Ewaaa raha ya ugomvi mpigane kikubwa kitandani πhapana mama kijacho, siraha kwangu mwikoo .. i wish hata ndani hata kisu kisiwepo.. yaani tukikorofishana ni body to body tuuu hakuna kunyanyua mdomo wala kunyosheana vidole ππ
Kwa nini bby? Alafu wee mbona umenichomesha mahindi hapantegeta kibaoni@mzabzab sikuwezi mzeya.
Aaah we sijui umenifanya nini tuu, umeninaliza kabisa, ila nashukuru umestaarabika kuliko wanawake woote kwangu πππEwaaa raha ya ugomvi mpigane kikubwa kitandani π
Manshallah mtoto mzuri but naona anayumba yumba pic ya kwanza nilimuona wa kawaida saana! hana maajabu!?
...Na Wewe Usikubali Tena KuolewaΒ‘!!... Gawa TU...!!Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....
Unafika ndani unaanza kumwekea mipaka.... Utakuwa una shida KICHWANI...
Ukitaka vinginevyo kachukue kanisani au msikitini....
Hivi ushawahi sikia mwanamke kutoka tanga,kauliwa sie zaidi ya kumpa furaha mume hatujui kumpa hasira mwanaume hadi kufikia kuuwaπ€·πΌββοΈAaah we sijui umenifanya nini tuu, umeninaliza kabisa, ila nashukuru umestaarabika kuliko wanawake woote kwangu πππ
Wewe unayafanya haya unayoyasema? Au unaongea tu?Sidhani kama alikosa means ya kuitafuta ya kiamani kabisa, shida kuna watu mnapenda mifumo dume sana sio kila jambo utakua mkali, jaribu pia kumpa nafasi mwenzako vitu anavyopenda mnataka mfanane kila kitu kama hupendi mziki yeye anapenda mpe nafasi unaweza mpeleka wewe ukaenda sehemu tulivu ukimsubiria atoke simple
hata mie sijielewi kama nipo kwenye kadunia kangu ka peke yangu yaani, mwanamke hujawai nikwanza , mwanamke hujawai nikasirisha sio mwepesi wa kujibu, daah! Mda wote umekuwa furaha yangu.. tanga acha paitwe tanga umenimaliza ππHivi ushawahi sikia mwanamke kutoka tanga kauliwa sie zaidi ya kumpa furaha mume hatujui kumpa hasira mwanaume hadi kufikia kuuwaπ€·πΌββοΈ
Rafiki nimejibu juu pale, nimewahi ila sio kwa kiwango hicho.Hv Kelsea umeahawahi penda mtu kweli ww!!
...Ina maana Bado yupo Mahabusu??...Hiyo inaitwa manslaughter, kuua bila kukusudia..akichanga karata vizuri atakaa jela miaka isiyozidi mitatu.
Basi hujawahi penda kindaki ndakiRafiki nimejibu juu pale, nimewahi ila sio kwa kiwango hicho.
Sasa jama si alijiua mkuu kesi itaendaa wapi.. sema iliacha maswali sana kuhusu jamaa alijiua vipi sema ilikuwa ni kielelezo tosha kuonesha mwanaume akijitoa kumhudumia na kumpa maisha mwanamke inabidi mwanamke asifanye makosa ya kumuona mwanamme ni bwege na kwamba hana cha kumfanya ni HATARI SANA CHUKI BAADA YA UPENDO HUWA CHUKI KUU...Hivi Ufoo Saro aliishis Wapi, Mkuu?...
Toka nizaliwe sijawahi sikia hizi kesi tangaaa...Hivi ushawahi sikia mwanamke kutoka tanga,kauliwa sie zaidi ya kumpa furaha mume hatujui kumpa hasira mwanaume hadi kufikia kuuwaπ€·πΌββοΈ
Shoo tamu nshakutana nazo ila sasa kama huyo mtu haendi sawa na mimi silazimishi. Nitapambana na moyo wangu ila katu sisumbuagi mtu.Hujawahi pigwa shoo ya kibabe kutoka kwa wababe akina sie ukajikuta unapenda/love to death
Dah....na ni hatari sana kuishi kwenye hii dunia ukiwa na akili timamu π€£π€£π€£π€£π€[emoji3][emoji3][emoji3]kila mtu ni kichaa level zetu zinatofautiana tu kidogo.
Inawezekana pia na Mungu aepushe mbali.Basi hujawahi penda kindaki ndaki
[emoji23]Dah....na ni hatari sana kuishi kwenye hii dunia ukiwa na akili timamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Anaefanya umalaya ni Mwanamke, Mwanaume anafanya uhuni.Ila wanaume wao sawa wafanye umalaya ?
Mtu mmoja anatafutwa na Polisi baada ya kujiua na kukimbia..