Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Huwezi kusema kwa ustaarabu unapomkosoa Mama mkwe tena ukiwa umeolewa..

Kama ni mtoto wake kweli sioni sababu ya wewe kukasirika. Lakini kama sio mtoto wake, yaani ni mtoto wako na mwanaume mwingine unahaki na hiyo ndio tafsiri ya ulichoandika
Mtoto wake na ndio maana nmekuja hapa kupata mawazo zaidi .
 
Sasa kwanini wewe hukumsindikiza mtoto.?
Alinikataza akisisitiza ni sahihi mtoto kwenda na mimi niendelee nachokifanya. Na mimi sikutaka kuendelea kushindana nae nmeona nipate mawazo kwenu pia kama hiki kitu ni sahihi kama sio sahihi next time nikiona wanamtuma niwaambie sio sawa.
 
Mtoto kutumwa dukani nayo imekua tatizo hebu funguka vzuri upewe ushauri kuna kitu hakiko sawa unaficha
 
Still alijali asingekaa hata baada ya mtoto kusema anaogopa hilo lingekuwa tatizo lingine lakini kama alitoka nje kumsubiri mwanae bado ni Baba bora hiyo alikupa wewe kama lesson.

Sasa ni usiku muamshe hapo m'boreshe ndoa yenu kesho weekend mkishinda wote hapo home muelekezane taratibu za kuishi lengo ni mfike pamoja,next time usiwe mwepesi wa ku-panic kuwe na emergency kusiwe na emergency always ili jambo liharibike au liimarishwe lazima kuwe na sababu na sababu zenyewe ndiyo kama hizi.
Ana mdomo huyu binti
 
Naishi nae vizuri changamoto hapo alikuq amerudi kutoka kwenye event flan na qlikua ameshakunywa nadhan hio pia ilichangia yeye kusuggest kitu kama hicho.
Nasema, kama angekuwa ni mama yako au kama mgekuwa na uhusiano mzuri na mama mkwe, mgeshauriana. Lakini kwa vile una ubabe ndiyo maana anaona mjukuu ndiye mtu wake wa Karibu.
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Mumeo yupo sawa kabisa! katika malezi mtoto wa kiume hatskiwi kudekezwa dekezwa anatakiwa awe imara na ajitambue mapema. Akina mama mna desturi ya kuwahurumia watoto wenu na kuwaona watoto kila siku , matokeo yake watoto wanakuwa legelege na wasiojitabua
Mtoto wa miaka 5 siku hizi anajua mengi kuliko unavyodhani .
 
Mwanamke asiye na akili ndio wewe hivi hili ni suala la kuuliza Mitandaoni kweli?

Kesho utakuja kuuliza kwanini mumeo anakuweka style ya chuma mboga
 
Kuna kazi nilikua nafanya na hicho kiungo hakikua muhimu hivyo ...alivyoondoka nikawa nimepatq wazo niachane nacho tu.

Haujanielewa, pale mama mkwe aliagiza mtoto waondoke naye, badala ya wewe kumbishia mbele ya mume wako, ungemuomba muondoke wote kuna kitu unataka kuongeza pia kutoka dukani, kwa kifupi hapo kwenu ni dhahiri kuna kaushindani kameanza baina yako na mama mkwe na ni wazi mume wako hakutumia busara kwenye hili, ila na wewe pia ungefanya kitu kinachoitwa descalation, yaani unapangua tension na mambo yanaenda tunaganga yajayo.
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Kama duka haliko mbali hakuna ubaya
 
Watoto wengi hubakwa sababu ya kutumwa dukani usi ruhusu tena mwanao aka tumwa mpaka pale angalau ana miaka 13.
Sikubaliani na Kutuma watoto Dukani usiku lakini hichi ulichoandika si kweli.
Asilimia kubwa ya watoto waliofanyiwa ukatili wamefanyiwa na Watu wa karibu au ndugu wanaoishi nao na kushinda nao.

Ni ngumu Mtu baki kumfanyia ukatili mtoto.....
 
Kitu moja unachotakiwa kukikumbuka, Wewe na jamaa mmekutana tu Ukubwani ili muanze maisha Kupendana au Lah hii sio issue maana Upendo hufa wakati wowote.

Hautakuja kuwa na hadhi sawa na mama yake, Huwezi break hiyo Bond. Na ukiendelea kujaribu kukaa juu atafanya jambo la ajabu kuliko hilo.
Jua nafasi yako, kuna baadhi ya watu Mama zao huwezi kuwareplace, Ukimpayukia au kumbishia bila staha mama yake ( inaonesha ndio ulichofanya) hilo ni tusi ambalo linahitaji Jibu. Tushukuru jibu limekuwa kumtuma mtoto huku akimwangalia .
Usiporekebisha mtazamo wako juu ya Mama mkwe, ndoa yako itajifia kifo cha kawaida tu.

Kama ambavyo unampenda na kumjali mwanao, hutaki atumwe dukani usiku.
Ndio huyo mama na mwanae wako hivyo, ni wao dhidi ya Dunia nzima.
 
Back
Top Bottom