Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Umeamua kumuamini mke.. vipi suala la nke kupelekea hela zote kanisani? Hesabu rahisi tu ni kuwa jamaa aliamua kutaka kuchukua atm kwa sababu bibie mshahara ukitoka anaupeleka kanisani wote bila kujali mambo mengine
Mke akipeleka pesa kanisa mwanaume unatakakiwa husimpe pesa yoyote ile mke wako Kwa miez 6 ili umuone kama ataenda Kula na kuvaa uko kanisani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi mwanaume huyo ni.lofa ni kato ya wale wanaume maskini malofa wakubwa ambao hutaka kutoka kimaisha kwa kutegemea kipato cha mwanamke

Mwanaume mwenye pesa zake hawezi hangaika kufuatilia vihela vya mwanamke

Tatizo la huyo mwanaume ni ulofa

Mtu kama Bakhresa au Mo Dewji hawezi fatilia vihela vya mkewe.Vidume maskini vina shida sana kwenye ndoa.
We hacha kudanganya hakuna watu wabahili kama wafanya biashara Yani mke wake atumie pesa hovyo asifatilie na wafanyabiashara wengi wanaoa wanawake smart hawao vichwa maji wanao kesha kwz wazee wa ufufuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Upungu huo, make mwenye ubinafsi wa hivyo hafai kuwa make! Usingo mother unamfaa zaidi!
Hiyo hela yake aitumie na nani Sasa...na ben10?
 
Hakuna ushahidi wowote kwamba mwanaume ameitaka hiyo kadi dunia ya leo hilo ni jambo gumu, mwanamke anaweza kuwa anatumia hiyo kama defensive mechanism tu.

Pia hili ni somo la wazi kwanini wanaume wanakufa mapema kuliko wanawake, wote tuna mshahara why mzigo wote niubebe mimi? huu ni upendo wa kinafiki sana ambao umefunikwa joho la kijinsia.

Mwanaume anafanya majukumu yote anakopa, anadhalilika, anasomesha kila kitu yeye ila unakuta wakati huo mwanamke amejenga kwao, amefungulia kaka zake au ndugu zake biashara na bado mwanaume huyo licha ya majukumu yote ya familia bado unakuta na kwao anategemewa. Nini maana ya mwanamke kuitwa msaidizi? Au kusaidia kupika? Kwani wanaume hawajui kupika? Dunia ya leo what is needed ni financial assistance nothing else ila kwa hawa watu hiki ni kipengele kigumu sana kwao (selfishness)

Wanaume wataendelea kuishi muda mfupi kwa kutokufurahia maisha kwa msongo mkubwa wa mawazo kwa sababu kama hizi.

Wasiopoolewa wanatia huruma kweli.😄 Oa sasa ndio unakutana na show kama hizi.😇😇

Nasimama na Afande. 👮‍♂️
 
Jamani msicheke na wanawake ndoa nyingi zimevunjika kwa wanaume kutowafuatilia wanawake,mimi mke wangu anafanya kazi kila mwezi nahitaji (Lazima)anipe orodha ya matumizi ya mshahara wake kuna wakati ananunua viatu pear 3 kwa wakati mmoja ndani kuna pear zaid ya 40 ujinga huu siuruhusu hapo ni ban ya kununua viatu miezi 3,kuna wakati kwa makusudi akiniambia sukari imekwisha namwambia kanunue na pesa yako na nikute mfuko upo ndani ni amri sio ombi.mshahara wa house girl ni jukumu lake na ninachotaka kujua kalipwa ni lazima sio ombi ,na nimemwambia kama hataki nifuatilie matumizi ya mshahara wake akae nyumbani hakuna tatizo .
Nzuri hii..

Kama hawezi akae nyumbani.
 
Hivi ni kweli au?
IMG-20220822-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom