Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Mume amemtuma mtoto wetu wa miaka mitano dukani usiku ni sahihi?

Nimesoma comments zote, ama kweli mke wa kiafrika ataendelea kukandamizwa maisha yake yote. Hata kwa hili mnamkandamiza huyu dada kweli? Mnajaribu kuyapaka rangi nzuri makosa ya kila mtu isipokuwa ya huyu mwanamke mnayakuza.

Inaonekana ili amani ipatikane ndoani ni wajibu wa mke kuileta wakati huo wengine wote kazi yao iwe kuketa migogoro.

Msichana tafakari kwa usahihi na ikibidi kataa ndoa, ndoa ni ukandamizaji , ndoa ni manyanyaso, kama waoaji ndio hawa waliocomment humu.
Sijui watu wamelichukuliaje hilo suala? Nakazia hoja yako kwa kweli, usiku kuna mengi.

Yan huyu saa 3 mbali hivyo?Mimi na huu uzee wangu siendi dukani ikifika saa 2 uck nikitembea kwa mguu..
kama naenda mtoko ni uber atafika mpk getini, kama ni dukani na siwezi subiria kesho nitaagiza boda.
 
Ushauri wangu ni huu usiwe mjinga funga uombe kuhusu hili jambo , unaona ni dogo ila linaupana wake huyu mama anataka kuwatenganisha so anaanza kuweka sumu ndogo ndogo ili akuze mambo, muombe Mungu sana asishinde maanaanaonekana ni mtu asiyependa awaone mkiishi pamoja na anavisa so uombe ya sikukute mabaya atakayo wameshakaaga wakakudiscuss watoto ni mwanzo tu wa kutafutwa naye.
 
Najua majibu mazuri na yenye maana yote ushapewa hapo juu

Ila mimi nakuja na obsaveshen mpya pengine ambayo itafungua uelewa wako maradufu

Watasha wanaita thinking autsaidi zee boksi😁😁😁

Labda baba anataka huyo dogo awe ninja mkuu
Maana kwenye mafaili yangu hapa yanonyesha maninja kazi zao huwa ni usiku kwa usiku na ili uwe unafanya kazi usiku inabidi uzoee kupiga mishe zako usiku usiwaze kijana anakula training baadae hatokamatika huyo😂😂😂

Imajen sahv anatoka saa 5 akifika 10 yrs huyo yani atakuwa popo kabisa😂
 
Najua majibu mazuri na yenye maana yote ushapewa hapo juu

Ila mimi nakuja na obsaveshen mpya pengine ambayo itafungua uelewa wako maradufu

Watasha wanaita thinking autsaidi zee boksi😁😁😁

Labda baba anataka huyo dogo awe ninja mkuu
Maana kwenye mafaili yangu hapa yanonyesha maninja kazi zao huwa ni usiku kwa usiku na ili uwe unafanya kazi usiku inabidi uzoee kupiga mishe zako usiku usiwaze kijana anakula training baadae hatokamatika huyo😂😂😂

Imajen sahv anatoka saa 5 akifika 10 yrs huyo yani atakuwa popo kabisa😂
Khaaa mwanangu wa kike awe ninja Hapana kwa kweli
 
Sijui watu wamelichukuliaje hilo suala? Nakazia hoja yako kwa kweli, usiku kuna mengi.

Yan huyu saa 3 mbali hivyo?Mimi na huu uzee wangu siendi dukani ikifika saa 2 uck nikitembea kwa mguu..
kama naenda mtoko ni uber atafika mpk getini, kama ni dukani na siwezi subiria kesho nitaagiza boda.
Ni kweli hata mimi dukan usiku hua muoga ...wanaume wengi waliocomment hapa wametumia Muhemko kwa kua nmemtaja mama mkwe... na kiukweli naishi nae vzuri na namuheshim
 
Ushauri wangu ni huu usiwe mjinga funga uombe kuhusu hili jambo , unaona ni dogo ila linaupana wake huyu mama anataka kuwatenganisha so anaanza kuweka sumu ndogo ndogo ili akuze mambo, muombe Mungu sana asishinde maanaanaonekana ni mtu asiyependa awaone mkiishi pamoja na anavisa so uombe ya sikukute mabaya atakayo wameshakaaga wakakudiscuss watoto ni mwanzo tu wa kutafutwa naye.
Nashkuru nitafanya hivyo
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Mwenzako ameshajua siri uliyo kuwa unamficha kuhusu huyo mtoto kwa muda wa miaka yote hiyo mitano.
 
Nimesoma comments zote, ama kweli mke wa kiafrika ataendelea kukandamizwa maisha yake yote. Hata kwa hili mnamkandamiza huyu dada kweli? Mnajaribu kuyapaka rangi nzuri makosa ya kila mtu isipokuwa ya huyu mwanamke mnayakuza.

Inaonekana ili amani ipatikane ndoani ni wajibu wa mke kuileta wakati huo wengine wote kazi yao iwe kuketa migogoro.

