Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Hata wanaume wanayo maudhi mengi tu la muhimu ni kuvumiliana. Madamu hamukuzaliwa wala kulelewa pamoja kila mtu anakotoka huwa na vitabia vyake vyengine vizuri na vyengine vibaya.
wanaume wengi hatuna uwezo wa kuhandle maudhi ya wanawake. our ego is weak when it comes to women's osh kosh b'gosh. Ninyi wanawake kidogo mnaweza kuvumilia maudhi ya wanaume. Ur egos is stronger than maudhi yeni
 
Toad darasa hapo mkuu hoja yako ipo very interesting
Popote penye conflict, mwanaume anapoambiwa asimame kama mwanaume, utaona anayepata manufaa ni mwanamke.

Mfano:

Kumuoa mwanamke aliyeshika ujauzito wako japo hamkupanga
Kulea ujauzito usio wako na mtoto asiye wako kwasababu umempenda mwanamke husika
Kumsamehe mwanamke anayezingua ili kukwepa kuvunja familia, ati watoto watapata shida
Kumuacha bila shari mwanamke uliyemjenga kimaisha pale anapopata mwanaume mwingine wa hadhi yake mpya

Tunategemewa tutafute hela, tuwahudumie, tuwasikilize, tuwakabidhi uhuru wetu, mali zetu na bado tusiwadai chochote mara tu wanapobadilisha mawazo ya kuwa nasi kimapenzi kwa sababu wanazozijua wenyewe.

Kwa kulitambua hili, vijana wanatakiwa wajiandae kisaikolojia, na wasijisahau wanapokuwa kwenye mahusiano kiasi cha kuwekeza imani na mategemeo yao yote kwa mwanamke mmoja. Wanatakiwa wajue siku ikifika, mwanamke hatajali yote unayofanya au uliyofanya kwa ajili yake.

Wanaume wengi waliopigwa matukio heavy wana msemo mmoja "I didn't see it coming - Sikulitarajia hilo kabisa"

Hivyo vijana inabidi walitarajie hili na wachukue hatua za kujilinda. Waache kujisahau pale mahusiano yanapokwenda vema. Waulinde uhuru wao kwa gharama zote, na wailinde hadhi yao kama wanaume. Waulinde uanamme wao, wasiruhusu uchezewe na mwanamke awapande kichwani.

Wawe na utayari na uwezo wa kumuacha mwanamke mara tu anapotikisa kiberiti. Msimamo ndio unajenga heshima kwa mwanamke.
 

Mwamba,

Pisi kali hata kama hela imeelemeana huko Bank, bila akili ya kuishi naye matokeo ni haya.

Ushawahi kusikia watu wakisema, jamaa Ana mke mrembo kishenzi lakini haachi u-kicheche huku mtaani. Ushajiuliza kwa nini Mwanaume anafanya hivi?

Kumbuka, Mama pekee ndio anakuwaga mmoja, mke mmoja haiswihi!
 
Nimesikitishwa sana na tukio hili. Kusoma tukio hili la kuhuzunisha lililowatokea vijana wenzangu tena Waislam, kunanifanya nizidi kuyazingatia na kuyatafakari maneno ya Mtume Muhammad (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam);

وَعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ عَنِ النَّبِيِّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ قَالَ:{ تُنْكَحُ اَلْمَرْأَةُ لِأَرْبَعٍ: لِمَالِهَا، وَلِحَسَبِهَا، وَلِجَمَالِهَا، وَلِدِينِهَا، فَاظْفَرْ بِذَاتِ اَلدِّينِ تَرِبَتْ يَدَاكَ}مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ مَعَ بَقِيَّةِ اَلسَّبْعَةِ

Kutoka kwa Abuu Hurayrah (رَضِيَ اللهُ عَنْهُ)amesema kuwa Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) amesema: “Mwanamke huolewa kwa mambo manne:[4] kwa mali yake, hadhi yake, uzuri wake na Dini yake. Basi oa aliyeshika Dini (vinginevyo) mikono yako itachafuka.”[5] [Al-Bukhaariy, Muslim pamoja na Maimaam saba (Al-Bukhaariy, Muslim, At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Abuu Daawuwd, Ibn Maajah, Ahmad) waliobakia.

Allah awasamehe na awarehemu wanandoa hao. Inasikitisha sana.
 

Ukilazimishwa kuoa Wewe oa huyo uliyelazimishwa.

Kisha haraka sana oa yule unayemtaka. Basi!

Wewe ni nahodha (pilot) wa maisha yako.
 
Juzi mke wangu nilimuomba mechi alfijiri na mapema kama kawaida cha ajabu akaniambia amechoka hataki nikaforce akabana ni kaudhika sanaa tena sana kwani si kawaida. Nikakumbuka ushauri wa mshenga usimlazimishe mke jambo lolote nikageuka ukutani nikamwambie staki tulaimiane kiusingizi kikaniipitia kuja kustuka mtu yupo juu anakatika tu vitu mara nikamwaga waaaa na sorry kibao nikakausha tu .usimlazimishe mwanamke jambo lolote ambalo unaona analaximisha kulifanya utakuja nishukuru

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kajipa kazi ya kutoa uhai wa mwanadamu ambayo si yake, hukumu ya Mungu yamhusu! inaelekea kabisa alikuwa anatumia nguvu ya pesa wakati hakuwa anapendwa na inaelekea alikuwa anajua kuwa hapendwi. Pesa kamwe haiwezi nunua kila kitu.
Nioshe bastola yangu baada ya mihangaiko ya kutwa nzima
 
Nioshe bastola yangu baada ya mihangaiko ya kutwa nzima
 
Polisi Jijini Mwanza wamethibitisha kwamba mwili wa Mfanyabiashara Said Mganga (37) anayedaiwa kumuua kwa risasi Mke wake Swalha Salum (28) umekutwa ufukweni mwa ziwa Victoria akiwa na jeraha la risasi kidevuni ikiaminika alijipiga.

Akiongea na AyoTV Kaimu Kamanda wa Polisi Mwanza Mairi Makori amethibitisha kifo hicho na mwili huo kuopolewa ambapo amenukuliwa akisema "mwili huo umeopolewa ziwani eneo la ufukwe wa Rock Beach ukiwa na majeraha ya risasi kajipiga kidevuni, tumejiridhisha kuwa ndiye Mtuhumiwa wa mauaji ya Swalha

Kuhusu mauaji yalivyotokea, soma Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu, Mume naye akutwa AMEFARIKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…