Muhindi: Vijana hasa UVCCM chapeni kazi, kwa sasa hakuna teuzi zozote Serikalini

Hata hapo Ufipa teuzi wanapata akina Nkya!
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaààaàaaaaaàaaaaaaaaaàaaàaaaaàaaaààaaaaàaaaaaaàaaaaàaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kwa kweli Wakoloni wafanye mpango wa kurudi Africa. Hatuwezi kujiongoza, hatuwezi kujitawala, hatuwezi kuchaguana, tunauana, tunatafuna mali za umma na misaada, hatuwezi lolote. Hatuwezi.
 
Hata zile elfu saba saba nazo ziko kwenye hatua ya mwisho kabisa kupotea baada ya mabeberu kutishia vikwazo, na huko kwenye ujasiriamali watakumbana na VITAMBULISHO PENDWA VYA WAMACHINGA. Tulisema safari hii tutalia sote.
 
Hata zile elfu saba saba nazo ziko kwenye hatua ya mwisho kabisa kupotea baada ya mabeberu kutishia vikwazo, na huko kwenye ujasiriamali watakumbana na VITAMBULISHO PENDWA VYA WAMACHINGA. Tulisema safari hii tutalia sote.
Ruzuku ya CCM ni tsh bilioni moja na ushee!
 
Kilicho nisukuma kusoma huu Uzi nilikuwa na mgombea Fulani wa huko morogoro aligombea ubungeakashndwa akakimbilia udiwan akashndwa sasa alikuwa anaperuz Jf baadae akafyonza nilipochungulia mada nikakuta huu Uzi nasdhan alikuwa na mategemeo makubwa sana juu ya teuz hizi
 
Aliwaambia wawaunge mkoni walioshinda kwani nafasi zipo nyingi za uteuzi!
 
Na wewe babu yao unasubiri nini kuchapa kazi kutwa upo JF?
 
UVCCM wengi ni wavivu sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…