peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ina maana alipewa mkopo bila dhamana nyingine? Ni hizo pumba tu?Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Crdb walimpaje mkopo bila bima ya mkopo?Ina maana alipewa mkopo bila dhamana nyingine? Ni hizo pumba tu?
Wanaonesha hawako makini. Wakija kukagua nyumba yako ambayo ni bond, watafanya kila kitu kuchunguza, labda waangalie aina ya tofali, watachimba sehemu A, B na C. Walishindwa vipi kujiridhisha randomly? Au kulikuwa na 10% ya mtoa mkopo uwe wa chapchap. By the way kwa faida wanazopata, huto tumilioni wanatoibiwa ni pesa ndogo sana.kivipi?
Hata akikamatwa, atashitakiwa kwa kosa dhaifu sana.Atakamatwa tuu ni swala la time.
Loan officer aliahidiwa 15% percentHiyo hela yote ina maana hakuweka dhamana kitu kisichohamishika? Mimi kwa uelewa wangu uwepo wa biashara ni justification kwamba unafanya biashara hivyo una qualify kupata mkopo wa biashara. Maofisa wa bank walitakiwa kuangalia umiliki na cash flow ya hiyo biashara na sio vinginevyo. Otherwise wamepigwa kishamba sana.
Mjini mipango 🥹🥹🥹Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Sio rahisi kukimbia maana kwa vyovyote kuna dhamana atakuwa kaziweka.. Ila kama alikula dili na afisa mikopo wake, huyo afisa amekwishaMuhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Ni supplier mkubwa wa chakula cha wanyama na binadamu. Unamkamata kwa kosa lipi!!??Atakamatwa tuu ni swala la time.
Na hiyo ilikuwa chakula ya wanyama sasa kosa langu hapo ni nini. ?Ni supplier mkubwa wa chakula cha wanyama na binadamu. Unamkamata kwa kosa lipi!!??
Na huo ndio ukweli.Loan officer aliahidiwa 15% percent
Akajichanganya
🤣🤣🤣