Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia kwa undani hii stori sio kwamba jamaa alitaka akabidhiwe kadi,isipokuwa hela ilikuwa inaishia kusikojulikana ndio maana akataka ajue inaenda wapi.Hata kama mwanaume ni kichwa cha familia ila namsapoti huyo mwamba kutaka ndoa ivunjike huo ni upimbi. Unafanya kazi kwa bidii mnaishi kwa tabu ila hela ya mwenzio ingekua hata anajenga kwao au anajinunulia nguo ni sawa ila anampa fala mmoja tu huko anayejiita mtume huo ni ufala wa hali ya juu.
Huyo mwanamke kudai mume anataka Kadi ya benki ni uongo asilimia 900. Ampe talaka tu akalitumikie kanisa vyema.
huyu jamaa nae hajielewi,ingekuwa mm,nawaibukia na kakirikuu siku Yao pendwa ya jpili,nabeba speaker,Mike,viti ,vikapu vya kukusanyia pesa ,n.k Hadi nitakapoona vimetimia dhamani ya pesa aliyowapa wife!! baada ya hapo nione Nani atakayenifuata!![emoji16]Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Suala ni pastor kutapeli waumini😅😅😅😅mambo ni mengi kuliko muda
bora kuachika kuliko kutoa kadi, hukumu ikitoka utuletee mrejesho
[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mambo ni mengi kuliko muda
bora kuachika kuliko kutoa kadi, hukumu ikitoka utuletee mrejesho
Sure,kesi imebeba image ya nchi!!Hakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli,mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGo ku draft hiyo hukumu
Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke
Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk
Kila mtu abaki na kadi yake
Shida sio kadi, shida ni kumpelekea tapeli pesaMama abakie hapo hapo.
Anaitaka ATM aisee
Mwanamke kweli umkabidhi mime ATM? That is too much
Wanawake vizuri kuomba Mungu kutopata kidume kilofa kama hicho hopeless kabisa kiofisa magereza
Kinadhalilisha jeshi la magereza wanawake wenye kazi zao watakatakaa kuolewa na Askari magereza kuwa watawapokonya ATM
Hii ni kwa Wanawake wa kiafrika au siyo,ndio maana wanazeeka bila kuolewa.Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Kuna kutetea haki za wanawake na kuna kutetea ufala, tofauti yake ni ndogo sana unless wewe ni mnufaika wa hizo sadaka, nitakuelewa unatetea ugali wako.Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
hapo pastor atapiga kimasikharaBora waachane harafu mwanamke aendelee kupeleka mshahara wake kanisani...
Hii issue naona watumishi wa michongo imewauma huyo mwanaume aachane tu na hiyo nguchiro tu akaishi huko kanisani kwa amani.Ukiangalia kwa undani hii stori sio kwamba jamaa alitaka akabidhiwe kadi,isipokuwa hela ilikuwa inaishia kusikojulikana ndio maana akataka ajue inaenda wapi.
Upumbavu wa Kitchen Party.Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.