Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwanini yeye hakwenda kununua mpaka amtume mtoto mdogo hivyo tena mtoto mpaka anamwambia baba yake kuwa anaogopa daa inasikitisha sana
Huu ndio ukatili kwa watoto
Nikisema sisi kwa dini na maadili tunakatazwa kabisa kumtoa mtoto nje pindi jua likizama na wote wanakuwa wamerudi ndani
Ila kila mmoja na Imani yake na hapa kuna watakaobeza na kusema mbona kawaida ila akipatwa kitu chochote atalaumiwa mzazi au wazazi kwa kumtoa nje usiku
Utakuta baba alikuwa kwenye simu maana ndio wengi wamerogewa siku hizi
Kweli maisha yamekuwa tofauti sana nowadays
Huu ndio ukatili kwa watoto
Nikisema sisi kwa dini na maadili tunakatazwa kabisa kumtoa mtoto nje pindi jua likizama na wote wanakuwa wamerudi ndani
Ila kila mmoja na Imani yake na hapa kuna watakaobeza na kusema mbona kawaida ila akipatwa kitu chochote atalaumiwa mzazi au wazazi kwa kumtoa nje usiku
Utakuta baba alikuwa kwenye simu maana ndio wengi wamerogewa siku hizi
Kweli maisha yamekuwa tofauti sana nowadays