Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

B
Halafu, she is not even drop-dead gorgeous.

She is average at best [to quote the late great Kevin Samuels].

Naona watu wanaangalia picha ambazo alipiga akiwa keshajiremba.

Bila make-up, she is average at best.
Bado nimzuri sana
 
Halafu, she is not even drop-dead gorgeous.

She is average at best [to quote the late great Kevin Samuels].

Naona watu wanaangalia picha ambazo alipiga akiwa keshajiremba.

Bila make-up, she is average at best.
How do you define beauty because beauty is in the eyes of the beholder.
 
Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.

Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.

Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.

Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.

Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?

By the way anything else Happen for a reason.

RIP Binti Mzuri



==================================

Mama mzazi wa marehemu, Bi Tiba Mohamed anasimulia kilichotokea kuhusu ndoa ya mwanaye na mumewe ambao wamedumu katika ndoa kwa muda wa miezi mitano, kwani walifunga pingu za maisha Desemba 30, 2021.

Anasimulia: “Watoto wangu waliitwa na baba yao hapa nyumbani (Mei 28, 2022), walipofika baba yao akapata dharura hivyo hakuzungumza nao nikabaki nao tukawa tunataniana tu.

“Alikuwa akinitania kwa kufurahi kuwafunga Simba akawa anishawishi na mimi nihamie Yanga (Yanga iliifunga Simba bao 1-0 siku hiyo kwenye CCM Kirumba Mei 28, 2022).

“Baadaye baba yake akapiga simu na kusema mume wa Swalha amepiga simu kumjulisha kuwa amefika na hivyo Swalha aende akampokee Igombe.

“Swalha akasema gari yake haina mafuta, hivyo wakakubaliana wakutane nyumbani na mwanaume akasisitiza kuwa ana njaa sana, akamtaka mke wake aende akampikie.

“Nikawasindikiza hadi barabarani mida ya saa moja usiku, muda huohuo mume wake akapiga simu akiwa anafoka, nikamtaka awe na subira mkewe anakuja yupo njiani.

CHANZO CHA UGOMVI
“Kuhusu ugomvi kati yao labda ni kuhusu simu, Jumatano iliyopita alipata tenda ya kwenda kumpodoa bibi harusi Shinyanga. Alipofika huko wakati akiwa kwenye kazi mume akawa anapigapiga simu, Swalha akawa anamwambia asimpigie kwa kuwa yupo kwenye kazi.

“Ijumaa jioni akawa anamtafuta hivyohivyo na kumsisitiza arudi nyumbani, Ijumaa hiyohiyo jioni akarudi akafika nyumbani usiku, mume akawa anapiga simu, Swalha akapokea na kumwambia anaomba apumzike kwa kuwa amepodoa watu wengi na amesimama muda mrefu hivyo amechoka.

“Mwanaume akawa anaendelea kupiga simu usiku huohuo, Swalha akalala, alikuja kushtuka saa tisa usiku akakuta miss call 42. Akampigia alivyopokea wakaanza kukwaruzana tena, mwanaume akawa analalamika na kumfokea alikuwa wapi na anafanya nini mpaka hapokei simu.

“Swalha alivyoona wanazidi kugombana akaamua kuweka simu pembeni ili ugomvi usiwe mkubwa.

“Asubuhi yake mume wake akanipigia simu na kusema kuwa mke wake amemjibu vibaya. Kwa hiyo ndio akapanga kurudi Mwanza.

“Baba yake alivyomuita hapa nyumbani nadhani alitaka wazungumze kuhusu hilo, lakini ikatokea wamepishana na mume alivyofika nadhani ugomvi utakuwa uliendelea.

KUHUSU KUPIGWA RISASI
“Taarifa ni za kweli, pale ndani (wanapoishi Swalha na mumewe) kulikuwa na watoto watatu wametuambia risasi zilipigwa.

“Wanasema huyo baba alikuwa na kawaida ya kuijaribu silaha yake, mara nyingine anapiga hewani, hivyo walivyosikia mlio wa risasi wakawandelea kulala.

“Ni hadi waliposikia Swalha amepiga kelele mara moja tu lakini risasi zikawa zinaendelea kupigwa. Mtoto mmoja akaenda kusikiliza mlangoni kwa Swalha kisha akatoka mbio kwenda kwa kuwataarifu majirani.

