digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Nampa pole mmeo,mwanamke unapenda ligi wewe
Hongera kwa kuoa malaika alienyooka kama rula na naona mnaishi peponi...mimi ni binadam wa kawaida na sikatai kwenye ndoa yetu changamoto zinakujaga na zinapita na wala hatuwi defined na changamoto tunazopitia so naiona ndoa yangu mbali sana . USHINDWE NA DUA ZAKO MBAYA