Muhindi: Vijana hasa UVCCM chapeni kazi, kwa sasa hakuna teuzi zozote Serikalini

Kuna mmoja ni mshikaji wangu kwa wajumbe alipata kura 00 kwa Sasa kila siku kwenye status yake lazima aweke habari za ccm na jiwe.
Rafiki yangu mmoja kaanza kukosoa viongozi wa chama chake kwenye status.
Huwa nacomment kwa emoj tu.
[emoji2]
 
Tuwaundia jeshi geerngurd la kudhuru kuharibu Mali za wapinzani wengine tumlazimisja diwani awachomeke tiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…