Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

Hawa wote ni majanga,
Wee unaoaje mwanamke anaye kuzidi UMRI??
Ke ana.32 Me ana.31
So nani alianza kuumbwa??

TAFUTA UBAVU WAKO BRO, NAYE ANA UBAVU WAKE
WAACHANE TU KILA MMOJA ASONGESHE KIVYAKE.MNAPOSHINDWA KUELEWANA KATIKA HOJA ZA MAENDELEO YA FAMILIA YENU HUWA HAKUNA MAANA TENA.
 
Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Tatizo roho inauma zaidi unapogundua mshahara wote unaliwa na mchungaji, yaan unahisi kama hela zimetupwa tu[emoji23][emoji23]
 
Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu

Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali

Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri

Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia

Mfumo dume unahitaji kusomeshwa

Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Ww msimbe tulia,umeachwa nin
 
Inashangaza mkuu , mume kutaka ATM ni kwa namna ya kumsaidia huyo mwanamke na matumizi ya hovyo.

Fikiria mnaishi na mtu ndani kwa maisha ya sasa yeye hela yake ni kupeleka huko kwenye makanisa ya kiroho harafu huku ndani hafanyi chochote...
Hili suala watu wanalizungumza kirahisi sana, ni suala gumu na baya mno kwenye familia.


Nina uzoefu na ushuhuda nalo. Afadhari huyo anapeleka fedha tu, wengine tulishakuta Tv, vyakula nk vimeshaenda kutolewa sadaka. Ujinga gàni huo. Hayo mambo pia yanaambatana na tabia flani hivi, sio tu anapeleka pesa, mikesha ya usiku, hiduma kwa mchungaji ( huduma zingine mpaka zinakifanya kuwaza sana kama zina kheri au ni mjumuiko wa madhambi tu).


Mi ni mwathirika mkubwa wa kadhia hii, sitaki hata kukumbuka yaliyonitokea. Nawashangaa wanaao mtweza huyu ndugu, usiombe yakupate. Hapo mwanamke huwa nusu mwehu na nusu kichaa, sio wa kawaida akifikia hatua hiyo.
 
huyu jamaa nae hajielewi,ingekuwa mm,nawaibukia na kakirikuu siku Yao pendwa ya jpili,nabeba speaker,Mike,viti ,vikapu vya kukusanyia pesa ,n.k Hadi nitakapoona vimetimia dhamani ya pesa aliyowapa wife!! baada ya hapo nione Nani atakayenifuata!![emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] We jamaa mkorofi sana

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
bora km mke hana kazi ntamuhudumia hadi senti yangu ya mwisho ila eti ana mshahara wa kusaidiana nae mambo madogomadogo hatakama hachangii chochote home ila sio kwenda kuutoa kwa sjui pasta wa mchongo,siez kukubali.
 
Ila inauma zaid. Yan uoe ww, umlishe, uvalishe, alale kwako alafu mshahara ampe mchungaji tena akiwa mchungaji mwanaume ndio inachoma had miguu
Kwani kasema anapeleka mshahara wote au kamuomba pesa zake? Kama inauma oa Mama wa nyumbani
 
Nimejifunza kuwa mwanaume ukilileta jambo lako linalohusiana na mwanamke kwenye hadhara ni rahisi mwanaume kugeuziwa kibao kwa kuwa wanawake Wana uwezo mkubwa sana wa kuplay victims na jamii ikakubali haraka madai yao.........

Hizi ni nyakati ngumu kuwa mwanaume hasa kama umebahatika kuoa......ndio maana wanaume tunakufa vifo vya ghafla......

Mada zozote zinazohusu Wana ndoa....zinahitaji umakini kuchangia na sio kufuata mihemko...
una akili sana
 
Hakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli,mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGo ku draft hiyo hukumu

Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke

Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk
Hao ndiyo hata akija nyuma akikuta mazaga zaga anakula tu bila hata kuuliza kisa mke anakazi, kama ni ndugu lazima nimpe vidonge vyake
 
Tatizo hamjalipima hili kwa upana ,Mimi kwa mawazo yangu naona jamaa anampenda mke wake na anaumia Sana mke wake kupeleka pesa kwa Hawa matapeli wachungaji uchwara.

Bora huyo mwanamke angekua anafanyia hizo pesa kwenye Mambo hata ya familia ya kwao ,kumbuka Wana watoto vipi huyo mama amewaza hatma ya watoto hapo baadae ,si Bora hizo pesa angesaidiana na mmewe kuwawekezea watoto.

