johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Hata hapo Ufipa teuzi wanapata akina Nkya!Kwahiyo wewe mwenyewe na vibaraka wenzio mliojaa humu kina Kawe Alumni , aaaah kapotea siku hizi , ma vipeuo menzio ya kijani kibichi mnapoteza nguvu zenu bure humu , nyie mnahdngdika kujibu humu kutwa kuchwa wanakuja kulamba teuzi kina Hussein Mwinyi , bado Ridhiwani .
Mama Salma alikuwa first lady na hajatosheka, na hiyo ndiyo sifa ya 'mbogamboga' bwashee..Pensheni inatutosha bwashee!
Jamaa hana njaa, alishawahi kuwa afande kwa mujibu wa johnthebaptist na ana kampuni yake nasikia akipiga show moja anapata pesa ya kula miezi 6
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaààaàaaaaaàaaaaaaaaaàaaàaaaaàaaaààaaaaàaaaaaaàaaaaàaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa kweli Wakoloni wafanye mpango wa kurudi Africa. Hatuwezi kujiongoza, hatuwezi kujitawala, hatuwezi kuchaguana, tunauana, tunatafuna mali za umma na misaada, hatuwezi lolote. Hatuwezi.Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
Chapa kazi dogo!Mimi sikati tamaa,,hata nikipata u DC siyo mbaya,tumefight sana asee🤔🤔
Hata zile elfu saba saba nazo ziko kwenye hatua ya mwisho kabisa kupotea baada ya mabeberu kutishia vikwazo, na huko kwenye ujasiriamali watakumbana na VITAMBULISHO PENDWA VYA WAMACHINGA. Tulisema safari hii tutalia sote.Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
Ruzuku ya CCM ni tsh bilioni moja na ushee!Hata zile elfu saba saba nazo ziko kwenye hatua ya mwisho kabisa kupotea baada ya mabeberu kutishia vikwazo, na huko kwenye ujasiriamali watakumbana na VITAMBULISHO PENDWA VYA WAMACHINGA. Tulisema safari hii tutalia sote.
Kumbuka matumizi binafsi ya jiwe kila mwezi ni Tshs 1.2 bilioni, Vijana wa Lumumba watabakiwa na nini hapo?Ruzuku ya CCM ni tsh bilioni moja na ushee!
🤣🤣Salamu hizi ziwafikie hadi hapo Ufipa...... Chapeni kazi!
😲😲Kuna mmoja ni mshikaji wangu kwa wajumbe alipata kura 00 kwa Sasa kila siku kwenye status yake lazima aweke habari za ccm na jiwe.
Mkuu ooo kumbe alikueleza?PASCAL MAYALLA ANATAKA U DC.
Na wewe babu yao unasubiri nini kuchapa kazi kutwa upo JF?Nawakumbusha vijana hasa wale wa UVCCM waliogombea ubunge na udiwani na kufeli waendelee kuwa wabunifu na wasisubiri teuzi za Serikali.
Rais Magufuli alishasema hatafanya teuzi mpya kwa sasa isipokuwa kwa Baraza la mawaziri pekee.
Zaidi ya wanaccm 10,000 waliomba nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini na waliofaulu ni takribani wagombea 260 na wengine 94 wameingia kwa viti maalumu vya wanawake.
Ndio kusema zaidi ya wanaccm 9500 wako kwenye foleni wakisubiri teuzi.
Vijana ingieni kwenye ujasiriamali mkachape kazi.
Maendeleo hayana vyama!
UVCCM wengi ni wavivu snKilicho nisukuma kusoma huu Uzi nilikuwa na mgombea Fulani wa huko morogoro aligombea ubungeakashndwa akakimbilia udiwan akashndwa sasa alikuwa anaperuz Jf baadae akafyonza nilipochungulia mada nikakuta huu Uzi nasdhan alikuwa na mategemeo makubwa sana juu ya teuz hizi