Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Naona wanawake mnakomaa,lakini undani wa maisha yao hamuufahamu. Kama mwanamke hataki fedha zake zihudumie familia aache kazi. Lakini kutoka asubuhi kwenda kupoteza muda huna unachochangia ni upimbi. Aache kazi ili pesa yake isitumike.
Sure ndugu ,yaan kitendo cha kutoka asubuh sambamba na mwanaume means na wewe umeamua kutafuta na kushare na familia kinachopatikana .

Lasivyo kaa nyumbani ijulikane wewe ni mama wa nyumban.

Ajabu sasa wanawake wengi kwenye Mambo ambayo hayawagusi moja kwa moja wanataka 50/50 ila ukigusa maslahi yao hiyo 50/50 wanaikwepa km ukoma.

Nasema aina ya wanawake wa changu ni changu chako ni chetu hawana akil na huwa wanakua na mwisho mbaya ,Zaid wanaishia kuwa wasimbe na mistress ya kujitakia .

Ukiamua kuishi na mtu means nyie ni mwili mmoja so kusaidiana ni Jambo la kawaida Sana ,haya Basi hizo pesa peleka hata kwenu tujue moja unarudisha fadhila kwa waliokusomesha ila kupeleka pesa zote kanisan ni ujinga wa hali ya juu
 
Mwanamke akimlea mume wake wa ndoa iyo inaubaya gani?

Kwa mujibu wa mada iliyopo jamvini Mama hachangii chochote na anafanya kazi. Sasa apo ameoa au anaishi na hawara yake?
Amlee kwa hiari sio shinikizo
Mimi Mkristo Mwanamke ni msaidizi tu

Hata mwanamke apate mshahara bilioni kwa mwezi.mwanaume anapata laki kwa mwezi huko anakofanya kazi Kikristo hutakiwi kushinikiza mwanamke abebe majukumu kama unampenda na anakijua ukiwa nacho au ulipokuwa nacho ulikuwa vizuri hukuwa mkorofi wala kutotimiza wajibu wa mipesa yako atabeba majukumu yote ya nyumbani kuanzia ya watoto ziwe ada au chochote ya kwako atakununulia hadi chupi atakununulia kama huna kipato.Wanawake wana shukrani sana asikudanganye mtu

Huyo Askari magereza ana shida
 
Matumizi mabaya kabisa ya mahakama ,wanaume wapo wengi huyo mwanamke kama hataki kutoa kadi akatafute mwanaume ambaye hajisumbui na kadi ya mwanamke wapo wengi,na wanawake wako wengi huyo mwanaume akatafute wapo wengi wanataka mwanaume wa kumpa hata nyumba sio kadi tu.Tusichoshane
Sheria ipi inasema mwanamke akiolewa akabidhi ATM kwa mume wake choka mbaya lofa ambaye hana uwezo kuhudumia familia
 
Wewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe

Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya

Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Rafiki yangu inaonyesha akili zako si nzuri.
Hata post zako zinadhihirisha hilo.
Mimi ni mtumishi wa umma ninayelipwa milioni na point (niko tayari kuonyesha salary slip) na mke wangu ni mama wa nyumbani nimemfungulia mradi unaouingizia familia kipato.
Huyo dada ni chizi katekwa na manabii wahuni.
Kwanini tabia ibadilike baada ya kuhama dhehebu?
 
Nyie. Mnamlaumu bure jamaa..hamjajua walokole wanawake walivoshikiwa vichwa vyao na wachungaj
Uko sahihi Mkuu!
Nina bro wa ukoo, alijua kuachana na mkewe WA miaka 20+.
Mke alipojua kuokoka, ikawa taabu, asubuhi mbio kanisani, akirudi mchana analala, akiamka mbio mkesha kanisani, kurudi alfajiri, watoto wakubwa boarding na chuo, wamebakia wao, Ila jamaa akaanza kuishi Ka bachelor tena, kujihudumia kujipikia, kujifulia, akiuliza kosa, atabatizwa majina ya mapepo yote!

Siku 1, katoka kazini kachelewa karudi nyumba Giza, akaona ujinga akaingia akachukua vitu vyake vichache vya muhimu, akaondoka. Akaacha nyumba na Giza lake!

Tokea siku hiyo hakurudi! Vikao kwa vikao hakurudi. Mke akarudi ukatoliiki jamaa hajarudi. Anasema baada ya kuteseka sana alikula kiapo, akirudi kwa yule mwanamke basi avunjike miguu!
 
Wewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe

Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya

Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Alafu we jamaa nimefuatilia comments zako tokea mwanzo inaonekana una machungu Sana na Askari wa magereza binafsi naona ushawahi fanyiwa kitu mbaya na wajelajela maana sio kwa mipovu hiyo .
Sasa umepata pakupozea machungu yako .
 
Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Si hamsini hamsini kama ni hivyo matatizo ya upande wa kwao hasi muhusishe mumewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki yangu inaonyesha akili zako si nzuri.
Hata post zako zinadhihirisha hilo.
Mimi ni mtumishi wa umma ninayelipwa milioni na point (niko tayari kuonyesha salary slip) na mke wangu ni mama wa nyumbani nimemfungulia mradi unaouingizia familia kipato.
Huyo dada ni chizi katekwa na manabii wahuni.
Kwanini tabia ibadilike baada ya kuhama dhehebu?
Haya sawa katekwa na ni mama wa nyumbani sawa umemfungulia mradi ulimfungulia ili awe na pesa yake au awe kibarua wako wa kukuletea pesa kila siku kama dereva wa daladala ? Au bodaboda? Au umemgeuza chuma ulete wako? Kuwa yeye ni cheap labour anachouza akuletee hesabu na cash? Akishakupa wewe unamparamia kama punda kumnanihii ndio shukrani yake? Yeye chake hana kuanzia ATM?
 
Kakosea Kumpeleka Mahakamani, anazidi Kumpa kichwa huyo Mwanamke.

Alitakiwa a deal nae Hapo Hapo Nyumbani.
Kata huduma kwake zote zinahusu Pesa.

Make sure that unanunua Mahitaji yote home, humpi huyo Mwanamke hata Senti, hudumia watoto, Lipia Bill zote ila yeye atajua Mwenyewe na Kanisani kwake.

Full stop ,atapigika, akili itakaa sawa.
 
Back
Top Bottom