Muislamu anaweza kutibu nguruwe?

Kama Hadi sasahivi hujui nilikua wapi kabla sijaja duniani Basi wewe nipimbi wakutupwa.
Wewe ndio upimbi..mana hujui uliko toka na hujui utakako kwenda zaidi ya kukaririshwa illusions za wajinga wa zamani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wale ni viumbe wa Mungu haitakiwi wateseke. Tutawatibu vyema
 
Kila mnyama ana magonjwa ndiomana huli nyama yoyote bila kuipika ikaiva vzr usimsingizie nguruwe tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kila mnyama ana magonjwa ndiomana huli nyama yoyote bila kuipika ikaiva vzr usimsingizie nguruwe tu.

#MaendeleoHayanaChama
ebu soma kwanza hiyo comments hapo nadhani utajua utofaut wa nguruwe na wanyama wengine.

la nyongeza tu nguruwe wa kike anapata ada yake mwisho wa mwezi ( HEDHI & ANA BLOOD) . kama binadamu
 
ebu soma kwanza hiyo comments hapo nadhani utajua utofaut wa nguruwe na wanyama wengine.

la nyongeza tu nguruwe wa kike anapata ada yake mwisho wa mwezi ( HEDHI & ANA BLOOD) . kama binadamu
Hapo kwenye hedhi hujatumia sayansi zaidi ya kutumia myth tu..kuna cycle mbili tu nazo ni menstrual na estrous cycle..binadamu tu ndio mwenye menstrual wanyama wengine wote wana
estrous cycle.

Kadanganye wajinga wenzio huko madrasa..nikuulize tu swali la haraka tu huyo nguruwe ana bleed kwa siku ngapi?na ulishahudia hizo siku za bleed??

Kuhusu magonjwa ya wanyama hasa hiyo minyoo kuna taeni saginata pia wapo kwenye ng'ombe...infact hakuna nyama salama ndio mana unapika hadi ziive ndio ule..hata hao unaoita harari lazima uwapike waive ndio uwale usipo fanya hivyo lazima zoonotic diseases zikutandike na ukichelewa kupata matibabu unakufa.


#MaendeleoHayanaChama
 
Tatizo hapa sio kutibu nguruwe ila hawa madaktari wa mifugo huwa wanawala wateja wao
 



tuendelee kusema maendeleo hayan chama dr jiwe angavu
 
Nenda sua utawakuta madaktari wengi wa mifungo wanatibu wanyama wote hadi nyoka
 
Kilichowatuma kuandaa kombe ni kitu gani? Si wangewaachia wengine waandaye kama wao hawataki vitu haramu? Hilo wanalo kumkataza binadamu mwenye utimamu kitu akipendacho wao waandaye tu magereza sijui watafunga wageni wangapi, kwahiyo mlevi akilewa akae baa mpaka pombe iishe kichwani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli wanalo, kitimoto italiwa tu mpaka kizazi chao watajifunza umagharibi.
 
Logically ingawa mimi sio dini yangu na hata kama wanakataza ndio anweza kumtibu...

Labda nikuulize wewe ukikutana na Shetani ana shida huwezi kumsaidia? Sababu nadhani kutoa msaada kuna pre-empt katazo la uharamu wake

Yaani kuacha kutoa msaada ni kuua; na nadhani kuna katazo la kuua pia..., Wewe kama Daktari umekula kiapo cha kutibu (sasa kuacha kutibu unavunja kosa la kuwajibika na ufisadi) Ufisadi which is Dhambi in anyone's books... (Hapa ya Kaisari anaachiwa Kaisari)
 
uislamu umetokea nchi ya jangwa na kumbuka jangwa hakuna nguruwe !. leo ulazimishe watu wale tende au ngamia wakati sehemu zengine hivo vitu havipo.
 
Labda cheti chake cha udaktari wa wanyama kina kipengele kinachomkataza kutibu nguruwe.
 
Achaneni na primitivity, tuko kaline ya 21
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…