Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kuna jamaa yangu alishawahi kaa na mke aina hiii alikuwa anamsumbua sana jamaa maana jamaa kutwa kumez panadol
Kuna siku mke akamwambia mme wake anataka kwenda fiesta,jamaa kmkataaza mke akaenda na wenzake
Kibishi....
Jamaa akaniambia nkamwqmbia kama umemkataza kapuzia we achana naye,faster nkaenda kwake na fundi kubadili komeo na vitasa vya mlango kuingiliaa
Ile ndy ilikuwa one way ticket yake
Alirudi kesho yKe asubuhi kila akifungua olaaaaa
Ikawa imetokaaa

Ova
 
Ninavyojijua hiiiiiii
 
Lakini na nyie kwanini kumzuia mwenzako asiende kwenye shoo kitu roho inapenda?

Kwanini mnataka kusikilizwa nyie tu, kwanini wake zenu hamuwasikilizi?
Ni nature na utaratibu wa Afrika, ndo maana nyie hamtoi mahari wala hamuoi bali mnaolewa
 
Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
Yy hakuwa na ratiba ya kwenda huko
 
Hakika umenena, nashukuru Mungu hajanipa mapenzi kipumbavu, eti nijiuwe kisa mke, aondoke tena kwa amani, niendelee na maisha yangu.
 
Amekula jeuri yake
 
Katumia risasi vibaya angechomeka pasi kwenye soketi angeanza kunyoosha kwenye mapaja hadi kwenye papa inayomtia kiburi
 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna uzi umefungwa hapa japo Mods wameufuta ama kuzuia unasema hivi👇


Mmoja amecomment akisema wanawake ukiwapa fursa andika umeumia, huenda Bwana Yesu alikumbuka waliyofanyiwa Adamu, Samson, Yohana (kisa cha Herodia na Herode)
 
Nampongeza sana mwamba tutarajie mengi yanakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…