“Wakaenda Polisi, kumbe yule mtoto alivyotoka tu yule baba naye (mume wa Swalha) akaondoka. Polisi walivyofika wakauchukua mwili wa Swalha.

“Taarifa za tukio sisi tulianza kuzipata kutoka Kisiwani huko anapofanyia kazi (mume wa Swalha), ndipo majirani wa Swalha na askari wakaja kutoa taarifa wakisema mwanangu ana hali mbaya ameshambuliwa kwa risasi.

“Baba Swalha akaondoka na ndugu zangu kwenda huko maana nilibaki nyumbani, niliishiwa nguvu baada ya taarifa hizo, nikashindwa kwenda, saa tisa usiku wakarejea na ndipo nikajulishwa kuwa Swalha ameshafariki dunia.

“Marehemu hakuwa na mtoto na sijajua nini kinaendelea mpaka sasa.

“Kuhusu huyo mume wake haijulikani yuko wapi, kwani Polisi mara ya mwisho walisema wameangalia simu yake ikaonekana yupo maeneo ya Tunza.”

JESHI LA POLISI LINAMSAKA MTUHUMIWA
Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi ni kuwa ni kweli tukio hilo limetokea kutokana na mgogoro wa ndani wa kifamilia na mtuhumiwa ametoroka, anaendelea kusakwa kwa kuwa alitoroka baada ya tukio.

Kuhusu madai kuwa mtuhumiwa ni mtu wa usalama kama inavyodaiwa na baadhi ya watu amesema sio kweli, ni mvuvi na anamiliki silaha yake kihalali. Jina lake halijatajwa kutokana na sababu maalum.

Wakati mwingine bora kumiliki pisi ya kawaida tu. Sasa pisi kama hii, yaani ni maumivu tu. Pole sana mwamba kwa kulikoroga.
 
Elimu ya mahusiano iliyopo imelalia upande mmoja wa feminine imperative. Jamii nzima inalelewa kwa ajili ya kutimiza mahitaji wa mwanamke. Vijana wanapoona wanatimiza kila kitu kama walivyoelekezwa na jamii na kisha matarajio yao ya penzi la kudumu na lisilo na masharti kutoka kwa wanawake husika kutotimizwa wanajiona wamekosewa pakubwa na hivyo kuchukua maamuzi magumu.

Ila ukishaelewa hypergamy na conditional love ya mwanamke huwezi pata tabu
Toad darasa hapo mkuu hoja yako ipo very interesting
 
yes ni upuuzi sana kujiua au kumuua mwanamke kwa sababu ya wivu wa mapenzi. Halafu kitu kimoja ambacho wanaume wote duniani wanapaswa kupewa somo ni kwamba wanawake wote huwa wana maudhi by nature so mwanamke anapo kutamkia maneno ya dharau do not take it personal
Hata wanaume wanayo maudhi mengi tu la muhimu ni kuvumiliana. Madamu hamukuzaliwa wala kulelewa pamoja kila mtu anakotoka huwa na vitabia vyake vyengine vizuri na vyengine vibaya.
 
Unaweza mlazimisha mtu kumuoa?? Huyo mwanamke alimpenda huyo jamaa, sema itakuwa marafiki na tamaa za hapa na pale kwa wanawake.
Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari vinasema marehemu hakuwa anampenda jamaa ila alikubali kuolewa naye kwa kuwa jamaa alikuwa anamtimizia mahitajI yake ya kifedha na kwa wanawake wengi sana ndivyo ilivyo anakuwa na mtu kwa kuwa ana pesa but wa kumkuna anayempenda kwa dhati ni mwingine kabisaa
 
Itoshe tu kusema Binti hakuwa tayari kuwa kwenye ndoa.

Inawezekana kwenda alipokwenda ni tatizo lakini namna alivyokuwa anamjibu Mume kila akiuliza ikawa ni tatizo zaidi.
Hata jamaa naye hakuwa tayari kuwa kwenye ndoa.

Au yawezekana hata hakufaa kuwa kwenye ndoa.

Maana kayatupa maisha yake kiboya sana.
 
