Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mapenzi yanauwa
 
Nawe ndo walewale tu.
 
Yani hii inaonekana ilikuwa series ya matukio jamaa anayadidimiza moyoni tu then one day moyo ukalipuka akapiga mtu risasi.

Wanawake wengine wanajiona sana. Kama huyo nikimcheki tu fasta fasta ana ego issues na mwana ndio alikuwa ananyenyekea hapo. Hakujua jinsi ya kudeal nae vizuri akajikuta mvumilivu na matokeo ndio haya.

Kwa wanaume kama unaona unaendelea kuchase wakati mtu ni wako tayari, kimbia fasta mwanamke atakufanya ufanye tukio usilotegemea.
 
Tunakoseaga sana. Unaacha kuoa mke..unaoa mwanamke.
Mwanamke ni yeyote mwenye uke na anaweza kukosa sifa ya kuwa mke.
Ukioa malaya yeye anaringia uke..tako na sura..haoni shida kuvunja ndoa kwa hamu ya siku zote.
Huyu amejitakia
Aina hii ni ya kupig kuachaa tu
Syo kuoa

Ova
 
Hivi wasukuma na kujichumbua mtaacha lini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…