Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Aidha salary kwao Si lazima. Yaani watakukamua hela za mihuli tu watajilipa na malupulupu. Hahahaaaaa. Usiombee Benki waseme fomu hii ukajaze kwa VEO, hatareeeeeNafikiri kutokana na kukua kwa vjijni na kata, Serikali ikubali kuanzisha vijijji, Nashauri Serikali ianzishe vijiji vipya 10,000 vitakavyotengeneza ajira za VEO 10,000, Maafisa maendeleo 10,000, mabwana/bi afya 10,000, na wapambe wao kama mabaunsa flan HV. Roughly ajira 50,000. Hawa Walimu na wengine waajiriwe kivyao. Hakika tutafika mbali
Bwashee usile peke yako lazima una mpunga mrefu kwa ulivyo Kunywa maji ya bendera utakuwa kigogo mkubwa.Bwashee mimi ni mstaafu.
Nawashauri vijana!
Hahahaaaa...... Kuridhika tu bwashee!Bwashee usile peke yako lazima una mpunga mrefu kwa ulivyo Kunywa maji ya bendera utakuwa kigogo mkubwa.
Shida wanakatishana tamaa,ili wabaki wachache wafaidi keki peke yao.Mbona mnamkatisha tamaa pasco..
Usisahau Mtagi Pascal Mayalla. Asome uziHahahaaaa...... Kuridhika tu bwashee!
Pascal Mayalla ni mstaafu!Usisahau Mtagi Pascal Mayalla. Asome uzi
Amestaafu wapi?Pascal Mayalla ni mstaafu!
Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
TVT sasa TBC!Amestaafu wapi?
Bwashee mimi ni mstaafu.
Nawashauri vijana!
Maisha hayana likizo bwashee!!Pascal Mayalla ni mstaafu!
Bwashee hii bandiko yako isijekuwa unataka kuwakatisha tamaa wakengeuke kubaki ulingoni wachache na mpate uteuziPascal Mayalla ni mstaafu!
Pensheni inatutosha bwashee!Maisha hayana likizo bwashee!!
Utezi ni hadi waliopo wavurunde na hiyo siyo leo bwashee!Bwashee hii bandiko yako isijekuwa unataka kuwakatisha tamaa wakengeuke kubaki ulingoni wachache na mpate uteuzi
@Pascal Mayalla . Alikuwa mtumishi wa TBC lini?TVT sasa TBC!
Siyo tu TBC alianzia enzi za RTD.@Pascal Mayalla . Alikuwa mtumishi wa TBC lini?
Kwahiyo wewe mwenyewe na vibaraka wenzio mliojaa humu kina Kawe Alumni , aaaah kapotea siku hizi , ma vipeuo menzio ya kijani kibichi mnapoteza nguvu zenu bure humu , nyie mnahangaika kujibu humu kutwa kuchwa wanakuja kulamba teuzi kina Hussein Mwinyi , bado Ridhiwani .Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!