Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Wewe na mkwe wako mnampa changamoto huyo baba mwenzetu.

Ligi zenu anaepata changamoto ni mwanaume aanze kuchagua upande sio jambo sahihi kabisa.

Tumieni busara,

Ila jamaa ikabidi afunike kombe mwanaharam apite kwa kichagua upande wa mama.

Wakulaumiwa hapa ni wewe na mama mkwe wako.

Kama duka lipo karibu ungeacha aende na ukaenda muangalizia badala ya kumzuia, ungeepusha shari na pande zote zingepata ushindi.
Hili ndio jibu sahihi Zeemadeit
 
Upumbavu ni wako pamoja na ujinga, wewe ndio sababu ya mtoto kutumwa usiku huo halafu unalalamika hapa, ulikuwa wapi muda wote kuandaa mahitaji yako mapema?
Unasema saa tatu na nusu mtoto huwa kashalala wewe ndio unapika angekula saa ngapi huyo mtoto? Ulikuwa wapi hadi upike saa tatu na nusu? Unaanzisha mgogoro wa kifamilia halafu unaomba ushauri!!!
 
Naishi nae vizuri...hio point ya kusema amenipa kama adhabu na mimi nahisi hivyo...naona kama amejaribu kunionesha nmemkosoa mama mkwe na ma mkwe yupo sahihi
Mimi sidhan kama kuangalia zaidi usalama wa mtoto ni kumkosea heshima na nilisema kwa ustaarab

Huwezi kusema kwa ustaarabu unapomkosoa Mama mkwe tena ukiwa umeolewa..

Kama ni mtoto wake kweli sioni sababu ya wewe kukasirika. Lakini kama sio mtoto wake, yaani ni mtoto wako na mwanaume mwingine unahaki na hiyo ndio tafsiri ya ulichoandika
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Wewe ndiyo mpumbavu, wakati mnabishana ungefunga domo lako ukaenda hapo dukani unaposema siyo mbali ungetatua tatizo.
Mjinga sana wewe unapata muda wa kuandika na kupost humu jf badala ya kwenda dukani.
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Nafikiri kosa ni lako.
Kwa nini usiandae vitu vyako mapema?
Hii ndiyo shida ya house girl kukuendeshea nyumba.
Ulipaswa kunyanyuka mwenyewe kwenda dukani maana u mzembe
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Una matatizo
 
Kwa jinsi ulivyoeleza inaonekana mazingira ya nyumbani kwako na dukani ni rafiki ndio maana mumeo akakwambia kuwa aende nae alafu mtoto arudi mwenyewe, ila binafsi mwanangu iwe usiku au mchana siwezi mwagiza dukani kulingana mazingira ninayoishi maduka yapo mbali isitoshe pikipiki ni nyingi sana so kwa kesi yako mazingira halisi mumeo alikuwa anayafahamu ndio mana alifanya ivyo kwa kujua hakuna negative impact yoyote.
 
Kaa kimya hivo hivo acha ujuaji

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hewaa maana asingekuwa mjuaji, mama mkwe ( mama yake kama anavyomkosea adabu) angeshauriana na Zeemadeit siyo kumweleza mtoto direct. Lakini kwa vile ni mbabe na mama wa watu anamuogopa, akaona atumie kitu inaitwa ‘voice of the voiceless’
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Kingine ambacho ni tatizo kwenye familia nyingi za kiafrika ni kuishi na mama mkwe ndio imekuwa chanzo cha migogoro ya ndoa nyingi sana, kama hakuna ulazima mama mkwe akae uko uko kijijini tu kuliko kuja kuishi mjini kuanza migogoro isiyo na tija yoyote.
 
Upumbavu ni wako pamoja na ujinga, wewe ndio sababu ya mtoto kutumwa usiku huo halafu unalalamika hapa, ulikuwa wapi muda wote kuandaa mahitaji yako mapema?
Unasema saa tatu na nusu mtoto huwa kashalala wewe ndio unapika angekula saa ngapi huyo mtoto? Ulikuwa wapi hadi upike saa tatu na nusu? Unaanzisha mgogoro wa kifamilia halafu unaomba ushauri!!!
Story ndefu tulishakula na mtoto kuna muda alianza hadi kusinzia.
 
Hewaa maana asingekuwa mjuaji, mama mkwe ( mama yake kama anavyomkosea adabu) angeshauriana na Zeemadeit siyo kumweleza mtoto direct. Lakini kwa vile ni mbabe na mama wa watu anamuogopa, akaona atumie kitu inaitwa ‘voice of the voiceless’
Naishi nae vizuri changamoto hapo alikuq amerudi kutoka kwenye event flan na qlikua ameshakunywa nadhan hio pia ilichangia yeye kusuggest kitu kama hicho.
 
Kwa jinsi ulivyoeleza inaonekana mazingira ya nyumbani kwako na dukani ni rafiki ndio maana mumeo akakwambia kuwa aende nae alafu mtoto arudi mwenyewe, ila binafsi mwanangu iwe usiku au mchana siwezi mwagiza dukani kulingana mazingira ninayoishi maduka yapo mbali isitoshe pikipiki ni nyingi sana so kwa kesi yako mazingira halisi mumeo alikuwa anayafahamu ndio mana alifanya ivyo kwa kujua hakuna negative impact yoyote.
Ni karibu ila unavuka barabara ya mtaan.
 
Back
Top Bottom