Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Mkiachana mkiwa mmeshazaa inakuwaga kama kuna ka laana kanawaganda hamtapumzika mpaka mmoja wenu afe
Hakuna chochote ni umalaya wake unamsumbua,

Ndio maana ata uyo x wake alimuacha aliona kabisa sio wife material
 
Well; haibadirishi maana hata ukinibadirisha jinsia; level ya kuchukia vitu vidogo kama hivo niliisha vuka siku nyingi sana
Sawa bibie maana uliniita dogo bila kujua umri wangu nikadhani ni mama yangu
 

Ukioa mwanamke aliye na mtoto ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro.
Msije mka sema sija sema.
😛
 
Pumbavu kabisaa, ushakatazwa bado unaleta kiburi na ndoa bado unaitaka, yaan mnapanga mipango ya mtoto asome wapi na mwanaume mwingine huku uko kwa mwanaume mwingine hiyo si dharau??? na tulishasema single mother waoane na Singo father, huyu akijadili na mwenzake kuhusu mtoto na wewe unajadili huku, alipasha kiporo na wewe unapasha ukianza ndoa 1-0 ni tatizo
 
Kweli umekosea sana.Na kauli zako za awali zilikera pia: eti huyu ni baba wa mtoto wangu ana haki zote!! Ukasahau huyu uliyenaye alikustiri yule baba mtoto alipokutekekeza,ulitakiwa kumheshimu mumeo kwa ama kwenda naye kumpekeka mtoto shule na sio kwenda na X jamani yaani mkawa mume na mke mnampeleka mtoto wenu shule!Kweli umekosea sijui itakuwaje!!
 
Kumbe umeona single maza
Mwenzako aliingia uwanjani na handicap ya 1-0
Komaa mzee usisahau aliyetoa bikra yake naye lazima ale mzigo
Hivi unaoaje mke wa mtu?
 
Nimeshangaa simps na wanaume wapumbavu wanasema eti mpaka ulione kaburi la baba wa mtoto ndio ufanye maisha na single mom

Wajinga wakubwa nyie awe baba wa mtoto amekufa au yuko hai mwanaume anayejielewa haoi single mom hata siku moja
Unaoaje mke wa mtu mzee
Utakuwa looser
 
Hii inaweza kuwa hadithi ya kutunga. Lakini inaakisi ukweli wa akili za wanawake wetu!
Huyu mwanamke ni mtaka yote ! Na alikuwa anampanda kichwani mumewe!
Hawa wakijeruhiwa wanamlaumu shetani!
 
Noma sana!
 
Kwanza kusema TU "Mumeo hajiamini kwa sababu x wako anahela kuliko yeye" hapo umeonyesha ilivyo na dharau kwake na kujipendekeza kwa x maana anahela kuliko Mumeo.

Pili kuruhusu mtoto wako kulelewa na Mumeo "masikini" wakati baba yake yupo na "ni tajiri" ilikua ni upendo mkubwa sana kwa Huyo baba lakini umeuharibu. Ni ngumu sana kukurudia Tena kwa upendo.

Dharau kubwa zaidi ni kuondoka bila ruhusa ya mmeo umejiona wewe unamaamuzi kuliko Mumeo, unamjali X wako alichokuambia kuliko anachosema mmeo.

Jilaumu kwa hayo na ndio maana Huyo uliyezaa nae MWANZO hakukuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…