change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Hakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli, mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGO ku draft hiyo hukumu
Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke
Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk
Wewe utakuwa ni single mama bila shaka!! Naona machozi ya uchungu wa kuzalishwa na kutupwa hapo nyumbani kwenu,unakutesa sana,nikukumbushe majukumu ya kutunza familia ni ya wazazi wote,sio ya mwanaume au mwanamke tu,mnapoingia kwenye jukumu la kuanzisha familia,mjue mmeanzisha kampuni,mkifanikiwa sifa ni za kwenu wote,mkifeli lawama ni za kwenu wote,binafsi yangu siwezi kuishi na mwanamke ambae sijui kipato chake kinatumika vipi,hata kama sina mpango na pesa yake. Lakini ni vizuri nijue kwa faida ya wetu,kama mke anapeleka pesa zote kwa wahuni wa makanisani,siku nikiwa sipo duniani si atauuza rasilimali zote za watoto apeleke uko kwa wahuni wenzake na watoto wageuke panya road!! Ukichunguza panya road wengi wanalelewa na mzazi mmoja wa kike. Kama wanawake wanataka usawa na wanaume wa hamsini kwa hamsini basi waelewe hata majukumu watayabeba.