Kuna issue 2:
1. Mama Mkwe yupo, hayo mazingira kum challenge mme, kuwa nayo makini especially kwenye issue ambayo Mama mkwe is involved.
2. Kwa nini wewe usinge voluntary amua kwenda instead ya mtoto au kumsindikiza mtoto, halafu bada ya hiyo issue ukateta na Mume wako?
3. Kwa nini Dada wa kazi aende dukan saa 3 mwenyewe? Ninaye Dada wa kazi ana miaka 19, ikifika saa 1 lazima asindikizwe dukani.
Maoni yangu:
- Kwa sababu mume kaona ume mu attack mbele ya Mama ya kum challenge mbele ya Mama yake, akaona akaze, ila amefanya jambo la kipumbavu sana.
- Kwa nini mtoto amwambie Baba yake amuangalie, asikuambie wewe au kwa nini wewe usingeenda na Mama? Inaonekana wewe ni mvivu ana sio kimbilio la mtoto.
Ushauri:
- Usimtume Dada mtoto wa watu usiku.
- Usi challenge mme wako akiwa na Mama yake.
- Jitoe kwa hiyari kusaidia jambo kama unaona mtoto si salama.
Bado nawaza:
Inawezekanaje Baba na Mama wapo ndani, mtoto wa miaka 5 aende dukani, Mume ni mshenzy na wewe ni mtu wa hovyo maana ungeweza inuka ukaenda.
Acha mdomo, the fact kwamba umeleta hii issue humu, ina maana bado unq ligi nayo, acha ligi na Mume, hili ni jambo dogo sana na kueleweshana.
Kuwa makini na huyo Mama Mkwe, hilo jibu lake la sawa sio zuri na ndo limeleta reaction yote hiyo, sasa na mume alivyo wa hovyo akataka mwonyesha Mama yeye ana msimamo