Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman tabia mbaya tena..Kinachoniuma ni mtoto kua exposed kwenye mazingira ya usiku akiwa peke yake...usiku u a mambo mengu na mimi ni yule mama ambae anapenda kuhakikisha mwanae yupo salama kila anapowezaHuwezi kusema kwa ustaarabu unapomkosoa Mama mkwe tena ukiwa umeolewa..
Kama ni mtoto wake kweli sioni sababu ya wewe kukasirika. Lakini kama sio mtoto wake, yaani ni mtoto wako na mwanaume mwingine unahaki na hiyo ndio tafsiri ya ulicho
Kama ni mtoto wake kinachokuuma ni nini kama sio tabia mbaya
Kwahiyo wewe unaufahamu Usalama wa mtoto zaidi ya mama mkwe wako?Naishi nae vizuri...hio point ya kusema amenipa kama adhabu na mimi nahisi hivyo...naona kama amejaribu kunionesha nmemkosoa mama mkwe na ma mkwe yupo sahihi
Mimi sidhan kama kuangalia zaidi usalama wa mtoto ni kumkosea heshima na nilisema kwa ustaarab
Swali ni kwamba mtoto arirudi ama arikataria ukouko?Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .
Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .
Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Ndio nina ufahamu usalama wa mwanangu bila kulinganishwa na mtu yeyote. Na hatulingani katika malezi kuna mwingine yeye kumuacha mtoto kwa jiran siku nzima ni sawa kwake na kuna mimi hapa siwez na wote kuna siku tutakua mama wakwe.Kwahiyo wewe unaufahamu Usalama wa mtoto zaidi ya mama mkwe wako?
Ume side na huyo popoma wa kike kuonesha dharau kwa huyo mama. Read btwn lines utagundua huyo mwanamke ni tatizo hapo nyumbaniNionyeshe hiyo dharau? Kusema huyo mama ni mpumbavu kumtuma mtoto wa kike wa umri miaka 5 usiku nje ya nyumba ni kumdharau?
Hapo si sawaNi mtoto wa kike
Watu tumekujaji kulingana na jinsi ulivyomuita mama mkwe wako. Umeonesha kutomheshimu; hili limetuoatia picha ya namna ulivyomjibu.Ndio nina ufahamu usalama wa mwanangu bila kulinganishwa na mtu yeyote. Na hatulingani katika malezi kuna mwingine yeye kumuacha mtoto kwa jiran siku nzima ni sawa kwake na kuna mimi hapa siwez na wote kuna siku tutakua mama wakwe.
Jaman tabia mbaya tena..Kinachoniuma ni mtoto kua exposed kwenye mazingira ya usiku akiwa peke yake...usiku u a mambo mengu na mimi ni yule mama ambae anapenda kuhakikisha mwanae yupo salama kila anapoweza
Wewe huna busara wala adabu.Huyo mama mkwe ni mpumbavu at all grounds haijalishi wewe na yeye hamuelewani. Hii ni aina nyingine ya ukatili kwa watoto. Muafrika hajafikia pointi ya ustaarabu. Ni suala nitaendelea kulisisitiza siku zote za maisha yangu.
Mmh hakuna issue yeyote kabla ya hapo ingekuwepo ningeizungumzia . Au kisa imeinvolve mamaUme side na huyo popoma wa kike kuonesha dharau kwa huyo mama. Read btwn lines utagundua huyo mwanamke ni tatizo hapo nyumbani
Sawa next time nitaongeza busara kwenye kuhandle haya mamboJitahidini muwe kitu kimoja.
Mmoja asimjali mtoto kuliko mwenzake. Mtaivunja hiyo nyumba.
Hapo ungetumia akili tuu kuwa uende naye dukani kwa maana hata wewe kuna kitu unaenda kuchukua.
Kusema mama yake mume wangu ni katika kumtambulisha tu ni mama mkwe wangu na namuita MAMA siku zote. Na kuna kipindi nilishaish nae karibu mwaka mzima bila tabu yeyote. Kiufup sina tatizo na mama mkwe wangu ni hii situation tu iliyotokea.Watu tumekujaji kulingana na jinsi ulivyomuita mama mkwe wako. Umeonesha kutomheshimu; hili limetuoatia picha ya namna ulivyomjibu.
Kabla sijaendelea hilo duka liko umbali gani kutoka kwenu?
Mambo mengine utadhani ni ''mahoka''. Wewe ni mtu mzima tena mwanamke uliye kwenye ndoa na unashindwa namna ya ku-handle tatizo dogo namna hii?Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .
Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .
Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Busara huna, unaropokwa matusi kwa mama wa watu wakati umesikiliza upande mmoja tu wa mwanamke asiye na adabu.Nionyeshe hiyo dharau? Kusema huyo mama ni mpumbavu kumtuma mtoto wa kike wa umri miaka 5 usiku nje ya nyumba ni kumdharau?
Ukisikiliza watu kama huyu utapotea. Huyu Sang'udi ni wale ma-popomaa wa uswahilini ambao watoto wanabakwa kila siku kwa sababu ya uzembe wa namna hii. Huyo baba na mama na hata dada wa kazi kwa nini wasiende kama ni karibu?Kama duka halipo mbali, hakuna ubaya wowote.
Ndoa itakushinda hivi karibuni. Kama jambo dogo tu kama hili umelileta hapa, vipi makubwa zaidi ya hili. By the way, una uhakika gani kama mmeo naye hayupo jamiiforum? Kama yupo hawezi kuona upuuzi huu?Mtoto wake na ndio maana nmekuja hapa kupata mawazo zaidi .
Ungeenda mda huo huo...Ni kweli mimi siwezi kua zaidi ya mama yake...wakat nasema nitaenda mimi haikua katika mabishano tulielewana tu kawaida.
Uko sahihi kabisa. Eti nyumba ina li-baba, li-mama na msichana wa kazi halafu wanatuma mtoto wa miaka 5 usiku dukani kwa sababu ni karibu. Sasa kama ni karibu si ndiyo ingekuwa kichochezi cha hilo-li-baba kwenda? Mbona mimi ni mwanamme na kuna siku nakwenda kununua hata chumvi kwenye mazingira kama haya?Kwanini yeye hakwenda kununua mpaka amtume mtoto mdogo hivyo tena mtoto mpaka anamwambia baba yake kuwa anaogopa daa inasikitisha sana
Huu ndio ukatili kwa watoto
Nikisema sisi kwa dini na maadili tunakatazwa kabisa kumtoa mtoto nje pindi jua likizama na wote wanakuwa wamerudi ndani
Ila kila mmoja na Imani yake na hapa kuna watakaobeza na kusema mbona kawaida ila akipatwa kitu chochote atalaumiwa mzazi au wazazi kwa kumtoa nje usiku
Utakuta baba alikuwa kwenye simu maana ndio wengi wamerogewa siku hizi
Kweli maisha yamekuwa tofauti sana nowadays