Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Wewe mwanamke mjuaji, mwanamke kuingilia kauli ya mumewe ni utovu wa nidhamu, huna nidhamu wewe,Harafu unapata wapi jeuri ya kuingilia maamuzi ya mama mkwe pamoja na mumeo!? ningekuwa mimi mmeo ningekung'oa taya right away!!
 
Mambo mengine utadhani ni ''mahoka''. Wewe ni mtu mzima tena mwanamke uliye kwenye ndoa na unashindwa namna ya ku-handle tatizo dogo namna hii?
Kama umeona dogo ungepita kimya kimya...hatulingan uwezo wa kusolve matatizo kwako dogo kwangu sio
 
Kama umeona dogo ungepita kimya kimya...hatulingan uwezo wa kusolve matatizo kwako dogo kwangu sio
Haya. Ila siku nyingine usikubali mtoto kwenda dukani usiku, no matter how near it is.... Mimi ni mwanaume na kuna siku naenda kununua vitu vidogo vidogo kama chumvi ili tu watoto wasiende kwa sababu ni wadogo kama huyo. Huyo mume wako mwambie afanye hivyo hivyo.
 
Ndoa itakushinda hivi karibuni. Kama jambo dogo tu kama hili umelileta hapa, vipi makubwa zaidi ya hili. By the way, una uhakika gani kama mmeo naye hayupo jamiiforum? Kama yupo hawezi kuona upuuzi huu?
Ikinishinda nitakua sio wa kwanza wew unanifaham au kumfaham huyo mume wangu. Akiona kuna sehem nimetukana
Wewe mwanamke mjuaji, mwanamke kuingilia kauli ya mumewe ni utovu wa nidhamu, huna nidhamu wewe,Harafu unapata wapi jeuri ya kuingilia maamuzi ya mama mkwe pamoja na mumeo!? ningekuwa mimi mmeo ningekung'oa taya right away!!
Kwahio kila anachosema mama mkwe ni sahihi na sipaswi kutoa maoni akisema mwanangu asisome aolewe niseme sina jinsi kisa mama mkwe kasema . Kuhusu mtoto wangu nin kazi ya kumlinda kuliko mtu mwingjne yeyote na mama ndie ajuaae uchungu wa mwana.
 
Busara huna, unaropokwa matusi kwa mama wa watu wakati umesikiliza upande mmoja tu wa mwanamke asiye na adabu.
Labda nikuambie jambo moja.
Sijadili uhusiano wa huyo dada na mama mkwe wake kwa sababu halinihusu na si suala la interest kwangu. Nachojadili ni kutumwa mtoto mdogo wa miaka 5 usiku. Ukisoma maelezo ya huyo mama mkwe hana nia njema na mjukuu wake. Kwanini atake mtoto ndiye atumwe kwa mazingira hayo ya usiku?
Itoshe kumuita mtu mpumbavu si tusi. Kila mtu ana upumbavu wake...lililo la msingi ni kutodhihirisha upumbavu wako mbele ya hadhira. J2 njema!
 
Ikinishinda nitakua sio wa kwanza wew unanifaham au kumfaham huyo mume wangu. Akiona kuna sehem nimetukana
Kwahio kila anachosema mama mkwe ni sahihi na sipaswi kutoa maoni akisema mwanangu asisome aolewe niseme sina jinsi kisa mama mkwe kasema . Kuhusu mtoto wangu
Mama mkwe wako ana akili sio wewe mkoswa adabu,huna adabu weewe ,narudia ningekuwa mimi ningekung'oa taya right away,unapata wapi ujasili wa kumkata kauri mama mkwe wako,nasikitika mwanamme mwenzangu kuoa gumegume
 
Hakikisha mahitaji ya muhimu yapo ndani ili kuepusha watoto kutumwa usiku.

Naona pia kama wewe na ma mkwe hampo sawa, kwanini atoke usiku na mjukuu badala utoke nae wewe?

Sasa unamwofia mtoto ambaye anarudia kwenye duka la mangi, ma mkwe yeye anaenda na nani huko?

Mmeo kaona sawa tu mtoto aende mbona mama anaenda mwenyewe.

Hebu kaeni vizuri na wazazi.
 
Mama mkwe wako ana akili sio wewe mkoswa adabu,huna adabu weewe ,narudia ningekuwa mimi ningekung'oa taya right away,unapata wapi ujasili wa kumkata kauri mama mkwe wako,nasikitika mwanamme mwenzangu kuoa gumegume
Kama kua makini na Usalama wa mwanangu kunanifanya kua gumegume basi sawa . Namuonea pia huruma uliyemuoa maana nq yeye kapata gumegume la kiume lisojua mtoto mdogo anahitaj ulinzi wa wqzaz
 
Hakikisha mahitaji ya muhimu yapo ndani ili kuepusha watoto kutumwa usiku.

