National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kuna mda wa biashara wanaangalia, bank statement ya mda flani, na financial statement kuanzia miaka mitatu kuanza tengeza picha kama una uwezo.. Kukopeshe biashara mbona ipo sana mkuu.. bank ni wafanya biashara wanalewa namna ya ku calculate risk zao.. hivi karibuni kuna mahala nilipata fura ya kukopea biashara naongea nacho kijuaMkuu kwa hiyo biashara ikifilisika recovery yake inakuwaje
Huyu lazima atakua mwanachama wa CCMMuhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Ok, ngoja nifuatilieKuna mda wa biashara wanaangalia, bank statement ya mda flani, na financial statement kuanzia miaka mitatu kuanza tengeza picha kama una uwezo.. Kukopeshe biashara mbona ipo sana mkuu.. bank ni wafanya biashara wanalewa namna ya ku calculate risk zao.. hivi karibuni kuna mahala nilipata fura ya kukopea biashara naongea nacho kijua
Huyu alienda kwa target kubwa mwenyekiti ajashirikishwaMuhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Jamaa kashirikiana na bankUnapewa mkopo kama ni mteja mzuri na una mzunguko katika account yako
Sasa wao wanatoa mkopo kwa kuangalia magunia
Basi wajinga sana bank za huko
Hilo niliwaza kwa kweliJamaa kashirikiana na bank
Kuna watu hapo bank wanajua vizuri
Itakuwa
Ova
Haha wachaga tulikukosea nn mkuu?Kimeumana.
Mangi kamla mangi.
Hapo lazima TAPELI ni mangi kushirikiana na mangi mwingine Afisa Mikopo kapiga.
Hata huyo anayeongea hapo ni mangi kabisa
Mbona naishi uchagani mimiHaha wachaga tulikukosea nn mkuu?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ....kama bank wanatapeliwa je raia?Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Ana pepo la umaskiniMuhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
ππππ
Mwamba huyu hapa
CIA au FBI watu wa hivi wanawapa vitengo. japo ni uhalifu lakini ni ushahidi kuwa wana matumizi mazuri ya akili