Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari vinasema marehemu hakuwa anampenda jamaa ila alikubali kuolewa naye kwa kuwa jamaa alikuwa anamtimizia mahitajI yake ya kifedha na kwa wanawake wengi sana ndivyo ilivyo anakuwa na mtu kwa kuwa ana pesa but wa kumkuna anayempenda kwa dhati ni mwingine kabisaa
Amepata haki yake
 
Bora nibaki mshamba,kuliko kujifanya mjanja kugeuzwa maji,nipotumiwa kuogewa,nitapikiwa,nisipopikiwa nitafuliwa,nisipofuliwa nitaogewa,,,,,huu ujinga naupinga mzab
Kumbe una akili..sasa kwa nini hutaki kuolewa
 
Kila mwanadamu ana namna yake ya ku-react kulingana na situation atakayokutana nayo,we are like liquids with different boiling points...
Ndio ampige risasi ? Na wewe unatetea ujinga
 
Unakuta manzi ni pisi kali hatari, halafu anapenda mziki na pombe[emoji848] Hapo HAKUNA wife material kabisaa, maana huyo ni shamba la bibi a.k.a cha wote!
Wa hivyo, 'Hit & Run' ndo mpango mzima [emoji4]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nakubali bro
 
Watetee tu mkuu watakufata huko PM, maana wadangaji wanapenda ma-good boys kama nyinyi😄.

Mim nawachana ukweli kwasababu sitegemei kutongoza mwanamke humu.

NB; Mwanamke kama unapenda kutumia hela za wanaume bila kuwa na malengo nao, uza huo uchi watu wataununua na wala hakuna mwanaume atakae hangaika na wewe, sio mnakuja kudanga kwenye ndoa watu wana uchungu na hela zao bwana.
Yupo sahihi, mtu yeyote ukiona hakufai, iwe mshkaji hata wa kiume, girlfriend au mke ni kuachana nae tu, kama kuna gharama umeingia na huwezi kuzirudisha basi, hii dunia ina watu wazuri wengi sana kung'ang'ania watu wabaya ni ukosefu wa akili

Kuua mtu ni kukurupuka na kukosa akili. Maana utaishi kwa shida maisha yako yote au ujiue na wewe...
 
Kwa taarifa yako tu wanawake wote ni wazuri na warembo ni umaskini tu na kukosa kipato kwa baadhi ya wanawake kunawafanya kuwa nadhifu. Lakini Mwanamke yoyote mwenye Hela ya kujiweka soap soap ni Mrembo. Acheni kutumia kwamba wanaolewa sio wazuri kiasi kwamba mnataka wajioneje!? Kila mwanamke ni Mrembo ni pesa tu
THERE IS NO UGLY PEOPLE BUT THERE IS POOR PEOPLE...
 
Afdhali wewe umeutambua uhalisia wa maisha ya kiafrika "mwanamke atabaki kuwa chini ya mwanaume", ila sasa wanawake wengi wameharibiwa na tamthlia za wazungu kiasi kwamba utamaduni wa kule wanataka kuuleta afrika.

Kama huwezi kuwa chini ya mwanaume kwanini ukubali ndoa wakati kama ni kutombw utatombw tu hata bila ndoa? Na kama ni mtoto unaweza kupata bila hata ndoa, JIBU linakuja kwamba wengi huolewa kutafuta uahueni wa maisha.
Duuuh! ila kweli,kama kilakitu unakipata,kwanini uolewe kama huwezi kuishi kwa kumheshimu mumeo n.k?
 
Kwakweli wa siku hizi sisi si wavumilivu nikiwemo na mimi. Na pia sio watii sijui ninkwakuwa na sisi tunaweza kupata visalare au vibiashara??
Ila ninapoiangalia ndoa ya bibi yangu na mama yangu (RIP) huwa namwambia bibi mimi sitaweza na siwezi kuwa kama wewe kama ndoa ndio hivyo.
Hadi leo hata akipanga au akiitwa kwa wanawe huwa anawaambia "nendeni mkaniagie kwa baba yenu" na babu akitoa sababu kwamba asiende katu hawezi kwenda. Na ni bibi wa miaka 85.
Sasa kweli tunayaweza hayo??
Mwenzio kaambiwa asiende mpirani kafosi na siku zote mwanamke ukimkataza asitoke kwenda mahali flani ulipomkatalia kwenda akakaidi au akalazimisha jua hicho anachoendea ni tofauti kabisa na kile ambacho amekisema kama sababu. Mfano kwa huyo Swalha hio siku ambayo alilazimisha kwenda mpirani ama kwenye show kimsingi hakwenda huko.

Kwa sisi wandewa huwa tunaelewa kabisa hio michezo.
 
Hayo ni mtazamo wako pia ambao siafikiani nao, unaweza ukawa na mwanamke mmoja tu mkaheshimiana vizuri. Na ikitoke mmeachana wanawake wapo wengi free.
Wanawake wazuri wapo, nimewaona na nimeishi nao, wanaume wabaya wapo pia, so ni kila upande kujielewa tu na ku move on inaoohitajika
Mimi pia nakubali kutokukubaliana na wewe.

Tatizo la kua na mwanamke mmoja tu ni kwamba utajikuta ume invest sana kwake, sio tu financially lakini pia psychologically. Yaani itafikia hatua unakua dependent kwake kiasi cha kuanza kuona kwamba bila yeye maisha hayaendi! Nahiyo ni hatua ya hatari sana ambayo ndio inapelekea mpaka mtu kutoa uhai.

Kamwe mtu mwenye plan B, C nk hawezi kufikia state hiyo asilani.
 
Huy
Yaani unataka ujinga wa fala mmoja ndioo utafanye tusikamatie pisi kali....wee tena mishangingi kama hiyo inajua kucheza na de libolo hatari.

Ata nyie wenye sura personal mkishawekwa ndani tuu mnaanza kuleta nyodo na wanaume tulivyo wadadisi, kuna njemba zitaanza kukutongoza ili zijue inakawaje jamaa kaweka ndani huyu mwanamke. So ata sura personal wanagegedwa tuu.
Huyo slay queen ambaye unamuoa,anakua anagegedwa na kila mtu anayemtaka,maadili hayataki hivyo,bora umuweke awe mchepuko,lasivyo ni fedheha.
 
Back
Top Bottom