Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI


Nimekupenda sana!
Joannah
Mwanaume anaeuwa auwawe tuu hakuna namna!
Utamuuaje mtu Mzima mwenzako?
Wewe mwanaume Ukikosa nani anakuadhibu?
Kama Umemshindwa mwanamke kwaninibusimrudishe kwao?
Inaudhi sanaa kwa wanaume wanaochukua maamuzi ya Kidwanzi eti anauaaa..Wanaume woote wanaoua nao wauwawe tuu..
Kazi ya Kuua ni ya Alieumba tuu
Over!
 
Hawajui hata bibi alikuwa binti tena pisi ya ukweli ila Leo ameinama na hana jino hata moja... upisi kali unaishaa [emoji1787][emoji1787]
 
Unajuaje kama hakuwa na nafasi?labda alikuwa na kazi, au alikuwa safarini n.k
Halafu sio kila anachotaka mke wako unafanya eti ili aridhike hata kama una uwezo huo.
Sintofahamu na imejuaje ilikuaje nk hayo yote tumeshajua ilikuaje
 
Eti kibwengo hahaha
Yani ukweli usemwe tu japo unauma. Mpaka unamiminiwa risasi basi shida ilikuwa kubwa sana.
 
Sasa kwani kigezo kikiwa tako inamaanisha ata tako liwe chafu nitalitaka tuu? Mie ndio tako na awe msafi maana raha yangu nifyonze hadi kinyeo
Hahahaha basi ongeza vigezo kwenye ile list yako
 
kuna watu humu mkisoma vizuri mtajifunza sana...Wapo watu kwenye huu uzi wanaandika maneno ya busara sana ambayo yanatoa funzo kwenye jamii na hata kuijenga kwa wale wanaozingatia..

Japo pia wahuni hatukosekani na maneno magumu magumi tusameheane, lakini lengo kuu kujifunza na kuijenga jamii..
 
Wewe umenielewa dada.

Mwanamke yoyote anaetafuta hela ni lazima aelewe circumstances mbalimbali na chagamoto ambazo zipo katika utafutaji kwahiyo hata hela zake au anazopewa ni lazima aziheshimu na kuzitumia kwa staha.

Wadangaji wengi nimewagunda kupitia huu uzi.
 
Ni rahisi sana kusema hivi ikiwa haufahamu mapenzi yanavyoumiza

Mapenzi yana nguvu kuliko uhai
Na ndiyo kilichojidhihiri hapo kwa hao ndugu
Wewe ni weak man, yani mzaifu kukufanya mapenzi yatawale hisia zako, mnapenda kijanga sana hamuna namna mnauweka mioyo yenu ikawa salama, mnapenda na kudumbikia wazima kama mchuzi na mnakua hamna namna yakutoka, hamna akili maana mwanaume dhaifu hawezi kufikiri kwa undani akili imekua kama imeganda, muwe majasiri ndugu zangu msiwe kama toys
 
USIWE ZEZETA MZEE, MWANAMKE KAMA HAKUTAKI, MPE TALAKA AENDE ZAKE, KIRI ULIFANYA MAKOSA KUCHAGUA NA USONGE MBELE, MAMBO YA HUYU NI MALI YANGU, SIJUI BLAH BLAH, NDIO MNAISHIA KUPANIKI NA KUUA KISHA NA NYIE MNAJIUA AU KUOZEA JELA
Na ndio shida ya kua na mwanamke mmoja. Ukishakua na mwanamke mmoja tu, akili yako na focus yako yote unaielekeza kwake. Unaanza kumuona kama mama yako vile na mda wote unamfatafata kujua yuko wapi, anafanya nini nk. Ukiwa nao watano you dont give a shit.

Na hakuna kitu cha hatari duniani, kama mwanamke ajue kwamba yuko peke yake!
 
Bundiki ni rahisi kutumia kurahisisha mauaji tofauti na kisu wewe ni mwelewa nimeshanga umewaza kama mtoto wa darasa la pili
 
Kabisa!

Nilifanya maamuzi magumu mapema sana ,na kama nisingefanya hivyo huenda tungebadilishana majengo ya serikali
Uko sahihi kabisa mkuu, wengine tumeamua kufa na tazi shingoni, tushakuwa watu wazima sasa.
 
Samaki mkunje angali mbichi hizi pisi kali hizi yani hizi zinatakiwa zikunjue ukiwa umefulia na ukiwa una hela
 
Ukimjua make wako vizuri,yale ya sirini mwake,ambayo ni bayana kwa majirani zako,bodaboda na waendesha bajaji...,hakika yawezekana ukamuuliza mkeo kwa hasira,kwanini anafanya hivyo wakati kilakitu unamfanyia.Wanawake hawa,baadhi yao ni siri tu ndo zinawabeba.
 
Hayo ni mtazamo wako pia ambao siafikiani nao, unaweza ukawa na mwanamke mmoja tu mkaheshimiana vizuri. Na ikitoke mmeachana wanawake wapo wengi free.
Wanawake wazuri wapo, nimewaona na nimeishi nao, wanaume wabaya wapo pia, so ni kila upande kujielewa tu na ku move on inaoohitajika
 
Yy hakuwa na ratiba ya kwenda huko
Ni kweli lakini kumbuka binti alienda kwa mama yake, shida ni mwanaume kujenga wazo mke wangu sasa analiwa, namemlaumu sana yule mwanamke pisi kali marehemu kuacha kupokea simu calls 42 mhmhh siajabu angepokea yasingofika huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…