jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Bata na nguruwe nani msafi zaidi ya mwezie.??Nguruwe haliwi, ni haramu! Nguruwe ni mnyama mchafu sana anayefugwa huko vijiji, anaishi kwa kula vitu vya ajab ajab tu!
Kitimoto ni nyama ya nguruwe na hiyo ni safi mno, ikiandaliwa vyema hasa rost kwa ndizi ama ugali basi huondoa stress za njaa na mawazo!
Tuendelee kula kitimoto!!
#MaendeleoHayanaChama