Jamaa kutaka Atm ni Kama kumwokoa na ujinga alio nao.
Na hapo wakiachana ambaye anaenda kuwa na maisha magumu ni mwanamke maana tayar matapel washamkamata akil zake haambiw kitu Wala kusikia.

Inauma Sana upo na mwenzio wote mungu kawabarik kipato kidogo alafu mwingine anakichezea tu kwa kugawa kwa wachungaji feki.

Huyo mwanamke angekua anasaidia hata watoto wake tu huyo Jamaa asingekua na shida na Atm yake ,yaan kila kitu mwanaume sidhan km ndoa za watumishi waliooana zipo namna hiyo ,mkisaidiana hata love inakngezeka .
Swala la atm ni love tu ,mwez fulan anaweza enda na atm zote mbili mwanamke na mkapanga bajet kwa pamoja ,mwez mwingine akaenda yeyote ,ni swala la upendo tu na kusikilizana .
Narudia Tena huyo mwanamke anaenda kuishi maisha ya taabu Sana kwa kutaka sifa za huko makanisan na bahat mbaya amezalishwa hivyo hata Kama atapata bwana Basi yeye ndie anaenda kugharamika vibaya mno na mwisho wa siku atakuja jiona mjinga wa mwisho maana hakuna atakachokua amekikwepa hapo.
mkuu safi sana
 
Naona wanawake mnakomaa,lakini undani wa maisha yao hamuufahamu. Kama mwanamke hataki fedha zake zihudumie familia aache kazi. Lakini kutoka asubuhi kwenda kupoteza muda huna unachochangia ni upimbi. Aache kazi ili pesa yake isitumike.
Mahitaji yake yote umpe ,sio mzazi wake kule kaomba pesa yakununulia mboga unaanza sijaoa ukoo kaka zako wapo hapana, wakati wewe upo busy na ndugu zako haipo hiyo!
 
Ukiangalia kwa undani hii stori sio kwamba jamaa alitaka akabidhiwe kadi,isipokuwa hela ilikuwa inaishia kusikojulikana ndio maana akataka ajue inaenda wapi.
Pesa ya mwanamke ni yake akitoa shukuru, pesa ya saloon hiyo, ukute hata hajui mke anasuka nywele kwa shiling ngapi ila anataka kujua hiyo laki tatu ya mke inaenda wapi![emoji23]
 
Sheria ipi inasema mwanamke akiolewa akabidhi ATM kwa mume wake choka mbaya lofa ambaye hana uwezo kuhudumia familia
we bidada bhana umekomaa sana au yalishawahi kukukuta nn yaan sikupanga kucoment ila imenibidi nifanye hivo tu.
wengi wameku quote hapo juu kukuelezea kwa ufupi angalau kwa upeo wao tena wakiwa neutral kabisa kwa pande zote mbili katika hoja.
iko ivi kwanza inatakiwa utambue maisha yamebadilika sana zaman sio kama sasa..maisha yamekuwa na mahitaj mengi sana zaid yanahitaji kutegemeana ndo maana wamekuja na kauli mbiu ya 50/50 ikiwa na maana ya kwamba tushilikishe hasa kwenye familia zetu kwa kusaidiana ili majukumu yakifamilia yapungue makali mfano kama Baba ana kazi mama hana bac Baba amfungulie hata biashara ndog lengo ni mama naye ashiriki kumsaidia Baba naye katika majukumu madogo madogo kwa mtizamo huo tunajikuta tunaludi pale pale kwenye mpango wa 50/50.
nieleweke jambo moja hapa cjaunga mkono hoja ya huyo jamaa yakutaka kuchukua ATM ila nafikiri kuna vitu vingi nyuma ya pazia lakn kwa uelewa tu mdog unaweza ona jamaa anapambania kumuokoa huyo mama ambaye tayarii fikla zake za kipato ni kukielekeza kwa huyo mchungaj.
Hao wanaojiita watetezi unakuta baadhi nao walishavuruga ndoa zao wanataka na za wengne zivurugike(za kuambiwa changanya na zako)
Unajua Hata maandiko yanasema mwanamke ni ubavu wa mwanaume hivyo ataambatana kuwa mwili mmoja ili akawe msaidizi wake...sasa majukumu madogo ya familia ndio usaidizi wenyewe.
 
Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Kwa mawazo haya utaolewa kweli pesa ingekua ndio ndoa Bill gates asingeachana na mke wake Upendo na utu na hofu ya Mungu ndio kila kitu
 
Back
Top Bottom