Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeolewa aidha mumeo hana maamuzi au wewe ndio ulimuoa(anaishi kwako)Hayamhusu huyo kidume kiofisa koko cha magereza kilinda wafungwa wakinya wasije kutoroka
Mwanamke akipata pesa yake kwa nini utake kudhibiti pesa yake matumizi? Mkataba wa ndoa unatamka kuwa ukioa utadhibiti matumizi ya pesa za mkeo? Mbona wewe hakuombi ATM yako?
Hii kesi tamu hukumu yake itakuwa landmark kuonyesha kama mke ana haki ya chake akipatacho kwa jasho lake kuwa lazima kidhibitiwe na mwanaume aliyemuoa kuwa mwanamke hana uhuru wa kutumia pesa yake hata kununua pedi bila ruksa ya mume aliyeshikilia ATM kisa alilipa mahari.Kuwa hata akitaka pedi ambembeleze mwanaume kuwa naomba ike ATM niliyokupa Katoe pesa nikanunue pedi navuja siku zangu mume wangu niko chini ya miguu yako katoe
Ulivyokasirika sasa[emoji23][emoji23] itakuwa pato lako linatokana na hizo sadaka za kudanganya wanawake bila shakaWewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe
Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya
Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Wanasema we ni shetan unazuia kaz ya Mungu tena unakemewa shetan toka tokAAWanawake wa kilokole wanaheshimu wachungaji kuliko waume zao mchungaji akimwambia wiki nzima akeshe kwenye maombi ataenda ila we mume wake hakuna kitu utamwambia akuelewe
Kaa nyumbani mume akuhudumie sio utumie muda wa familia kwenda kwenye mambo yako halafu familia haipati faida yoyote kutokana na kipato chako halafu baba mchungaji anachukua zote ninyi ndio waharibifu wa familia za watu kisa mmeachika kwa upumbavu wenuMwanaume ndio anatakiwa abebe mizigo yote hata Biblia inasema mwanamke ni.msaidizi tu sio major player
Huyo mwanaume Hopeless
Umeamua kumuamini mke.. vipi suala la nke kupelekea hela zote kanisani? Hesabu rahisi tu ni kuwa jamaa aliamua kutaka kuchukua atm kwa sababu bibie mshahara ukitoka anaupeleka kanisani wote bila kujali mambo mengineMama abakie hapo hapo.
Anaitaka ATM aisee
Mwanamke kweli umkabidhi mume ATM? That is too much
Wanawake vizuri kuomba Mungu kutopata kidume kilofa kama hicho hopeless kabisa kiofisa magereza
Kinadhalilisha jeshi la magereza wanawake wenye kazi zao watakatakaa kuolewa na Askari magereza kuwa watawapokonya ATM
Hapo ndio kwenye ushuzi. Ina maana mwanamke hana hela hata ya kulea wanawe zaidi ya kutoa kanisani!!!Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Weka maandiko ya biblia kuthibitisha uyasemayoAmlee kwa hiari sio shinikizo
Mimi Mkristo Mwanamke ni msaidizi tu
Hata mwanamke apate mshahara bilioni kwa mwezi.mwanaume anapata laki kwa mwezi huko anakofanya kazi Kikristo hutakiwi kushinikiza mwanamke abebe majukumu kama unampenda na anakijua ukiwa nacho au ulipokuwa nacho ulikuwa vizuri hukuwa mkorofi wala kutotimiza wajibu wa mipesa yako atabeba majukumu yote ya nyumbani kuanzia ya watoto ziwe ada au chochote ya kwako atakununulia hadi chupi atakununulia kama huna kipato.Wanawake wana shukrani sana asikudanganye mtu
Huyo Askari magereza ana shida
Hivi kwenye familia kuna mwenye chake au vyote ni mali ya familiaHaya sawa katekwa na ni mama wa nyumbani sawa umemfungulia mradi ulimfungulia ili awe na pesa yake au awe kibarua wako wa kukuletea pesa kila siku kama dereva wa daladala ? Au bodaboda? Au umemgeuza chuma ulete wako? Kuwa yeye ni cheap labour anachouza akuletee hesabu na cash? Akishakupa wewe unamparamia kama punda kumnanihii ndio shukrani yake? Yeye chake hana kuanzia ATM?
Mshahara wa mkewe sio wa mumeweUmeamua kumuamini mke.. vipi suala la nke kupelekea hela zote kanisani? Hesabu rahisi tu ni kuwa jamaa aliamua kutaka kuchukua atm kwa sababu bibie mshahara ukitoka anaupeleka kanisani wote bila kujali mambo mengine
Mirathi ndio huwa mali ya familiaHivi kwenye familia kuna mwenye chake au vyote ni mali ya familia
Kifupi mwanaume huyo ni.lofa ni kato ya wale wanaume maskini malofa wakubwa ambao hutaka kutoka kimaisha kwa kutegemea kipato cha mwanamkeOk, mke anapokea mshahara na wote haujukikani unaenda wapi. Unaweza kusaidia hapo?
Wanawake wengi sasa hivi wamesoma huwezi wapelekesha kienyeji kienjyejiMadhara ya kuowa mke ili akusaidie maisha,hili ni tatizo kubwa vijana amkeni maisha ya hivyo sayari hii hayapo shauri zenu msije sema hamkuambiwa mtapigwa matukio mpaka akili ziwakae sawa.
Usipende kutumia makalio kufikiriaMshahara wa mkewe sio wa mumewe
Kazi afanye mwanamke halafu mume achukue mshahara haiwezekani
😂 😂bora mshahara apewe mumewe!Mshahara wa mkewe sio wa mumewe
Kazi afanye mwanamke halafu mume achukue mshahara haiwezekani
Unavizia pesa ya mkeo weweUsipende kutumia makalio kufikiria
Mwanaume mwenye pesa zake hawezi hangaika kufuatilia vihela vya mwanamke