Naona pia kama wewe na ma mkwe hampo sawa, kwanini atoke usiku na mjukuu badala utoke nae wewe?

Sasa unamwofia mtoto ambaye anarudia kwenye duka la mangi, ma mkwe yeye anaenda na nani huko?

Mmeo kaona sawa tu mtoto aende mbona mama anaenda mwenyewe.

Hebu kaeni vizuri na wazazi.
Tupo vizuri kwa ninavyoona mimi na tumeish vzuri kwa miaka zaidi ya 7 na hata navyaondika hapa hakuna ugomvi hapa home wala mpishano tumeamka tunapiga story na mam mkwe nakucheka.
 
Kama kua makini na Usalama wa mwanangu kunanifanya kua gumegume basi sawa . Namuonea pia huruma uliyemuoa maana nq yeye kapata gumegume la kiume lisojua mtoto mdogo anahitaj ulinzi wa wqzaz
Mke wangu ana adabu,hawezi bishana na mama mkwe wake,wala mimi hajawahi nipinga hadharani,ndo maana hadi sasa niko ndoani kwa zaidi ya miaka 20,wewe sina imani kama miaka 10 itafika,tunza hii coment kwa rejea
 
Huyo mama mkwe anapika huko jikoni au anafanya nini mpaka aanze kujua mapungufu ya jiko la mkamwana wake?

Mama zetu wakija mjini inafaa wakae, watulie wapikiwe, wale na kuenjoy na wajukuu zao.
Sasa mama yuko busy jikoni mpaka anaanza kujua sijui masala imeisha na hapohapo bado ana safari za usiku! Huyo mama anaenda wapi usiku?
Au ilikuwa saa moja tu.?
 
Great thinker mnatumika vibaya kwaiyo apo anataka ushauri toka kwenu duuuh , Mungu ibariki Tanzania na vizazi vyake

Yan ad unafungua nyuzi kutafta ushauri
 
Kuna issue 2:

1. Mama Mkwe yupo, hayo mazingira kum challenge mme, kuwa nayo makini especially kwenye issue ambayo Mama mkwe is involved.

2. Kwa nini wewe usinge voluntary amua kwenda instead ya mtoto au kumsindikiza mtoto, halafu bada ya hiyo issue ukateta na Mume wako?

3. Kwa nini Dada wa kazi aende dukan saa 3 mwenyewe? Ninaye Dada wa kazi ana miaka 19, ikifika saa 1 lazima asindikizwe dukani.

Maoni yangu:

- Kwa sababu mume kaona ume mu attack mbele ya Mama ya kum challenge mbele ya Mama yake, akaona akaze, ila amefanya jambo la kipumbavu sana.

- Kwa nini mtoto amwambie Baba yake amuangalie, asikuambie wewe au kwa nini wewe usingeenda na Mama? Inaonekana wewe ni mvivu ana sio kimbilio la mtoto.

Ushauri:

  • Usimtume Dada mtoto wa watu usiku.
  • Usi challenge mme wako akiwa na Mama yake.
  • Jitoe kwa hiyari kusaidia jambo kama unaona mtoto si salama.

Bado nawaza:

Inawezekanaje Baba na Mama wapo ndani, mtoto wa miaka 5 aende dukani, Mume ni mshenzy na wewe ni mtu wa hovyo maana ungeweza inuka ukaenda.

Acha mdomo, the fact kwamba umeleta hii issue humu, ina maana bado unq ligi nayo, acha ligi na Mume, hili ni jambo dogo sana na kueleweshana.

Kuwa makini na huyo Mama Mkwe, hilo jibu lake la sawa sio zuri na ndo limeleta reaction yote hiyo, sasa na mume alivyo wa hovyo akataka mwonyesha Mama yeye ana msimamo
You have said it all. Uzi ufungwe sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa. Eti nyumba ina li-baba, li-mama na msichana wa kazi halafu wanatuma mtoto wa miaka 5 usiku dukani kwa sababu ni karibu. Sasa kama ni karibu si ndiyo ingekuwa kichochezi cha hilo-li-baba kwenda? Mbona mimi ni mwanamme na kuna siku nakwenda kununua hata chumvi kwenye mazingira kama haya?
Mkuu hii ni familia isiyojielewa kabisa, hata mwanaume ni jukumu lake pia kusaidia familia yake
Mbona kitu kidogo sana hicho wala sio udhalili bali ni kawaida sana
Mimi nafanya shopping mara kwa mara kwa sababu unatoka kazini au kwenye pilika zako kupitia kitu dukani au supermarket ni sawa tu
Itakuwa usiku na giza la huko kumtuma mtoto ni unyanyasaji
Wana bahati sio ulaya angechukuliwa na social worker zamani
 
Back
Top Bottom