Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

You've simply been replaced, as attention has now been directed somewhere else !!!
 
Kama alikupenda kweli, sasa hivi anajaribu kupunguza mazoea na ww ili asizidi kuumia zaidi coz anaona huna time nae, au labda anatafuta attention yako kwa njia nyingine yaani ww ndio uanze kumtafuta sasa.
 
wamepata bwana, now anajiheahimu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
watu wa jf mnajiona perfect sana kwa kila kitu ety,
jaman hili ni jukwaa ,mtu kama hana cha kujibu si asome kmya kmya apite kushoto

mtu anayekereka ilibidi awatafute maadmin wenyew walioruhusu hizi post kuonekana.

turudi kwenye topic ,mtoa mada nakushauri usimuulize wala kuonyesha sura ya kusikitika ww smile tu na endelea na mambo yako akijirud sawa asipojirud pia sawa vile vile.
 
Ishu ya miezi mitano nyuma unajibu kama Leo, kwa ishu ya mtoa mada zaidi ya mieI mitano kwa akili zako situation bado itakuwa vilevile.

Mkimbiwa mnajaza Server muelewe.
 
Ishu ya miezi mitano nyuma unajibu kama Leo, kwa ishu ya mtoa mada zaidi ya mieI mitano kwa akili zako situation bado itakuwa vilevile.

Mkimbiwa mnajaza Server muelewe.
tuanze na akili yako,
neno mieI ndo nn??? mwanaume unakurupukaje halafu ishu ya situation ilitakiwa ajibu mhusika au na ww ulikuwepo.

la pili
utaratibu wa kupangiana kujibu nyuzi umeutoa wapi?

la mwisho
mwanaume mwenzako wakati anatengeneza hili jukwaa alikwambia uwe unafatilia wanaojaza server,au umejipa kazi isiyokuhusu(kiherehere)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…