Msichana tafakari kwa usahihi na ikibidi kataa ndoa, ndoa ni ukandamizaji , ndoa ni manyanyaso, kama waoaji ndio hawa waliocomment humu.
binti kiziwi usiwe mkali hivyo mpaka kukataa ndoa. Siyo wanaume wote wana mawazo kama haya. Nakubaliana na wewe kuwa sehemu nyingi Afrika mfumo dume bado ni tatizo kubwa. Nadhani njia sahihi siyo kukataa ndoa bali ni kuelimisha wanawake wajiondoa kwenye hili tatizo.
 
Hajawahi kufanya hivyo ni mara ya kwanza. Ilikua hivi mama yake ambae kwa sasa tupo nae aligundua kuna kitu kimepelea jikoni akamwambia mtoto wetu wa kike (ambae mara nyingi muda huo wa saa tatu na nusu usiku anakua ameshalala kasoro hii leo ) waongozane yeye kuna sehem anaenda mara moja wapitie dukan wanunue hicho kiungo ampe arudi mwenyewe .

Mimi kusikia hivyo nikamwambia sasa hiv usiku na kuna giza huko nje japo duka halipo mbali. Dada wa kazi akimaliza anachofanya au mimi nitaenda kuchukua . Mama mkwe akajibu sawa akaondoka, baada ya kama dakk 5 mume wangu akasema kwann mtoto asiende dukan yeye anamtuma. Nikamwambia sio sawa ni usiku sana mimi nitaenda akalazimisha .

Mtoto akatoka nje alivyofika mbal na eneo la nyumbani akarudi kumuomba baba ake akae nje awe anamuangalia kwa kua anaogopa. Mimi sijapenda hichi kitendo kwa kua hakukua na ulazima wq mtoto kwenda. Je ni sahihi na mimi nina overreact? Ushauri tafadhali ili nijue namna nzuri ya kuhandle hii situation ikitokea tena.
Una overreact tu,mtoto wa miaka 5 ni mkubwa hata darasa la kwanzq anaweza kusoma
 
binti kiziwi usiwe mkali hivyo mpaka kukataa ndoa. Siyo wanaume wote wana mawazo kama haya. Nakubaliana na wewe kuwa sehemu nyingi Afrika mfumo dume bado ni tatizo kubwa. Nadhani njia sahihi siyo kukataa ndoa bali ni kuelimisha wanawake wajiondoa kwenye hili tatizo.
Ujue kuna muda mtu unatafakari sana mitazamo ya watu, ni kweli kuwa kwenye huu uzi kuna wanaume kadhaa wameonesha kuelewa kilichotokea na wamejenga hoja vizuri.

Ila wengi wao wamemkandamiza huyu dada moja kwa moja, kitu ambacho binafsi sijaona alipokosea hata kidogo labda kama alimgombeza mama mkwe wake kitu ambacho hata kikitokea anaweza kuomba msamaha kwa kuover react na hiyo haimfanyi kuwa mwanamke mbaya hata kidogo.
 
Sijui watu wamelichukuliaje hilo suala? Nakazia hoja yako kwa kweli, usiku kuna mengi.

Yan huyu saa 3 mbali hivyo?Mimi na huu uzee wangu siendi dukani ikifika saa 2 uck nikitembea kwa mguu..
kama naenda mtoko ni uber atafika mpk getini, kama ni dukani na siwezi subiria kesho nitaagiza boda.
Sema wewe nikisema mimi nitaambiwa Feminist 😆 Which is true!
 
Au anataka kumtoa kafara?
Maana watanganyika wamevurugwa sahivi
 
Mke wangu ana adabu,hawezi bishana na mama mkwe wake,wala mimi hajawahi nipinga hadharani,ndo maana hadi sasa niko ndoani kwa zaidi ya miaka 20,wewe sina imani kama miaka 10 itafika,tunza hii coment kwa rejea
Hongera kwa kuoa malaika alienyooka kama rula na naona mnaishi peponi...mimi ni binadam wa kawaida na sikatai kwenye ndoa yetu changamoto zinakujaga na zinapita na wala hatuwi defined na changamoto tunazopitia so naiona ndoa yangu mbali sana . USHINDWE NA DUA ZAKO MBAYA
 
Tupo vizuri my dear na nilivyoshauri mtoto abaki mie nitaenda alisema sawa nakuondoka na leo tumeamka tuko poa kabisa
Sawa basi kaa na mumeo muongee siku nyingine asirudie kumtuma mtoto usiku sio vizuri! Usiku una mambo mengi anaweza kupata tatizo hata la kubakwa.
 
japo sifahamu mazingira ya kwenu na dukani ila kwa hulka za wake zetu wanapokutana na wakwe zao wa kike nachelea kusema umekuza tatizo.

sidhani kama dukani pamekaa hivyo kiasi cha baba mtoto kutoona hatari yoyote kwa mwanaye.


Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom