wapi!
 
Kumbe ni mashine ambazo bado hazijafanyiwa utafiti?

Very ridiculous.
Ulitegmea zifanyiwe utafiti kwa nyani? Zipo zinafanyiwa utafiti kwa binadamu na majibu yake yatachapichwa "The Lancet"
 
"....unampa Caron dioxide kwa wingi." Hapo mkuu sijuhi ulikuwa una maana gani.....jinga sana wewe!
 
Profesa Lawrence Museru ameamua kuwa sawa na Profesa Vulata au Maji Marefu. Yale mambo yote aliyosoma kwenye PhD mpaka akawa Profesa wa MUHAS ameyazika rasmi. Haya mwambieni Museru arudishe vyeti vya Digrii zake kwenye vyuo alivyosoma
 
Dakika 5+ nyingi mno.aisee
 
Habari bila picha ni kama habari mfu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…