Historia ya Binti mpambanaji, aliyeuwawa na Mumewe kwa kupigwa Risasi Jijini Mwanza

 
Juzi nimechelewa Kurudi, waifu ananambia Ww endelea Ipo Siku Nitakupa sumu Ili Hao wanawake WaKo wakome. Niko kwenye process ya kumtema Ingawa aliomba msamaha Asubuhi.
.
Huyu Mwanamke ninaishi nae under presumption of Marriage

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah usichukulie poa hiyo hata kama sio leo wala kesho,inaweza kutokea hata uzeeni,nadhani lifikishe hilo swala kwa viongozi wenu wa dini au kwa kwa wazazi ili wamkanye,kuwa makini nae sana.
 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu mwanamke bila kupepesa macho alikuwa ni malaya na anajiuzaga sana sema anatumia Uzuri wake, kuna jamaa yangu yupo Bwiru alipita nae, week kama 3 hv kuna mwanang wa capripoint aliruka nae coz nilienda Mwanza kutokea dar ndo nikakutana na jamaa yang wa huko capripoint ndo akanitambulisha kumbe ni wife wa mtu.
Aisee wanawake mnaangaika muolewe ila mkiolewa bado mnafanya umalaya sijui mnataka nn.
 
Hapa ndo utajua kuwa wengi humu wanamiliki wanawake avarege tofauti na jinsi ambavyo kuwa wanajunasibu kwenye nyuzi mbalimbali humu, hii pisi inavyosifiwa humu kwa uzuri nimebaki nashangaa aiseeh.

Mtu anakwambia eti pisi ilikuwa kali sana, jamaa yupo halali, daaah😄.
 
Siyo kiburi lazima ujitambue na utambue kile unachokitaka.... haiwezekani umchukue binti wa watu anapenda kwenda CLUBS, kuhudhuria shows za music na mfano wake....

Unafika ndani unaanza kumwekea mipaka.... Utakuwa una shida KICHWANI...

Ukitaka vinginevyo kachukue kanisani au msikitini....
Wewe inaonesha ni jeuri sana
 
Na wewe mwanaume unajielewa kabisa unapiga simu mara 42 unataka nini.?

Call her once, send an sms ya unachotaka kumwambia then mute..asipojibu mda akija home atatoa maelezo hadi ya ziada.
Of course!.

Mara kadhaa humu jf nimesisitiza, dawa ya mke mtata ni kumpandisha cheo awe Bi Mkubwa.

Akizidisha kadhia baada ya kumpandisha cheo, unampa nafasi afanye take Wewe tulia kwa Bi Mdogo.

Kumdhibiti mtu mmekutana ilhal vitovu vimekauka haiwezekani. Kamwe!

Wanaume tuendelee kuwa Makini. Kama humwelewi mkeo kuua sio suluhisho.
 
Hapa ndo utajua kuwa wengi humu wanamiliki wanawake avarege tofauti na jinsi ambavyo kuwa wanajunasibu kwenye nyuzi mbalimbali humu, hii pisi inavyosifiwa humu kwa uzuri nimebaki nashangaa aiseeh.

Mtu anakwambia eti pisi ilikuwa kali sana, jamaa yupo halali, daaah[emoji1].
[emoji23][emoji23] JF ni ulimwengu tofauti na uhalisia wa maisha yetu huko kitaa.
 
Huyu mwanamke bila kupepesa macho alikuwa ni malaya na anajiuzaga sana sema anatumia Uzuri wake, kuna jamaa yangu yupo Bwiru alipita nae, week kama 3 hv kuna mwanang wa capripoint aliruka nae coz nilienda Mwanza kutokea dar ndo nikakutana na jamaa yang wa huko capripoint ndo akanitambulisha kumbe ni wife wa mtu.
Aisee wanawake mnaangaika muolewe ila mkiolewa bado mnafanya umalaya sijui mnataka nn.
Ile kupiga risasi saba kwenye kichwa kimoja ni ishara ya kuwa jamaa alichoka na tabia za huyu mwanamke na alidhamiria kufanya hivyo, maana kama ni swala la kupitiwa ukishoot moja tu ni lazima akili ikae sawa.

Jamaa alitaka kuhakikisha mwanamke haponi kabisa, aiseeh risasi saba kwenye kichwa sio mchezo wazee.
 
Back
Top Bottom