Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Nafikiri kutokana na kukua kwa vjijni na kata, Serikali ikubali kuanzisha vijijji, Nashauri Serikali ianzishe vijiji vipya 10,000 vitakavyotengeneza ajira za VEO 10,000, Maafisa maendeleo 10,000, mabwana/bi afya 10,000, na wapambe wao kama mabaunsa flan HV. Roughly ajira 50,000. Hawa Walimu na wengine waajiriwe kivyao. Hakika tutafika mbali