johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Wewe unanionaje kama nawe kutwa hauko Jf?Na wewe babu yao unasubiri nini kuchapa kazi kutwa upo JF?
Chapa kazi dogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unanionaje kama nawe kutwa hauko Jf?Na wewe babu yao unasubiri nini kuchapa kazi kutwa upo JF?
Muda mwingi mimi huwa sipo jf lakini wewe kutwa nikiingia lazima uwepo, babu mzima lakini hovyo kabisa.Wewe unanionaje kama nawe kutwa hauko Jf?
Chapa kazi dogo!
Bavicha bado ipo au ilisambaratishwa na Polepole?UVCCM wengi ni wavivu sn
Na mimi kila nikiingia lazima nikukute mabashiru!Muda mwingi mimi huwa sipo jf lakini wewe kutwa nikiingia lazima uwepo, babu mzima lakini hovyo kabisa.
Kamuulize msajili wa CCMBavicha bado ipo au ilisambaratishwa na Polepole?
Ndiye aliyesajili Bavicha?Kamuulize msajili wa CCM
Ndiyo, nitolee mkosi hapaNdiye aliyesajili Bavicha?
Bavicha ni mkosi mabashiru?Ndiyo, nitolee mkosi hapa
Nafanya kazi ya ulinzi uckuHahahaaaa...... Naona bado upo.
Kachape kazi dogo Ufipa hakuna ruzuku!
Unapewa bando ya elfu 2 unashinda hapaBavicha ni mkosi mabashiru?
Hapo Ufipa hampewi bando na Nkya?Unapewa bando ya elfu 2 unashinda hapa
NdiyoHapo Ufipa hampewi bando na Nkya?
Una familia?Nafanya kazi ya ulinzi ucku
Wewe unayo?Una familia?
Hujajibu swali mlinzi!Wewe unayo?
Tafuta kazi ya kufanya babu mzima unaishi kijanja janja mpk lini?Hujajibu swali mlinzi!
Mimi ni mstaafu manka.Tafuta kazi ya kufanya babu mzima unaishi kijanja janja mpk lini?
Rafiki yangu mmoja kaanza kukosoa viongozi wa chama chake kwenye status.Kuna mmoja ni mshikaji wangu kwa wajumbe alipata kura 00 kwa Sasa kila siku kwenye status yake lazima aweke habari za ccm na jiwe.
Tuwaundia jeshi geerngurd la kudhuru kuharibu Mali za wapinzani wengine tumlazimisja diwani awachomeke tissNawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
Wapinzani wana mali gani bwashee?!Tuwaundia jeshi geerngurd la kudhuru kuharibu Mali za wapinzani wengine tumlazimisja diwani awachomeke tiss