Mume anahitajika 36+

Mume anahitajika 36+

Orodhesha idada ya waliokuja PM wote watoto ni wa huyo baba ambaye ni mume wako maake hakuna mahalauliposema kuwa mlipeana talaka.
Waliokuja pm wakahitaji kujua hilo wana majibu ya maswali yote dear
 
Ushauri mzuri, atakayekuja kwa tangazo hili atamsumbua. Tangazo limekaa na vigezo vya kirobot na so kibinadamu
Jamaniii,,unisamehe kama tangazo limekukwaza dear,, hakuna aliekamilika
 
Yaani kosa kubwa ambalo wadada waliowahi kuolewa au kuzaa wanalifanya wanapotaka kuolewa tena ni kulazimisha mwanaume amuoe yeye na watoto au mtoto wake.

Yaani moja ya jambo ambalo ni gumu kwa wanaume ni kulea mtoto wa mwanaume mwenzio.!!!
Kupigika kote niishie kukulea wewe na wanao aafu usikute unakuwa na roho mbaya hata kwa ndugu zangu.
 
Yaani kosa kubwa ambalo wadada waliowahi kuolewa au kuzaa wanalifanya wanapotaka kuolewa tena ni kulazimisha mwanaume amuoe yeye na watoto au mtoto wake.

Yaani moja ya jambo ambalo ni gumu kwa wanaume ni kulea mtoto wa mwanaume mwenzio.!!!
Kupigika kote niishie kukulea wewe na wanao aafu usikute unakuwa na roho mbaya hata kwa ndugu zangu.
Huo ni mtazamo wako sikatai,,kwa chochote utachowaza utakua uko sahihi kwa sababu ni haki yako,,wewe huna watoto but kumbuka kuna wanaume wana watoto pia wanahitaji wa kusaidiana nao,,kama si wa tajiriba yako unaruhusiwa kunyamaza ndo maana tunaweka wasifu ili kurahisisha mambo
 
Mume umenipata, ila napenda nijue kabila lako kwanza! Kama upo tayari njoo pm kwa mawasiliano zaidi!
 
Back
Top Bottom