Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Hakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli, mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGO ku draft hiyo hukumu

Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke

Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk

Wewe utakuwa ni single mama bila shaka!! Naona machozi ya uchungu wa kuzalishwa na kutupwa hapo nyumbani kwenu,unakutesa sana,nikukumbushe majukumu ya kutunza familia ni ya wazazi wote,sio ya mwanaume au mwanamke tu,mnapoingia kwenye jukumu la kuanzisha familia,mjue mmeanzisha kampuni,mkifanikiwa sifa ni za kwenu wote,mkifeli lawama ni za kwenu wote,binafsi yangu siwezi kuishi na mwanamke ambae sijui kipato chake kinatumika vipi,hata kama sina mpango na pesa yake. Lakini ni vizuri nijue kwa faida ya wetu,kama mke anapeleka pesa zote kwa wahuni wa makanisani,siku nikiwa sipo duniani si atauuza rasilimali zote za watoto apeleke uko kwa wahuni wenzake na watoto wageuke panya road!! Ukichunguza panya road wengi wanalelewa na mzazi mmoja wa kike. Kama wanawake wanataka usawa na wanaume wa hamsini kwa hamsini basi waelewe hata majukumu watayabeba.
 
Yaani logic ya jamaa ni hii. MWANAMKE HATAKI KUSAIDIA MAJUKUMU YA NYUMBANI AMBAPO KUNA MUME WAKE NA WATOTO WAKE WA KUZAA MWENYEWE LAKINI ANAAMUA NA KUONA BORA KWENDA KUPELEKA MSHAHARA WOTE KANISANI KWA MCHUNGAJI.


Huu ni ujinga uliopitiliza. Huyo mwanamke na wanawake wengine pamoja na wanaume wengine mnaomuona jamaa ni mjinga nyie ndyo wajinga grade one! Yaani wewe mwanamke unaona haifai kumsaidia mume wako majukumu ambayo ni pamoja na kuwahudumia watoto wako lakini unapeleka pesa hiyo hiyo kwa mwanaume mwingine aliyejivisha vazi la uchungaji! STUPIDITY!!!!


Pia hilo suala la kusema mwanaume ameng'ang'ania kadi ya mwanamke ni uongo! Wanawake ni wajanja sana, wanajua kucheza na huruma ya jamii. Mwanamke anaweza kufanya tukio hadi shetani mwenyewe akakaa chini kujifunza.

Kwa upumbavu wa huyo mwanamke, vunja ndoa brother ili yeye akaolewe na MCHUNGAJI huyo ambae hana busara za kujenga ndoa za kondoo zake bali anaziharibu. Au aende akaolewe na mwanaume ambae ataruhusu mwanamke wake afanye kazi mwezi mzima halafu mshahara ukitoka anapeleka wote kanisani kwa mwanaume mwingine. Stupid!!!!
 
Bora waachane harafu mwanamke aendelee kupeleka mshahara wake kanisani...
Nakuhakikishia wakishaachana huyo mwanamke hatopeleka tena mshahara wake wote KANISANI kwasababu atakuwa na majukumu ya kuhakikisha anakula, analipa kodi ya nyumba, anavaa, anasafiri na matumizi mengine. Kwasasa anajifanya kichaa wa kupeleka mshahara wote kanisani kwasababu kuna mtu anamlisha, anamvalisha, analala bure na kila kitu anakikuta kipo nyumbani.
 
Nakuhakikishia wakishaachana huyo mwanamke hatopeleka tena mshahara wake wote KANISANI kwasababu atakuwa na majukumu ya kuhakikisha anakula, analipa kodi ya nyumba, anavaa, anasafiri na matumizi mengine. Kwasasa anajifanya kichaa wa kupeleka mshahara wote kanisani kwasababu kuna mtu anamlisha, anamvalisha, analala bure na kila kitu anakikuta kipo nyumbani.
Yes ,ajue nini maana ya matumizi bora ya pesa...
 
Nakuhakikishia wakishaachana huyo mwanamke hatopeleka tena mshahara wake wote KANISANI kwasababu atakuwa na majukumu ya kuhakikisha anakula, analipa kodi ya nyumba, anavaa, anasafiri na matumizi mengine. Kwasasa anajifanya kichaa wa kupeleka mshahara wote kanisani kwasababu kuna mtu anamlisha, anamvalisha, analala bure na kila kitu anakikuta kipo nyumbani.
word!
 
Yaani logic ya jamaa ni hii. MWANAMKE HATAKI KUSAIDIA MAJUKUMU YA NYUMBANI AMBAPO KUNA MUME WAKE NA WATOTO WAKE WA KUZAA MWENYEWE LAKINI ANAAMUA NA KUONA BORA KWENDA KUPELEKA MSHAHARA WOTE KANISANI KWA MCHUNGAJI.


Huu ni ujinga uliopitiliza. Huyo mwanamke na wanawake wengine pamoja na wanaume wengine mnaomuona jamaa ni mjinga nyie ndyo wajinga grade one! Yaani wewe mwanamke unaona haifai kumsaidia mume wako majukumu ambayo ni pamoja na kuwahudumia watoto wako lakini unapeleka pesa hiyo hiyo kwa mwanaume mwingine aliyejivisha vazi la uchungaji! STUPIDITY!!!!


Pia hilo suala la kusema mwanaume ameng'ang'ania kadi ya mwanamke ni uongo! Wanawake ni wajanja sana, wanajua kucheza na huruma ya jamii. Mwanamke anaweza kufanya tukio hadi shetani mwenyewe akakaa chini kujifunza.

