Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Hayamhusu huyo kidume kiofisa koko cha magereza kilinda wafungwa wakinya wasije kutoroka

Mwanamke akipata pesa yake kwa nini utake kudhibiti pesa yake matumizi? Mkataba wa ndoa unatamka kuwa ukioa utadhibiti matumizi ya pesa za mkeo? Mbona wewe hakuombi ATM yako?

Hii kesi tamu hukumu yake itakuwa landmark kuonyesha kama mke ana haki ya chake akipatacho kwa jasho lake kuwa lazima kidhibitiwe na mwanaume aliyemuoa kuwa mwanamke hana uhuru wa kutumia pesa yake hata kununua pedi bila ruksa ya mume aliyeshikilia ATM kisa alilipa mahari.Kuwa hata akitaka pedi ambembeleze mwanaume kuwa naomba ike ATM niliyokupa Katoe pesa nikanunue pedi navuja siku zangu mume wangu niko chini ya miguu yako katoe
Kama umeolewa aidha mumeo hana maamuzi au wewe ndio ulimuoa(anaishi kwako)
 
Wewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe

Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya

Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Ulivyokasirika sasa[emoji23][emoji23] itakuwa pato lako linatokana na hizo sadaka za kudanganya wanawake bila shaka
 
Wanawake wa kilokole wanaheshimu wachungaji kuliko waume zao mchungaji akimwambia wiki nzima akeshe kwenye maombi ataenda ila we mume wake hakuna kitu utamwambia akuelewe
Wanasema we ni shetan unazuia kaz ya Mungu tena unakemewa shetan toka tokAA
 
Mwanaume ndio anatakiwa abebe mizigo yote hata Biblia inasema mwanamke ni.msaidizi tu sio major player

Huyo mwanaume Hopeless
Kaa nyumbani mume akuhudumie sio utumie muda wa familia kwenda kwenye mambo yako halafu familia haipati faida yoyote kutokana na kipato chako halafu baba mchungaji anachukua zote ninyi ndio waharibifu wa familia za watu kisa mmeachika kwa upumbavu wenu
 
Mama abakie hapo hapo.
Anaitaka ATM aisee

Mwanamke kweli umkabidhi mume ATM? That is too much

Wanawake vizuri kuomba Mungu kutopata kidume kilofa kama hicho hopeless kabisa kiofisa magereza

Kinadhalilisha jeshi la magereza wanawake wenye kazi zao watakatakaa kuolewa na Askari magereza kuwa watawapokonya ATM
Umeamua kumuamini mke.. vipi suala la nke kupelekea hela zote kanisani? Hesabu rahisi tu ni kuwa jamaa aliamua kutaka kuchukua atm kwa sababu bibie mshahara ukitoka anaupeleka kanisani wote bila kujali mambo mengine
 
Amlee kwa hiari sio shinikizo
Mimi Mkristo Mwanamke ni msaidizi tu

Hata mwanamke apate mshahara bilioni kwa mwezi.mwanaume anapata laki kwa mwezi huko anakofanya kazi Kikristo hutakiwi kushinikiza mwanamke abebe majukumu kama unampenda na anakijua ukiwa nacho au ulipokuwa nacho ulikuwa vizuri hukuwa mkorofi wala kutotimiza wajibu wa mipesa yako atabeba majukumu yote ya nyumbani kuanzia ya watoto ziwe ada au chochote ya kwako atakununulia hadi chupi atakununulia kama huna kipato.Wanawake wana shukrani sana asikudanganye mtu

Huyo Askari magereza ana shida
Weka maandiko ya biblia kuthibitisha uyasemayo
 
Haya sawa katekwa na ni mama wa nyumbani sawa umemfungulia mradi ulimfungulia ili awe na pesa yake au awe kibarua wako wa kukuletea pesa kila siku kama dereva wa daladala ? Au bodaboda? Au umemgeuza chuma ulete wako? Kuwa yeye ni cheap labour anachouza akuletee hesabu na cash? Akishakupa wewe unamparamia kama punda kumnanihii ndio shukrani yake? Yeye chake hana kuanzia ATM?
Hivi kwenye familia kuna mwenye chake au vyote ni mali ya familia
 
Wanawake wajinga sana..bora akampe nabii hizo hela lakin sio mume wake
 
Umeamua kumuamini mke.. vipi suala la nke kupelekea hela zote kanisani? Hesabu rahisi tu ni kuwa jamaa aliamua kutaka kuchukua atm kwa sababu bibie mshahara ukitoka anaupeleka kanisani wote bila kujali mambo mengine
Mshahara wa mkewe sio wa mumewe
Kazi afanye mwanamke halafu mume achukue mshahara haiwezekani
 
Ok, mke anapokea mshahara na wote haujukikani unaenda wapi. Unaweza kusaidia hapo?
Kifupi mwanaume huyo ni.lofa ni kato ya wale wanaume maskini malofa wakubwa ambao hutaka kutoka kimaisha kwa kutegemea kipato cha mwanamke

Mwanaume mwenye pesa zake hawezi hangaika kufuatilia vihela vya mwanamke

Tatizo la huyo mwanaume ni ulofa

Mtu kama Bakhresa au Mo Dewji hawezi fatilia vihela vya mkewe.Vidume maskini vina shida sana kwenye ndoa.
 
Madhara ya kuowa mke ili akusaidie maisha,hili ni tatizo kubwa vijana amkeni maisha ya hivyo sayari hii hayapo shauri zenu msije sema hamkuambiwa mtapigwa matukio mpaka akili ziwakae sawa.
Wanawake wengi sasa hivi wamesoma huwezi wapelekesha kienyeji kienjyeji
Yaani mwanamke mwalimu wa sekondari halafu kidume kinatska kimpelekesha kienyeji haiwezekani
 
Usipende kutumia makalio kufikiria
Unavizia pesa ya mkeo wewe
Mwanaume kabla ya kuoa jiulize una uwezo wa kuhudumia mke na watoto bila support ya mke ? Ukiona huwezi usioe nenda kanisa katoliki kawaombe uwe padri ambako wengi huenda upadri sababu ya kuepuka majukumu ya kutunza mke na watoto

Wewe ulitakiwa uwe padri
 
Kuna mleta uzi aliwahi kusema "OA mwanamke mlokole at your own Risk"

Wakisha kuwa brainwashed huwa hawasikilizi mtu zaidi ya Mchungaji..

Mwisho: Ndugu yetu nae kama ni kweli analilia ATM basi ametuangusha sana,,,,Nashauri apigwe tu Risasi kama Swalha..
 
Mwanaume mwenye pesa zake hawezi hangaika kufuatilia vihela vya mwanamke

Mkuu naona umeliamini swala la jamaa kulilia ATM,,,, ila shitaka la mume kuwa Pesa yote mke anapeleka Kanisani unaona hilo kwa Mwanamke kulifanya ni sawa....!!?????

au una Evidence already maana sio kwa Lawama hizo
 
Back
Top Bottom