Muhindi: Vijana hasa UVCCM chapeni kazi, kwa sasa hakuna teuzi zozote Serikalini

Muhindi: Vijana hasa UVCCM chapeni kazi, kwa sasa hakuna teuzi zozote Serikalini

Nafikiri kutokana na kukua kwa vjijni na kata, Serikali ikubali kuanzisha vijijji, Nashauri Serikali ianzishe vijiji vipya 10,000 vitakavyotengeneza ajira za VEO 10,000, Maafisa maendeleo 10,000, mabwana/bi afya 10,000, na wapambe wao kama mabaunsa flan HV. Roughly ajira 50,000. Hawa Walimu na wengine waajiriwe kivyao. Hakika tutafika mbali
 
Nafikiri kutokana na kukua kwa vjijni na kata, Serikali ikubali kuanzisha vijijji, Nashauri Serikali ianzishe vijiji vipya 10,000 vitakavyotengeneza ajira za VEO 10,000, Maafisa maendeleo 10,000, mabwana/bi afya 10,000, na wapambe wao kama mabaunsa flan HV. Roughly ajira 50,000. Hawa Walimu na wengine waajiriwe kivyao. Hakika tutafika mbali
 
Nafikiri kutokana na kukua kwa vjijni na kata, Serikali ikubali kuanzisha vijijji, Nashauri Serikali ianzishe vijiji vipya 10,000 vitakavyotengeneza ajira za VEO 10,000, Maafisa maendeleo 10,000, mabwana/bi afya 10,000, na wapambe wao kama mabaunsa flan HV. Roughly ajira 50,000. Hawa Walimu na wengine waajiriwe kivyao. Hakika tutafika mbali
Aidha salary kwao Si lazima. Yaani watakukamua hela za mihuli tu watajilipa na malupulupu. Hahahaaaaa. Usiombee Benki waseme fomu hii ukajaze kwa VEO, hatareeeee
 
Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.

Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.

Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.

Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.

Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.

Maendeleo hayana vyama!

Mitano 5 kazi iendelee.
 
Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.

Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.

Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.

Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.

Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.

Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo wewe mwenyewe na vibaraka wenzio mliojaa humu kina Kawe Alumni , aaaah kapotea siku hizi , ma vipeuo menzio ya kijani kibichi mnapoteza nguvu zenu bure humu , nyie mnahangaika kujibu humu kutwa kuchwa wanakuja kulamba teuzi kina Hussein Mwinyi , bado Ridhiwani .
 
Back
Top Bottom