Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Akina mama sio wakuamini hua wanajua mienendo ya watoto wao lakini wanawafichia siri tu
Kweli kabisa mm mama yangu yupo Singida mm Dar, mdogo wangu wa mwisho anaishi na mama huko nilikuwaga namlipia ada ya ufundi na mazaga zaga mengine nikijua anaenda chuo kusoma kumbe anaenda kwa mwanaume mpaka akazalishwa na mtoto juu mama hata hajaniambia na bwana ake anamjua daah nilichoka siku nilipogundua na nikamkatia Kila kitu nasikia Sasa hivi kazalishwa mtoto wa pili na wote wako hapo hapo kwa mama.
 
Endeleeni na kuwa vichwa ngumu tu, ndio madhara yake haya, kwanini hamtaki kuwatii waume zenu? Usawa? UPI? Nyienyie! Jidanganyeni tu .
 
Silaha hizi zinatumika zaidi for murder than self defence


Na Kaka zangu na wadogo zangu oa mwanamke unayemmudu..pisi kali unataka awe housegirl anakuna nazi tena?..huwezi pata vyote broo

Mbona wanawake tunakubali
Bwana yuko busy anaingiza hela ila romance ama making love sanaa inapungua hana muda ama anachoka..u must tradeoff
 
hata mie sijielewi kama nipo kwenye kadunia kangu ka peke yangu yaani, mwanamke hujawai nikwanza , mwanamke hujawai nikasirisha sio mwepesi wa kujibu, daah! Mda wote umekuwa furaha yangu.. tanga acha paitwe tanga umenimaliza 😎😎
Penzi limetaradadi walah πŸ˜„πŸ˜„
Hongereni jamani
 
Mapenzi ni nini???!!!., what is love???!
Hivi mapenzi yana formula?!!
Hapa hapakuwepo na PENZI!
 
...Ndio maana aliachika Ndoa ya Kwanza! Alikuwa hajatulia.
Kwa Nini ukatizame UEFA Vibanda-Umiza? Hawakuwa na TV ndani??
Kumbe anamfuata Mchepuko!!
 
Ndio umuue?.

We unapangiwa pa kwenda?.

Nakubali mke mheshimu mume ila ndio umuue akienda against?.
Kila Mtu ananjia zake za ku solve matatizo yake,Kama Mwamba kaamua kutumia risasi ku solve tatizo lake,sisi ni akina nani hadi tumuhukumu!!!?? Atajuwana na Muumba wake huko aliko!! Ila Wanawake wasikilizeni waume zenu zaidi kuliko the outsiders!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa!

Nilifanya maamuzi magumu mapema sana ,na kama nisingefanya hivyo huenda tungebadilishana majengo ya serikali
Mkuu umeghairi kuoa pisi inayokuelewa [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…