Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.


View attachment 2940731

Vijana wa siku hizi kwa uoga hamjambo.

Muhamad mkewe Khadija alikuwa amemzidi Umri na pesa na bado alikuwa anamheshimu.

Mwanaume lazima ujitambue. Kuwa kwako na pesa hakukufanyi uitwe mwanaume au mkeo akuheshimu. Shauri yenu
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Japo ni wachache sana wanawake wa design hii lakini wapo
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Hii ni script inafaa sana kwenye jua kali mpe Lamatah😂😂😂😂😂
 
Moja kwa moja bila kupepesa macho hapo hakuna heshima, labda huyo mwanamke awe anamuabudu Mungu wa kweli au awe ana maadili ya ndoa. Kwanza ndugu wakishajua dada yao kakuzidi kipato utaonekana nyanya puza, hakuna dharau wataacha kukuonesha wakiwemo wakwe. Ndio ilivyo. Kwanza ndugu wa mke watajazana home kila mara watakuja kufaidi vinono anavyopata ndugu yao na hutawaambia kitu. Mwanaume utaonekana ni kibaraka tu na itabidi uvumilie vitimbi na visa atakavyokufanyia mkeo ili ndoa isivunjike na kusambaratika kutokana na mke kujaa kiburi na kutokuwa na heshima kwa mume wake kwa kuwa anamzidi mshahara.
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Wee haya umeyajuajee? Alikuambia huyo mwanaume au?
Maana mwanamke inaonesha ni msiri mnoo.
 
Huyo ni mwanamke wa nguvu hawa wa siku hizi siku 2 tu akilipa bill mtaa mzima utajua
Halafu unadhani basi watu wazima sana, wote wako kwenye 37 sema mke amemzidi mme miezi kadhaa. And by the way jamaa alifukuzwa kazi mwanzoni mwa 2015 so si miaka kumi ana kama miaka 8 kuelekea 9.
 
Mwanamke akikuzidi kipato huyo tayari anakuwa mwanaume mwenzio.

Mwanamke asikuzidi pesa.

Mwanamke asikuzidi umri.

Mwanamke asikuzidi elimu.

Mwanamke hata kimo asikuzidi utajuta.

Mwanamke hata akiwa anatokea kwenye family ina status au familia yao ni maarufu, my frendi utajuta na hakuna rangi utaacha kuona.

Mwanamke anaweza kuwa na milioni 100 haina kazi lakini elfu kumi yako anaipigia mahesabu na unayo hio hio.

Kwenye kila jambo exceptional zipo, wanawake wenye uwezo kiuchumi na wapo loyal wapo japo ni very rare ni kama miujiza flani.

Mwisho niseme kama una mwanamke anakuzidi fedha ni suala la muda tu, tupo hapa na utanikumbuka kwa hii kauli. Japo haijawahi nikuta binafsi lakini familia, marafiki n.k washapigwa na kitu kizito nashuhudia.
NDOA ni mpango wa Mungu kwa wanadamu. Mwanamke aliumbwa AMSAIDIE mwanamume. ukiona kuna mke flani hawezi kumsaidia mume wake ujue hiyo ndoa sio mpango wa Mungu. walilazimisha tu. "wawili watakuwa mwili mmoja". NDOA ni jambo la rohoni (ndani sana) ni zaidi ya vitu vya kuonekana kama pesa, mali, ...


NDOA iliyo katika mpango na mapenzi ya Mungu ni raha sana!!!!!
 
NDOA ni mpango wa Mungu kwa wanafamu. Mwanamke aliumbwa AMSAIDIE mwanamune. ukiona kuna mke flani hawezi kumsaidia mume wake ujue hiyo ndoa sio mpango wa Mungu. walilazimisha tu. "wawili watakuwa mwili mmoja". NDOA ni jambo la rohoni (ndani sana). ni zaidi ya vitu vya kuonekana kama pesa, mali, ...


NDOA iliyo katika mpango na mapenzi ya Mungu ni raha sana!!!!!
“Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.”
— Mwanzo 2:18 (Biblia Takatifu)

ukiona mke anapata shida kumsaidia mumewe, jua hiyo ndoa ina walakini
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Tuwapate wapi wanawake kama hao?
 
Back
Top Bottom