Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Nikisoma comments za Wanaume wenzangu nimegundua kwa nini wengi wanakufa mapema,kwa sababu ya kujikweza-mwisho anafeli na presha juu.

Kama Mkeo anafanya kazi-lazima msaidiane katika kulea familia,lazima kusaidiana majukumu.
Kuna wanaume mafala sana humu ndani huo ni upumbavu wanatetea nahisi wanapelekeshwa na wake zao kiasi ambacho wanaona huyo mwanamke anachofanya ni kidogo compared to ambacho wanapitia
 
Shida sio kadi, shida ni kumpelekea tapeli pesa
Hayamhusu huyo kidume kiofisa koko cha magereza kilinda wafungwa wakinya wasije kutoroka

Mwanamke akipata pesa yake kwa nini utake kudhibiti pesa yake matumizi? Mkataba wa ndoa unatamka kuwa ukioa utadhibiti matumizi ya pesa za mkeo? Mbona wewe hakuombi ATM yako?

Hii kesi tamu hukumu yake itakuwa landmark kuonyesha kama mke ana haki ya chake akipatacho kwa jasho lake kuwa lazima kidhibitiwe na mwanaume aliyemuoa kuwa mwanamke hana uhuru wa kutumia pesa yake hata kununua pedi bila ruksa ya mume aliyeshikilia ATM kisa alilipa mahari.Kuwa hata akitaka pedi ambembeleze mwanaume kuwa naomba ike ATM niliyokupa Katoe pesa nikanunue pedi navuja siku zangu mume wangu niko chini ya miguu yako katoe
 
Kuna kutetea haki za wanawake na kuna kutetea ufala, tofauti yake ni ndogo sana unless wewe ni mnufaika wa hizo sadaka, nitakuelewa unatetea ugali wako.
Kwa hiyo mkewe akiwa period anavuna damu amuombe mumewe aliyempa ATM akatoe pesa ampe akanunue pedi ?
Au chupi imechakaa akaombe mpenzi naomba Ukatotoe pesa kwenye ATM yangu chupi imechakaa

Huyo mwanaume mjinga
 
Nikisoma comments za Wanaume wenzangu nimegundua kwa nini wengi wanakufa mapema,kwa sababu ya kujikweza-mwisho anafeli na presha juu.

Kama Mkeo anafanya kazi-lazima msaidiane katika kulea familia,lazima kusaidiana majukumu.
Acha wajikweze huku moyoni wanakufa taratibu ha!ha!
 
Kweli kuna wanaume viazi yani wewe na Mke mfanye kazi halafu useme hela ya Mkeo atumie anavyotaka huku wote MNA watoto wana wategemea.
Ndio maana Wazungu wanatuzidi.
Amini nakwambia wanaocomment hivi hawafanyi hivyo.
We huwaoni humu wanakuja na thread wakuu nisaidie ni biashara gani naweza kumfungulia wife ili tusaidiane maisha. Kwanini hawaandiki ni biashara gani naweza mfungulia wife ili pesa apeleke anakotaka.

Jf watu wanacomment maisha ambayo kiuhalisia hawayaishi.
 
Nimejifunza kuwa mwanaume ukilileta jambo lako linalohusiana na mwanamke kwenye hadhara ni rahisi mwanaume kugeuziwa kibao kwa kuwa wanawake Wana uwezo mkubwa sana wa kuplay victims na jamii ikakubali haraka madai yao.........

Hizi ni nyakati ngumu kuwa mwanaume hasa kama umebahatika kuoa......ndio maana wanaume tunakufa vifo vya ghafla......

Mada zozote zinazohusu Wana ndoa....zinahitaji umakini kuchangia na sio kufuata mihemko...
 
Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Siku ya kugawana mali unafikiri Kuna kuuliza nani huwa anatoa Hela nyingi

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Nikisoma comments za Wanaume wenzangu nimegundua kwa nini wengi wanakufa mapema,kwa sababu ya kujikweza-mwisho anafeli na presha juu.

Kama Mkeo anafanya kazi-lazima msaidiane katika kulea familia,lazima kusaidiana majukumu.
Huyu mwanamke ameshapata bwana tena ni huyo mchungaji wake wa kilokole,haiwezekani pesa zote apeleke kwa mchungaji halafu ukiulizwa unasema bora tuachane.
 
Hii kesi kila mmoja anavutia kwake.

Lakini kama mwanamke anafanya kazi na hachangii chochote hata kama mwanaume ndio jukumu lake, mwanamke amekosea sana.

Wanaume wanaoa ili wapate utulivu lakini pia wapate msaidizi, usaidizi ni pamoja na Hili pia, mke una kipato ila hata kuchangia kidogo hakuna inaleta ukakasi.

Japo pia wanaume baadhi husababisha hiyo hali wanawake kugoma kutoa chochote, unakuta mwanaume ana mke ila huduma zina sua sua lakini nje ana michepuko kibao na lazima ihudumiwe. Mwanamke anaamua bora amkomeshe mwanaume amuachie majukumu apambane nayo na michepuko apambane nayo.

Kwa hiyo hatuwezi kusemea lolote kwa sababu ukweli halisi wa hali kufikia hapo wanaujua hao wawili.
 
Ndoa za 21 centuary

Gender equality at work
 
mathalani take home ya bi dada ni 520000 TSHS.
10% ya church 520000, tena makanisa mengine wanataka 10 ya basic salary na sio take home.
Mchango wa akina mama 10000 TSHS
Mchango wa vijana 10000 TSHS
jumapili ziko 4-5 ndani ya mwezi ambapo kila jumapili atatoa 10000 kama sadaka
jumla 40000-50000.
Sadaka ya kufunguliwa ..........

Sadaka ya kukomboa uzao wake wa kwanza .......
Sadaka ya kujimaliza........
Jumla kuu ndani ya mwezi inafika 300000 TSHS.
Hiyo laki mbili anunue viatu vya kanisani, mikoba na amtumie mama yake unadhani atabakiwa na nini?
Afande piga chini huyo mwanamke wa hovyo
 
Hayamhusu huyo kidume kiofisa koko cha magereza kilinda wafungwa wakinya wasije kutoroka

Mwanamke akipata pesa yake kwa nini utake kudhibiti pesa yake matumizi? Mkataba wa ndoa unatamka kuwa ukioa utadhibiti matumizi ya pesa za mkeo? Mbona wewe hakuombi ATM yako?

Hii kesi tamu hukumu yake itakuwa landmark kuonyesha kama mke ana haki ya chake akipatacho kwa jasho lake kuwa lazima kidhibitiwe na mwanaume aliyemuoa kuwa mwanamke hana uhuru wa kutumia pesa yake hata kununua pedi bila ruksa ya mume aliyeshikilia ATM kisa alilipa mahari.Kuwa hata akitaka pedi ambembeleze mwanaume kuwa naomba ike ATM niliyokupa Katoe pesa nikanunue pedi navuja siku zangu mume wangu niko chini ya miguu yako katoe
Mkuu we ndio baba mchungaji nini
 
Back
Top Bottom