Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Duuh hao nao hawapendani mke ameshapata mchepuko.
Huenda sio mchepuko lkn pesa ya mwanamke huwa haiguswi mkuu.

Labda uwe na mke anayejitambua sana mara moja moja akupige tafu endapo umeyumba.
Vinginevyo siku zote wanaume ndio mtaji wa familia na jamii.
 
Nimejifunza kuwa mwanaume ukilileta jambo lako linalohusiana na mwanamke kwenye hadhara ni rahisi mwanaume kugeuziwa kibao kwa kuwa wanawake Wana uwezo mkubwa sana wa kuplay victims na jamii ikakubali haraka madai yao.........

Hizi ni nyakati ngumu kuwa mwanaume hasa kama umebahatika kuoa......ndio maana wanaume tunakufa vifo vya ghafla......

Mada zozote zinazohusu Wana ndoa....zinahitaji umakini kuchangia na sio kufuata mihemko...
Umenena vyema bro
 
Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu

Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali

Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri

Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia

Mfumo dume unahitaji kusomeshwa

Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Hao sindio wanasemaga haki sawa hapo unataka waka teteenini mkuu.
 
Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu

Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali

Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri

Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia

Mfumo dume unahitaji kusomeshwa

Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Solidality ya nini mwanaume katoa sharti ya kukabidhiwa kadi au waachane ,kama hataki waachane ,mwanaume anao uhakika wa kumpata atakaye mpatia kadi na mwanamke anao uhakika wa kumpata ambaye haitaji kadi.
 
Hakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli,mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGo ku draft hiyo hukumu

Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke

Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk
Matumizi mabaya kabisa ya mahakama ,wanaume wapo wengi huyo mwanamke kama hataki kutoa kadi akatafute mwanaume ambaye hajisumbui na kadi ya mwanamke wapo wengi,na wanawake wako wengi huyo mwanaume akatafute wapo wengi wanataka mwanaume wa kumpa hata nyumba sio kadi tu.Tusichoshane
 
Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Unaona sawa mwanamke kupeleka mshahara wake Kanisani.
 
huyu jamaa nae hajielewi,ingekuwa mm,nawaibukia na kakirikuu siku Yao pendwa ya jpili,nabeba speaker,Mike,viti ,vikapu vya kukusanyia pesa ,n.k Hadi nitakapoona vimetimia dhamani ya pesa aliyowapa wife!! baada ya hapo nione Nani atakayenifuata!![emoji16]
Duuuh, umenikumbusha mjeshi mmoja alimtimbia kakobe chachi ilikuwa kizaazaa, mjeshi yupo misheni dafur sudan huku mke kila kitu kapeleka mwenge
 
Huenda sio mchepuko lkn pesa ya mwanamke huwa haiguswi mkuu.

Labda uwe na mke anayejitambua sana mara moja moja akupige tafu endapo umeyumba.
Vinginevyo siku zote wanaume ndio mtaji wa familia na jamii.
Motivational speakers bana.
 
Wewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe

Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya

Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Mwanamke akimlea mume wake wa ndoa iyo inaubaya gani?

Kwa mujibu wa mada iliyopo jamvini Mama hachangii chochote na anafanya kazi. Sasa apo ameoa au anaishi na hawara yake?
 
Kwahiyo mime hana mamlaka ku control kipato chake ila kanisa inayo mamlaka sindio?

Hivi mnajua maana ya kuwa mwili mmoja au mnadanganyana kwenye matamasha ya NGOs?

Kama ukioa bado inakuwa na mamlaka na vitu vyako kwanini mtu akitoka nje ya ndoa inakuwa kosa wakati inatumia mwili wako aliokuumba nao mungu?
Uliyemquote hukumuelewa
 
Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu

Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali

Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri

Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia

Mfumo dume unahitaji kusomeshwa

Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Tatizo hamjalipima hili kwa upana ,Mimi kwa mawazo yangu naona jamaa anampenda mke wake na anaumia Sana mke wake kupeleka pesa kwa Hawa matapeli wachungaji uchwara.

Bora huyo mwanamke angekua anafanyia hizo pesa kwenye Mambo hata ya familia ya kwao ,kumbuka Wana watoto vipi huyo mama amewaza hatma ya watoto hapo baadae ,si Bora hizo pesa angesaidiana na mmewe kuwawekezea watoto.

Jamaa kutaka Atm ni Kama kumwokoa na ujinga alio nao.
Na hapo wakiachana ambaye anaenda kuwa na maisha magumu ni mwanamke maana tayar matapel washamkamata akil zake haambiw kitu Wala kusikia.

Inauma Sana upo na mwenzio wote mungu kawabarik kipato kidogo alafu mwingine anakichezea tu kwa kugawa kwa wachungaji feki.

Huyo mwanamke angekua anasaidia hata watoto wake tu huyo Jamaa asingekua na shida na Atm yake ,yaan kila kitu mwanaume sidhan km ndoa za watumishi waliooana zipo namna hiyo ,mkisaidiana hata love inakngezeka .
Swala la atm ni love tu ,mwez fulan anaweza enda na atm zote mbili mwanamke na mkapanga bajet kwa pamoja ,mwez mwingine akaenda yeyote ,ni swala la upendo tu na kusikilizana .
Narudia Tena huyo mwanamke anaenda kuishi maisha ya taabu Sana kwa kutaka sifa za huko makanisan na bahat mbaya amezalishwa hivyo hata Kama atapata bwana Basi yeye ndie anaenda kugharamika vibaya mno na mwisho wa siku atakuja jiona mjinga wa mwisho maana hakuna atakachokua amekikwepa hapo.
 
Back
Top Bottom