Muislamu anaweza kutibu nguruwe?

Bata na nguruwe nani msafi zaidi ya mwezie.??

#MaendeleoHayanaChama
 
Sasa babu yangu amekula hiyo nyama pendwa na ameishi zaidi ya miaka 100...

Hebu tupe madhara serious basi.
swala la kuishi sana au kutoishi sana ni mipango ya mungu. ila kama kitu ukiambiwa kina madhara unaweza ukaachana nacho au uoaendelea nacho.

Ukitaka madhara seriouz na me naweza nikakuuliza wewe unashiriki mapenzi ya jinsia moja
 
swala la kuishi sana au kutoishi sana ni mipango ya mungu. ila kama kitu ukiambiwa kina madhara unaweza ukaachana nacho au uoaendelea nacho.

Ukitaka madhara seriouz na me naweza nikakuuliza wewe unashiriki mapenzi ya jinsia moja
Sishiriki mapenzi ya jinsia moja kama wewe.

Turudi kwenye mada ya nguruwe sasa...
 
Sishiriki mapenzi ya jinsia moja kama wewe.

Turudi kwenye mada ya nguruwe sasa...
uko kwenye mada ya nguruwe wewe hata usiwaze tutarudi tu.

Sasa kwanini hautaki kushiriki mapenzi ya jinsia moja kwani umesikia kuna madhara yoyote yale
 
Sijajua kama kuna madhara maana sijawahi hata kuwaza kujaribu... Tupe uzoefu wako basi afu turudi kwa nguruwe....
basi hakuna madhara yoyote ndugu yangu nakushauri leo utafute mtu akujaribu kidogo au unalionaje wazo langu
 
Kwahiyo unataka niwe kama wewe?
Ndio nataka uthibitishe kwa mdomo wako maana inaonesha wewe hauamni kitu mpaka ufanyiwe au umuone mtu anafanyiwa.

turudi kwenye mada ya nguruwe na swala zima la kula

hivi unajua kama Mahta Gadhi aliyekuwa mwanaharakati wa india wakati wa kudai uhuru wa india . alikawahi kukaa wiki tatu (3) . bila kula huku akinywa maji lakini hii aimaanishi kuwa yeye ni kipimo au jibu sahihi kwa watu wote duniani. kuwa wanaweza kuishi week 3 nzima kwa kunywa maji tu
 
Pale unapofungua uzi upate maarifa lakini unakutana na mizaha chungu nzima...
inshu inayokuja kuna watu wanaleta ushabiki kwenya masuala ya ukweli yani unaitajika ukweli yeye analeta ushabiki
 
Na kwanini upite, karibu namsikitini na nguruwe si kujitafutia msala tu

Ova
 
Hivi sigara pamoja na madhila yote inayosababisha Kwa watumiaji na wasiotumia hamjaona sababu ya kuiharamisha kama ilivyo pombe na nguruwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…