Kwa upumbavu wa huyo mwanamke, vunja ndoa brother ili yeye akaolewe na MCHUNGAJI huyo ambae hana busara za kujenga ndoa za kondoo zake bali anaziharibu. Au aende akaolewe na mwanaume ambae ataruhusu mwanamke wake afanye kazi mwezi mzima halafu mshahara ukitoka anapeleka wote kanisani kwa mwanaume mwingine. Stupid!!!!
Nakazia hapa brother asante umemaliza hakuna la nyongeza hapa atakae elewa na aelewe!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kubwa si kuhama tu dhehebu bali namna mwanamke anavyotoa hela yote kwa mchungaji badala ya kufanya angalau matumizi ya kifamilia
Kutoa sadaka ni kumpa mchungaji?

Sadaka hutolewa kanisani kwenye vyombo vya sadaka umkabidhi mchungaji mkononi. Na Ukiweka kwenye chombo huwa hazina majina ya aliyeweka

Kanisa ndio hupokea sadaka

Huyo mwanaume akiulizwa ushahidi kuwa adhibitishe kuwa hizo pesa huwa huyo.mwanamke anampa mchungaji hatakuwa nao
 
Kutoa sadaka ni kumpa mchungaji?

Sadaka hutolewa kanisani kwenye vyombo vya sadaka umkabidhi mchungaji mkononi. Na Ukiweka kwenye chombo huwa hazina majina ya aliyeweka

Kanisa ndio kupokea sadaka

Huyo mwanaume akiulizwa ushahidi kuwa adhibitishe kuwa hizo pesa huwa huyo.mwanamke anampa mchungaji hatakuwa nao
Kanisa linazipeleka wapi hizo sadaka?
 
Zamani nilikuwa napenda sana kuangalia movies za Kinaigeria.
Mara nyigi zilikuwa zinaonyesha mambo ya kilokole na miujiza-miujiza!
Zilikuwa zinaonyesha kwamba mabingwa wote wa miujiza walikuwa wanapata ujuzi huo kwa waganga maarufu wa ndumba!!
Inaelekea kuna ukweli ndani yake!!
 
Mwalimu wa shule ya Sekondari Jijini Mbeya, Julieth Kabuja (32) ameieleza Mahakama ya mwanzo Mkoani hapo kuwa ni bora ndoa yake ivunjike kuliko kumkabidhi mumewe kadi yake ya benki.

Ameyazungumza hayo mbele ya Mahakama ya mwanzo jijini hapo baada ya mumewe Charles Meshack (31) kufungua shauri la madai ya talaka akitaka kuachana na mkewe kwa kuhama dhehebu la katoliki na kuhamia la kilokole.

Aidha Meshack ambaye ni Askari Magereza amedai mkewe baada ya kuhamia katika ulokole fedha zake amekuwa akizipeleka kanisani kitendo kinachosababisha yeye kuzidiwa na majukumu ya familia.

“Naumia sana na majukumu, kodi ya nyumba nilipe mimi, ada za Watoto na chakula vyote mimi, halafu yeye mshahara wake apeleke kanisani, bora tuachane” alisema Meshack.
Hata hivyo Julieth aliiambia Mahakama kuwa yeye na mume wake wote ni wafanyakazi, lakini anashangaa anataka kumiliki kadi zote.

“Siku moja aliniamsha usiku na kuniambia nisipokubali kumkabidhi kadi yangu ya benki bora tuachane kwa kisingizio yeye alinilipia mahari hivyo mimi na kila kitu changu kipo chini yake, yaani kazi nifanye mimi halafu mshahara nimuachie huyu bwana, nipo tayari kuachika lakini siyo kuacha kadi yangu” alidai Julieth

Baada ya Hakimu Hafsa Shelimo kusikiliza pande zote mbili, aliahirisha kesi hiyo hadi Mei 12, mwaka huu kwaajili ya hukumu.

Chanzo: Swahili Times
Yaani wanawake wanaohama madhehebu yao kwenda kwenye ulokole, wanakuwaga kama wamepagawa hivi, hawasikii la mume, ndugu, wala wazazi, sijui wanalishwaga nini!!?
 
Yaani wanawake wanaohama madhehebu yao kwenda kwenye ulokole, wanakuwaga kama wamepagawa hivi, hawasikii la mume, ndugu, wala wazazi, sijui wanalishwaga nini!!?
Sababu matatizo yao wanakuwa wameongea na mume na ndugu na wazazi hakuna anayesikia

Sasa inakuwa zamu yao kutosikilizwa.Inaitwa usimuamshe aliyelala akiamka utalala wewe
 
Kutoa sadaka ni kumpa mchungaji?

Sadaka hutolewa kanisani kwenye vyombo vya sadaka umkabidhi mchungaji mkononi. Na Ukiweka kwenye chombo huwa hazina majina ya aliyeweka

Kanisa ndio hupokea sadaka

Huyo mwanaume akiulizwa ushahidi kuwa adhibitishe kuwa hizo pesa huwa huyo.mwanamke anampa mchungaji hatakuwa nao
Ok, mke anapokea mshahara na wote haujukikani unaenda wapi. Unaweza kusaidia hapo?
 
Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Huu ni ujinga wa feminists. Lengo la ajenda ya mume kumuhudumia mke kwa kila kitu, lilikuwa zuri. Ila utekelezaji wake sasa. Haiwezekani mume umuhudumie mke kwa kila kitu wakati wote mnaondoka asubuhi na kurudi usiku. Hapo bado mshahara wa dada wa kazi utoe wewe (mume). Pesa yake ina kazi gani iwapo hata kumuhudumia yeye mwenyewe haiwezi?
 
Back
Top Bottom